Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FOMU ZA KUMNG’OA PINDA ZALETWA BUNGENI

Mbunge wa Kasulu Mjini (NCCR-Mageuzi), Moses Machali . Mbunge wa Kasulu Mjini (NCCR-Mageuzi), Moses Machali, ameingia na fomu bungeni hivi punde kwa ajili ya kukusanya saini za wabunge za kutokuwa na imani na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, baada ya ripoti iliyofichua maovu yaliyofanyika katika Operesheni…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Ukawa wajipanga kumng’oa Ghasia bungeni

HAWA GHASIASHABANI MATUTU NA VERONICA ROMWALD, DAR ES SALAAM
WABUNGE wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wanakusudia kupeleka hoja binafsi bungeni ili kumng’oa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia kwa kusababisha vurugu katika uchaguzi na siku za kuapishwa wenyeviti wa Serikali za Mitaa.
Akizungumzia kusudio hilo Dar es Salaam jana alipozungumza na waandishi wa habari, Naibu Katibu Mkuu Bara wa Chama cha Wananchi (CUF), Magdalena...

 

10 years ago

Vijimambo

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi (kushoto) wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma Novemba 29, 2014.Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi (kushoto) wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma Novemba 29, 2014.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

 

10 years ago

Habarileo

Mhasibu TSN achukua fomu kumrithi Pinda

Shafi Kassim MpendaMHASIBU wa Kampuni ya magazeti ya Serikali (TSN), Shafi Kassim Mpenda amechukua fomu za maombi ya kugombea ubunge katika Jimbo la Mlele wilayani Mlele katika mkoa wa Katavi, akisisitiza kuwa anatosha kuvaa viatu ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika kuliletea jimbo hilo maendeleo endelevu .

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI MKUU, MH MIZENGO PINDA AREJESHA FOMU

mail.google.comWaziri Mkuu,Mizengo Pinda akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Rajab Luhavi fomu za kuwania Uteuzi wa CCM wa kugombea urais kwenye Ofisi Kuu ya CCM mjini Dodoma Juni 30, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)mail.google.comm Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akizunguza na waandishi wa habari baada ya kurejesha fomu za kuwania Uteuzi wa CCM wa kugombea urais kwenye Ofisi Kuu ya CCM mjini DOdoma Juni 30, 2015.Wapili kulia ni mkewe Tunu na kulia ni mjukuu, michele.

 

10 years ago

GPL

WAZIRI MKUU, MIZENGO PINDA ACHUKUA FOMU YA URAIS

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akichukua fomu za urais mkoani Dodoma leo. WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda leo amechukua fomu ya kuwania kugombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Mhe. Pinda amechukua fomu hiyo katika makao makuu ya chama hicho yaliyopo mkoani Dodoma ambapo pia alipata fursa ya kuongea na wanahabari. Katika mkutano wake na wanahabari amekataa kuelekezea mengi kama walivyofanya watangaza nia wenzake ili kutoingilia...

 

10 years ago

Michuzi

PINDA AREJESHA FOMU ZA KUGOMBEA URAIS MJINI DODOMA LEO

 Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Rajab Luhavi fomu za kuwania Uteuzi wa CCM wa kugombea urais kwenye Ofisi Kuu ya CCM mjini DOdoma leoWaziri Mkuu,Mizengo Pinda akizunguza na waandishi wa habari  baada ya kurejesha fomu za kuwania Uteuzi wa CCM wa kugombea urais kwenye Ofisi Kuu ya CCM mjini Dodoma leo Juni 30, 2015.Wapili kulia ni mkewe Tunu na kulia ni mjukuu, michele (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

10 years ago

Michuzi

PINDA ACHUKUWA FOMU YA KUWANIA UTEUZI WA CCM KUGOMBEA URAIS

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza baada ya kuchukuwa   fomu ya kuwania uteuzi wa CCM  ili awe mgombea wake wa urais katika uchaguzi mkuu ujao  kwenye ofisi kuu ya CCM mjini Dodoma. Kulia ni mkewe mama Tunu PindaSehemu ya wageni wakimsikiliza Mhe Pinda  wakati alipozungumza na waandishi wa habari baada ya kuchukuwa fomu ya kuwania uteuzi wa CCM  ili awe mgombea wake wa urais katika uchaguzi mkuu ujao  kwenye ofisi kuu ya CCM mjini Dodoma Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi...

 

11 years ago

Mwananchi

Pinda asisitiza Ukawa warejee bungeni

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ameendelea kuwasisitiza wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kurejea bungeni ili kuhitimisha jukumu hilo lenye masilahi kwa Watanzania wote.

 

11 years ago

Dewji Blog

Matukio ya Waziri Mkuu Pinda Bungeni mjini Dodoma

PG4A1532

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijibu Mawsali Bungeni mjini Dodoma Juni 5, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A1583

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa Nchi Ofisi  ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji  ambaye pia ni Mbunge wa Hanang, Dr. Mary Nagu, Bungeni mjini Dodoma Juni 5, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A1718

Ndege akiwa kwenye zuria la Bungeni mjini Dodoma Juni 5, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A1784

Waziri  Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Wabunge Zainab  Kawawa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani