Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Chid Benz’ dragged to court in drug case

>A Bongo Flava Artist, Rashid Abdallah Makwalo, alias Chid Benz, was yesterday charged with illegal possession of narcotic drugs. He was arreigned before the Kisutu Resident Magistrates’ Court.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Daily News

File delays Chid Benz case hearing


File delays Chid Benz case hearing
Daily News
PRELIMINARY hearing of a case facing famous local hip-hop musician Rashid Abdallah Makwiro, alias Chid Benz (29), could not push through at the Kisutu Resident Magistrates' Court because the file was still at the police station. Before Principal Resident ...

 

9 years ago

TheCitizen

Court acts on drug case backlog

The High Court in Dar es Salaam is embarking on a fresh move to clear the backlog of drug-related cases that will see each judge assigned to hear at least one case, The Citizen has learnt.

 

10 years ago

Bongo5

Chid Benz na Fid Q kufanya album ya pamoja, Chid aizungumzia project hiyo

Wakali wa Hip Hop Tanzania Rashid na Fareed a.k.a Chid Benz na Fid Q wana mpango wa kurekodi album ya pamoja. Chid ambaye ameachia ngoma mpya wiki hii ‘Kimbiza’, ameiambia 255 ya XXL ya Clouds Fm kuwa mpango wa kufanya album na Fid lilikuwa ni wazo lake. “Ni idea yangu nilikuwa nayo kabla sijatoa ngoma, […]

 

10 years ago

Daily News

Delayed drug trafficking case irks court


Delayed drug trafficking case irks court
Daily News
THE Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam ordered the prosecution to speed up investigations in a drug trafficking case against Mariam Said and Abdullatif Fundikira. Senior Resident Magistrate Hellen Riwa gave the order following complaints ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Chid Benz huru mtaani

DSC_1015

Na modewji blog team

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mapema ya leo imemwachia huru  mwanamuziki Rashid Makwilo ‘Chid Benz’ (pichani) baada ya kulipa faini ya sh. 900,000 kufuatia kukamatwa akiwa na madawa ya kulevya. 

Chid Benz alikamatwa mwaka jana katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akiwa na madawa ya kulevya, ikiwemo misokoto ya bangi. Mwanamuziki huyo ambaye alikiri kosa hilo wiki iliyopita, alikamatwa uwanjani hapo akiwa anajitayarisha kupanda...

 

11 years ago

GPL

CHID BENZ AMPIGA RAY C

Na Musa Mateja
Uonevu! Rapa mwenye ‘swagger’ za Ja-Rule Bongo, Rashid Makwilo ‘Chid Benz’, anadaiwa kukwaa kisanga kingine kibaya baada ya kukurupuka kutoka nyumbani kwake na kwenda kumvamia staa mwenzake, Rehema Chalamila ‘Ray C’ nyumbani kwake anapoishi na kumtwanga makonde ikiwa ni siku chache tangu jamaa huyo apate msala mwigine wa aina hiyo. Rapa mwenye ‘swagger’ za...

 

11 years ago

GPL

ALIYEPIGWA NA CHID BENZ MAHUTUTI

Stori: Richard Bukos
MREMBO Mwanaisha Kiboye, mkazi wa Ilala, Dar anayedaiwa kupigwa na mwanamuziki wa Kizazi Kipya Bongo, Rashid Makwilo ‘Chid Benz’, hali imekuwa mbaya kwani yu mahututi. Mwanaisha Kiboye, akiwa hoi hospitali baada ya kipigo kutoka kwa msanii Chid Benz. Juzi Jumatatu, wakati staa huyo akipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Dar kwa kesi hiyo, Mwanaisha alikuwa akipumua kwa...

 

11 years ago

GPL

CHID BENZ NA USTAA PORI

NI bwana mdogo, lakini ana mwili mkakamavu wenye kumuonyesha kama kijana mwenye ubavu. Ana sauti nzuri ya kukwaruza akiwa nyuma ya Mic, ambayo kwa mashabiki wa Hip Hop za Kimarekani, wanaweza kumlinganisha na rapa Ja Rule! Namzungumzia Rashid Makwiro, maarufu kama Chid Benz, mtoto wa Ilala Maflet, aliyeingia katika anga la Bongo Fleva miaka michache iliyopita na kuteka mashabiki wengi kutokana na uwezo wake mkubwa wa kurap....

 

10 years ago

Daily News

Chid Benz remanded in custody


Chid Benz remanded in custody
Daily News
FAMOUS local hip-hop musician Rashid Abdallah Makwiro, alias Chid Benz (29), was remanded in custody by the Kisutu Resident Magistrate's Court, after failing to meet bail conditions. The gruff-voiced rapper, who is behind hits like 'Dar es Salaam Stand ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani