Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


First 11 ya muda wote katika historia ya soka, Maradona na C. Ronaldo wameachwa, Messi na Pele ndani …

Katika pita pita zangu mtandaoni nimekutana na hii mtu wangu, first eleven ya wachezaji bora wa muda wote katika historia ya soka. Yaani nimekutana na list ya wachezaji 11 ambao wamepata nafasi ya kuunda kikosi bora cha muda wote. Hii ni kwa mujibu wa muandishi wa mtandao wa sokka.com Edward Aiko Bua mtu wangu. 1- Ni golikipa […]

The post First 11 ya muda wote katika historia ya soka, Maradona na C. Ronaldo wameachwa, Messi na Pele ndani … appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka: Alhamisi 18.06.2020: : Messi, Ronaldo, Pedro, Fraser, Chilwell, Alaba

Barcelona to offer Lionel Messi new deal, Cristiano Ronaldo could join MLS club, plus more.

 

9 years ago

MillardAyo

Cheki TBT Pichaz za mastaa wa soka Ronaldo, Kaseja, Messi, Neymar na Wayne Rooney …

December 31 ikiwa tunaelekea kufunga mwaka 2015 kwa kusubiri saa kadhaa zitimie ili tuumalize mwaka. Hii ni Alhamisi ya mwisho kwa mwaka 2015. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee TBT Pichaz za mastaa hawa wa soka, Juma Kaseja, Neymar, Ronaldo, Messi na Wayne Rooney. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa […]

The post Cheki TBT Pichaz za mastaa wa soka Ronaldo, Kaseja, Messi, Neymar na Wayne Rooney … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

TheCitizen

Higuain, the Valdano to Messi’s Maradona?

With a single swish of the right boot in his side’s World Cup quarter-final against Belgium, Gonzalo Higuain finally showed there may be more to Argentina than Lionel Messi after all.

 

10 years ago

Mwananchi

Miaka 30: Cristiano Ronaldo na hatima yake katika soka

Siku hazigandi’. Huo ni usemi uliopata umaarufu nchini baada ya msanii, Judith Wambura Lady Jadyee kutoka na wimbo wenye kubeba maneno hayo.

 

9 years ago

Bongo5

Thierry Henry amtaja Paul Scholes kuwa ndiye mchezaji bora wa muda wote katika ligi kuu England

Mchezaji soka na gwiji wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Ufaransa, Thierry Henry amewafanya watu kubaki na mshangao kwa kumtaja kiungo wa zamani wa England na Manchester United, Paul Scholes kuwa ndiye mchezaji bora aliyewahi kukutana naye katika historia ya Premier League. Henry alijibu swali hilo katika interview moja na Sky Sport, […]

 

10 years ago

Michuzi

MICHEZO YA SHIMIWI: MAMBO YA NDANI YAIPIGA ARDHI 1- 0 KATIKA SOKA

Mchezaji wa timu ya soka ya Ardhi, Martin Utonga (kulia) akiwania mpira pamoja na beki namba mbili wa timu ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ibrahim Msumai (kushoto) katika mchezo wa SHIMIWI uliofanyika leo uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.Mambo ya Ndani ilishinda kwa bao 1-0.Picha na Happiness Shayo

 

10 years ago

Vijimambo

Ronaldo v Messi at Old Trafford

and Lionel Messi, will go head-to-head in Manchester on Tuesday when Portugal take on Argentina at Old Trafford (kick-off 19:45 GMT).

 

11 years ago

Mwananchi

Ronaldo, Messi wanyimana kura

>Wakati wote kushinda tuzo ya Ballon d’Or inatokana na ushindani wa hali ya juu nje ya uwanja kuwa nani mwenye mvuto na kipaji binafsi.

 

10 years ago

Mtanzania

Kikwete kuwaleta Ronaldo, Messi

Rais Jakaya Kikwete

Rais Jakaya Kikwete

Na Abducado Emmanuel, Dar es Salaam

BAADA ya ujio wa magwiji wa zamani wa timu ya Real Madrid kufanyika kwa mafanikio makubwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, ameeleza kuwa anafanya uwezekano wa kuileta timu halisi ya Real Madrid yenye nyota, Cristiano Ronaldo au Barcelona yenye staa, Lionel Messi.

Magwiji hao walicheza mechi ya kirafiki dhidi ya magwiji wa zamani wa Tanzania ‘TSN Tanzania Eleven’, iliyoisha kwa Real Madrid kushinda kwa mabao 3-1,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani