First 11 ya muda wote katika historia ya soka, Maradona na C. Ronaldo wameachwa, Messi na Pele ndani …
Katika pita pita zangu mtandaoni nimekutana na hii mtu wangu, first eleven ya wachezaji bora wa muda wote katika historia ya soka. Yaani nimekutana na list ya wachezaji 11 ambao wamepata nafasi ya kuunda kikosi bora cha muda wote. Hii ni kwa mujibu wa muandishi wa mtandao wa sokka.com Edward Aiko Bua mtu wangu. 1- Ni golikipa […]
The post First 11 ya muda wote katika historia ya soka, Maradona na C. Ronaldo wameachwa, Messi na Pele ndani … appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili18 Jun
Tetesi za soka: Alhamisi 18.06.2020: : Messi, Ronaldo, Pedro, Fraser, Chilwell, Alaba
9 years ago
MillardAyo31 Dec
Cheki TBT Pichaz za mastaa wa soka Ronaldo, Kaseja, Messi, Neymar na Wayne Rooney …
December 31 ikiwa tunaelekea kufunga mwaka 2015 kwa kusubiri saa kadhaa zitimie ili tuumalize mwaka. Hii ni Alhamisi ya mwisho kwa mwaka 2015. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee TBT Pichaz za mastaa hawa wa soka, Juma Kaseja, Neymar, Ronaldo, Messi na Wayne Rooney. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa […]
The post Cheki TBT Pichaz za mastaa wa soka Ronaldo, Kaseja, Messi, Neymar na Wayne Rooney … appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
TheCitizen08 Jul
Higuain, the Valdano to Messi’s Maradona?
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Miaka 30: Cristiano Ronaldo na hatima yake katika soka
9 years ago
Bongo529 Oct
Thierry Henry amtaja Paul Scholes kuwa ndiye mchezaji bora wa muda wote katika ligi kuu England
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IYFoY-QcYZA/VC-wIoc8kBI/AAAAAAAGnr4/mzZDXVw859c/s72-c/unnamed.jpg)
MICHEZO YA SHIMIWI: MAMBO YA NDANI YAIPIGA ARDHI 1- 0 KATIKA SOKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-IYFoY-QcYZA/VC-wIoc8kBI/AAAAAAAGnr4/mzZDXVw859c/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
VijimamboRonaldo v Messi at Old Trafford
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Ronaldo, Messi wanyimana kura
10 years ago
Mtanzania25 Aug
Kikwete kuwaleta Ronaldo, Messi
![Rais Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jakaya-Kikwete1.jpg)
Rais Jakaya Kikwete
Na Abducado Emmanuel, Dar es Salaam
BAADA ya ujio wa magwiji wa zamani wa timu ya Real Madrid kufanyika kwa mafanikio makubwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, ameeleza kuwa anafanya uwezekano wa kuileta timu halisi ya Real Madrid yenye nyota, Cristiano Ronaldo au Barcelona yenye staa, Lionel Messi.
Magwiji hao walicheza mechi ya kirafiki dhidi ya magwiji wa zamani wa Tanzania ‘TSN Tanzania Eleven’, iliyoisha kwa Real Madrid kushinda kwa mabao 3-1,...