FILAMU YA ‘GOING BONGO’ YAZINDULIWA KWA SHAMRA
Muigizaji mkuu wa filamu hiyo, Ernest Rwandalla, akiwa na baadhi ya warembo waliokuwepo kwenye uzinduzi huo. .....Akiwa na baadhi ya waigizaji wengine. …Akihojiowa na vyombo vya habari.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziFILAMU Going Bongo yazinduliwa rasmi nchini
FILAMU Going Bongo ilizinduliwa rasmi juzi na kuhudhuriwa na mamia ya wadau wa filamu nchini, katika hafla iliyofanyika eneo la Bahari Zoo, jijini Dar es salaam.
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuizindua filamu hiyo, Mwigizaji Mkuu wa Going Bongo Ernest Rwandalla alisema kuwa filamu hiyo imeshaanza kuoneshwa kimataifa zaidi kwa kuwa watu mbalimbali duniani wameanza kuifuatilia kwa njia ya I tune.
Alisema kuwa ni filamu ambayo inahusiana na suala la afya...
10 years ago
Dewji Blog25 Jun
Komredi Kinana alakiwa kwa shamra shamra za sungusungu jimbo la Kwimba
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akilakiwa na Kikundi cha Ulinzi wa Jadi cha Sungusungu, alipowasili katika Kijiji cha Hungumalwa njaia panda ya Mwamashinga alipoanza ziara Jimbo la Kwimba, mkoani Mwanza, ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi pamoja na kusikiliza kero za Wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG)
Komredi Kinana akivishwa kofia ya jadi ya Sungusungu wakati wa mapokezi wilayani Kwimba.
10 years ago
GPLKOMREDI KINANA ALAKIWA KWA SHAMRA SHAMRA ZA SUNGUSUNGU JIMBO LA KWIMBA
10 years ago
Dewji Blog07 Jun
Wananchi wa mkoa wa Lindi wajitokeza kwa wingi usiku wa shamra shamra za “Twende na Membe”
![](http://4.bp.blogspot.com/-09pu1e-KpwU/VXOGF3JbPJI/AAAAAAABhGY/iwiaCoX5z0U/s640/IMG_1984.jpg)
Shamra shamra za kutangaza nia ya kuwania urais zaendelea kunoga mjini Lindi ambapo leo June 6 kuamkia June 7, 2015 ambapo Mheshimiwa Bernard Membe atakuwa anatangaza nia ya Kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2015. Wananchi wamejitokeza kwa wingi huku msanii mzee Yusuph na kikundi cha ngoma ya Deda wakitoa burudani ya kijadi.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Byvk5GOyKag/VXOGIkYOzvI/AAAAAAABhGg/2uB3QA03ORQ/s640/IMG_1990.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mxN7gM24wqM/VXOGKLBs9zI/AAAAAAABhGo/UrPTe6QraOA/s640/IMG_1992.jpg)
Wananchi waliojitokeza katika Shamra Shamra za kumpokea kesho Mheshimiwa Bernard Membe wakati atakapotangaza nia ya Urais 2015.
![](http://4.bp.blogspot.com/-mVtN5PbBYsA/VXOGCC0zuwI/AAAAAAABhGE/M6ALoAm5v9Q/s640/IMG_1960.jpg)
![IMG_1957](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_1957.jpg)
![IMG_2037](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_2037.jpg)
![IMG_2047](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_2047.jpg)
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-09pu1e-KpwU/VXOGF3JbPJI/AAAAAAABhGY/iwiaCoX5z0U/s640/IMG_1984.jpg)
WANANCHI WA MKOA WA LINDI WAJITOKEZA KWA WINGI USIKU WA SHAMRA SHAMRA ZA TWENDE NA MEMBE
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3FsHdUp6KXU/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog03 Aug
Filamu ya Aisha yazinduliwa kwa kishindo wilayani Pangani
Filamu iliyopewa jina la AISHA imezunduliwa rasmi siku ijumaa ya tarehe 31/7/2015 wilayani Pangani chini ya shirika lisilo la kiserikali la UZIKWASA.
Aisha ni filamu ya tatu katika mfululizo wa filamu za UZIKWASA zikiangazia aina mbali mbali za unyanyasaji wa kijinsia kwa wanawake na watoto wa kike. Filamu hizi ni ni sehemu mojawapo tu ya njia za mawasiliano katika kampeni shirikishi-jamii ya mabadiliko ya tabia inayofahamika kama ‘BANJA BASI’!, Pangani, Tanga.
Kabla ya filamu ya Aisha...
11 years ago
Dewji Blog14 Jun
Shamra shamra za ufunguzi wa ZIFF 2014 ndani Ngome Kongwe Unguja
Jukwaa litakalotumika kwa masuala ya burudani kuanzia leo Juni 14 hadi 22 ndani ya Ngome Kongwe katika ukumbi wa Mambo Club linavyoonekana muda huu kwenye hatua ya mwisho kuelekea ufunguzi rasmi saa moja jioni.(Picha na Zainul Mzige modewjiblog)
Opening Night: Mandela: Long Walk to Freedom
June 14th 20:20 Old Fort Ampitheatre
Opening Night Concert:
June 14th Mambo Club
Tamaduni Music (Tanzania) followed by BODY, MIND & SOUL (Malawi)
Mwandishi wa gazeti la Tanzania Daima, Andrew Chale...
10 years ago
VijimamboShamra shamra za Mapokezi ya Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Salum Mwalimu