Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fursa kwa Wanawake wa Kitanzania. Njoo ujiajiri mwenyewe, Jikomboe sasa

 

Wanawake wa Kitanzania Miliki Biashara yako sasa.Njoo upate elimu ya Biashara kisha Ujiajiri na kukuza Kipato chako mwenyewewe.Jiandikishe kuwa mshiriki wa Manjano Dream-makers na kuingia katika Tasnia ya Vipodozi nchini kwa kujiongezea kipato kupitia kipodozi pendwa cha LuvTouch Manjano.

Washiriki watakaochaguliwa watapata mafunzo yenye ueledi wa biashara na ujasiriamali pamoja na jinsi ya kupamba, yaani Professional Makeup-up artist BURE! Application deadline ni tarehe 24 December...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wanawake wa kitanzania wanavyohadaiwa ughaibuni

Leo tuangalie habari tatu zinazokabana kabali na maisha yetu magumu Waafrika. Ingawa ni za kuchoma moyo zitatupa azma ya kujaribu kujua nini hasa chanzo cha adha zetu na kutafuta ufumbuzi.

 

10 years ago

GPL

MKWASA: MPIRA WA SASA HAUNA MWENYEWE

Kocha wa Taifa Stars mzawa, Charles Boniface Mkwasa. *Aizungumzia kambi ya Taifa Stars Afrika Kusini Na Saleh Ally KIKOSI cha timu ya taifa ya soka ya Tanzania, Taifa Stars kimeweka kambi jijini Johannesburg,  Afrika Kusini kujiandaa na mechi dhidi ya Algeria. Stars itaivaa Algeria katika mechi ya kuwania kucheza Kombe la Dunia mwaka 2018. Mechi hiyo itapigwa Novemba 14 jijini Dar es Salaam, kabla ya kurudiana Novemba 17 jijini...

 

10 years ago

Michuzi

WANAWAKE MKOANI LINDI WATAKIWA KUKAMATIA FURSA KWA KUJIUNGA NA CHF-RC LINDI

MKUU WA MKOA WA LINDI MWANTUMU MAHIZA AKIWASISITIZA WASHIRIKI WA KONGAMANO LA WANAWAKE LILILOWAKUTANISHA TAKRIBANI WASHIRIKI WANAWAKE 360 KUTOKA WILAYA 6 ZA ,KUTUMIA MAFUNZO HAYO KUJIKWAMUA KIUCHUMI KWANI MIONGONI MWA WALIYOFUNDISHWA,UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI,KILIMO CHA MWANI NA MENGINEYO AMBAPO PIA KWA KUONYESHA DHAMIRA YA DHATI YA KUMKOMBOA MWANAMKE KIFIKRA NA KIUCHUMI ALIWATAKA KUHAKIKISHA WANAJIUNGA CHF ILI WAWEZE KUPATA HUDUMA ZA MATIBABU KWA GHARAMA NAFUU,KAULI MBIU YA MAFUNZO HAYO...

 

10 years ago

Vijimambo

Watanzania Waishio Nje ya Nchi sasa Kupata Filamu za Kitanzania Kupitia Mtandao


Mheshimiwa Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara akisoma hotuba fupi mbele za waandishi wa habari na wageni waalikwa waliohudhuria hafla fupi ya Uzinduzi wa Mpango wa Kuuza Filamu za Proin Mtandaoni.Mkurugenzi wa Makampuni ya Proin, Mh Johnson Lukaza akisoma hotuba fupi kwa Mgeni rasmi ambae pia Ni Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo Mh Dkt Fenella Mukangara wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa kuuza filamu za Proin mtandaoni. Muigizaji Emmanuel...

 

10 years ago

GPL

WATANZANIA WAISHIO NJE YA NCHI SASA KUPATA FILAMU ZA KITANZANIA KUPITIA MTANDAO‏


Mheshimiwa Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara akisoma hotuba fupi mbele za waandishi wa habari na wageni waalikwa waliohudhuria hafla fupi ya Uzinduzi wa Mpango wa Kuuza Filamu za Proin Mtandaoni.
Mkurugenzi wa Makampuni ya Proin, Mh Johnson Lukaza akisoma hotuba fupi kwa Mgeni rasmi ambae pia Ni Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo Mh Dkt Fenella Mukangara wakati wa… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanawake changamkieni fursa — Dendego

WANAWAKE wajasiriamali mkoani Tanga wametakiwa kuchangamkia fursa zitakazotolewa kupitia kampeni ya ‘Mwanamke na Uchumi’ mwanzoni mwa mwezi ujao, ambapo zaidi ya wanawake 300 watanufaika na mafunzo hayo yanayotolewa na kampuni...

 

11 years ago

Mwananchi

Utalii; Zanzibar sasa wachangamkia fursa

Wakati Watanzania wakisherekea miaka 50 ya Muungano, pande zote za nchi zina sababu mbalimbali za kufurahia Muungano huu mkongwe barani Afrika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanawake Mtwara watakiwa kuchangamkia fursa

WANAWAKE mkoani Mtwara wametakiwa kuchangamkia fursa za ujasiriliamali kutokana na wingi wa watu na makampuni ya uwekezaji. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana, Mwenyekiti wa muda wa Taasisi...

 

10 years ago

GPL

WANAWAKE KUFUNDISHWA NAMNA YA KUTUMIA FURSA

Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Trumark, Agness Mgongo, akiwa katika studio za Global Tv Online kwa ajili ya mahojiano. Zulekha Samwix wa Trumark akisubiri mahojiano  na Global TV. ...Wakipozi…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani