Ukawa wajipanga kumng’oa Ghasia bungeni
SHABANI MATUTU NA VERONICA ROMWALD, DAR ES SALAAM
WABUNGE wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wanakusudia kupeleka hoja binafsi bungeni ili kumng’oa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia kwa kusababisha vurugu katika uchaguzi na siku za kuapishwa wenyeviti wa Serikali za Mitaa.
Akizungumzia kusudio hilo Dar es Salaam jana alipozungumza na waandishi wa habari, Naibu Katibu Mkuu Bara wa Chama cha Wananchi (CUF), Magdalena...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
CHADEMA wajipanga kumng’oa Majimarefu 2015
CHAMA cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA) kupitia kwa Mwenyekiti mpya wa Chama hicho wilayani Korogwe, Aulerian Nziku, amesema wamejipanga kumng’oa Mbunge wa Korogwe vijijini, Stephen Ngonyani, maarufu kama Profesa Majimarefu...
10 years ago
Mwananchi16 Jul
CCM wajipanga kumng’oa Mdee Kawe
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
FOMU ZA KUMNG’OA PINDA ZALETWA BUNGENI
10 years ago
Habarileo27 Sep
Ukawa wajipanga uchaguzi Serikali za Mitaa
VYAMA vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vimehimizana kushirikiana na kuja na nguvu ya pamoja katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika mwishoni mwa mwaka huu.
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
UKAWA: Haturudi bungeni
WAJUMBE wa Bunge Maalumu, wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wamesema hawatarudi bungeni na badala yake kuanzia kesho wataanza mikutano ya hadhara nchi nzima kuwaeleza wananchi juu ya hila...
9 years ago
Mtanzania21 Nov
Dk. 30 za sekeseke la Ukawa bungeni
*Zomea zomea yao yawatia joto viongozi
*Waimba Maalim Seif…Maalim Seif…Maalim Seif
NA MAREGESI PAUL, DODOMA
WABUNGE wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), jana walichafua hali ya hewa bungeni baada ya kuwazomea baadhi ya viongozi walioongozana na Rais Dk. John Magufuli kwa ajili ya shughuli ya uzinduzi wa Bunge la 11.
Tukio hilo la kwanza katika Bunge hilo lililoanza Novemba 17, mwaka huu na kuahirishwa jana hadi Januari 26 mwaka 2016, lilianza jana saa 9:35, zikiwa ni dakika chache...
11 years ago
Habarileo05 Apr
Ukawa waumbuana Bungeni
TABIA ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, hasa kutoka vyama vya upinzani waliounda kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kutafuta kasoro ndogo ndogo za kutaka Bunge liahirishwe mara kwa mara, imewatokea puani. Jana baadhi ya wajumbe hao akiwepo Ismail Jussa Ladhu, Tundu Lisu, John Mnyika na Moses Machali, walisimama kupinga marekebisho ya kanuni za Bunge Maalumu kwa madai kuwa yameletwa haraka haraka na yana nia ovu.
11 years ago
Habarileo25 Jun
'Ukawa warudi bungeni'
MWENYEKITI wa Chama Cha Kijamii (CCK) na Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Constantine Akitanda amesema juhudi zao walizoanzisha na chama cha NRA, zimelenga kuhakikisha kuwa wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wanarejea bungeni.
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-Wi3fabXv84U/U7La-NKf5DI/AAAAAAAABSg/OD4RIdVY3bI/s72-c/niwemugizi.jpg)
‘UKAWA rudini bungeni’
NA FRANK KIBIKI, IRINGA
BARAZA la Maaskofu Tanzania (TEC), limeitaka serikali kuhakikisha wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) wanarejea bungeni bila masharti.
Limesema Bunge Maalumu la Katiba lipo na linaendeshwa kwa mujibu wa sheria hivyo, wajumbe wanapaswa kurejea pindi litakapoanza vikao vyake ili kuutendea haki mchakato wa Katiba Mpya.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Wi3fabXv84U/U7La-NKf5DI/AAAAAAAABSg/OD4RIdVY3bI/s1600/niwemugizi.jpg)