File delays Chid Benz case hearing
File delays Chid Benz case hearing
Daily News
PRELIMINARY hearing of a case facing famous local hip-hop musician Rashid Abdallah Makwiro, alias Chid Benz (29), could not push through at the Kisutu Resident Magistrates' Court because the file was still at the police station. Before Principal Resident ...
Daily News
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen29 Oct
‘Chid Benz’ dragged to court in drug case
>A Bongo Flava Artist, Rashid Abdallah Makwalo, alias Chid Benz, was yesterday charged with illegal possession of narcotic drugs. He was arreigned before the Kisutu Resident Magistrates’ Court.
10 years ago
Bongo507 Nov
Chid Benz na Fid Q kufanya album ya pamoja, Chid aizungumzia project hiyo
Wakali wa Hip Hop Tanzania Rashid na Fareed a.k.a Chid Benz na Fid Q wana mpango wa kurekodi album ya pamoja. Chid ambaye ameachia ngoma mpya wiki hii ‘Kimbiza’, ameiambia 255 ya XXL ya Clouds Fm kuwa mpango wa kufanya album na Fid lilikuwa ni wazo lake. “Ni idea yangu nilikuwa nayo kabla sijatoa ngoma, […]
9 years ago
TheCitizen22 Dec
Drama as inmates protest ‘too much’ hearing delays
Six inmates yesterday sat in the middle of the road to protest against delays in hearing of their cases. The protesters included those who were against what they described as ‘fabricated murder cases’.
10 years ago
Daily News29 Oct
Chid Benz remanded in custody
Chid Benz remanded in custody
Daily News
FAMOUS local hip-hop musician Rashid Abdallah Makwiro, alias Chid Benz (29), was remanded in custody by the Kisutu Resident Magistrate's Court, after failing to meet bail conditions. The gruff-voiced rapper, who is behind hits like 'Dar es Salaam Stand ...
10 years ago
GPLKESI YA CHID BENZ YAHIRISHWA
 Chid Benzi akitoka lango la mahakama ya Kisutu (Picha na Maktaba). Hakimu mahakama ya Kisutu, Waliarwande Lema ameahirisha kesi ya mwanamuziki, Chid Benz mpaka Des 1, 2014 kwa vile upelelezi haujakamilika.
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Chid Benz atimuliwa mahakamani
Msanii wa muziki wa hip hop nchini, Rashid Makwaro ‘Chid Benz’ jana alizuiwa na askari kuingia ndani ya chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kwa sababu ya mavazi na mapambo yake mwilini.
10 years ago
GPLCHID BENZ KIZIMBANI TENA
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Rashid Makwiro ’Chid Benz’ leo amepandishwa tena kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kufuatia kesi yake ya kukamatwa na madawa ya kulevya kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere. Kesi ya staa huyo imeahirishwa mpaka Januari 15, 2015 itakapotajwa tena.
11 years ago
GPLCHID BENZ NA USTAA PORI
NI bwana mdogo, lakini ana mwili mkakamavu wenye kumuonyesha kama kijana mwenye ubavu. Ana sauti nzuri ya kukwaruza akiwa nyuma ya Mic, ambayo kwa mashabiki wa Hip Hop za Kimarekani, wanaweza kumlinganisha na rapa Ja Rule! Namzungumzia Rashid Makwiro, maarufu kama Chid Benz, mtoto wa Ilala Maflet, aliyeingia katika anga la Bongo Fleva miaka michache iliyopita na kuteka mashabiki wengi kutokana na uwezo wake mkubwa wa kurap....
11 years ago
GPLALIYEPIGWA NA CHID BENZ MAHUTUTI
Stori: Richard Bukos
MREMBO Mwanaisha Kiboye, mkazi wa Ilala, Dar anayedaiwa kupigwa na mwanamuziki wa Kizazi Kipya Bongo, Rashid Makwilo ‘Chid Benz’, hali imekuwa mbaya kwani yu mahututi. Mwanaisha Kiboye, akiwa hoi hospitali baada ya kipigo kutoka kwa msanii Chid Benz. Juzi Jumatatu, wakati staa huyo akipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Dar kwa kesi hiyo, Mwanaisha alikuwa akipumua kwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania