Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gari lamuua kondakta wake

KONDAKTA wa gari lenye namba za usajili T 713 AWJ Fuso, mkazi wa Kurasini Chang’ombe, Athuman Khatibu (20), amefariki dunia baada ya kudondoka na kukanyagwa na tairi la nyuma la...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Gari lamshinda dereva, lamuua

DEREVA wa lori, Said Bakari amekufa papo hapo na utingo wake kujeruhiwa vibaya baada ya gari alilokuwa akiendesha kumshinda na kuacha njia na kisha kupinduka.

 

10 years ago

Bongo Movies

Gari Aina la BMW Alilopewa Kama Zawadi na Maneja Wake Martin Kadinda Lazua Maneno. Watu wahoji uwezo wa meneja wake huyo kumnunulia gari hilo huku ye akiendesha gari ''isiyoeleweka''.

Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao

NYUMBANI KWA MADAM
Pati hiyo ambayo iliandika historia katika ulimwengu maridhawa wa mastaa iliangushwa nyumbani kwa mwanadada huyo, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo alitimiza umri wa miaka 26.
Katika shughuli...

 

11 years ago

GPL

KONDAKTA WA UDA ANASWA AKIPANDISHA NAULI

Basi la Uda lililonaswa maeneo ya Manzese, Dar likiwatoza abiria nauli ya shilingi elfu moja kama malipo ya kwenda Mbezi, Mwisho. Kamera yetu ilishuhudia tukio la basi la Uda maeneo ya Manzese likiwatoza abiria nauli ya shilingi elfu moja kama malipo ya kwenda Mbezi , Mwisho wakati nauli halisi ya kwenda huko ni shilingi 500/= kutokea Manzese. Alipoulizwa kondakta wa basi hilo sababu za kuwatoza hivyo hakuwa na majibu sahihi...

 

9 years ago

Raia Mwema

Magufuli, wewe ni kondakta wa bendi ya muziki

NAOMBA niruhusu nikuite Ndugu Magufuli.

Deus Bugaywa

 

10 years ago

Mtanzania

Tyga ampa gari mpenzi wake Kylie

Tyga na Kylie-JennerNEW YORK, Marekani

NYOTA wa muziki nchini Marekani, Tyga juzi amemnunulia mpenzi wake, Kylie Jenner, gari aina ya Mercedes G Wagon, kama zawadi ya kukumbuka siku yake ya kuzaliwa.

Mrembo huyo juzi alitimiza miaka 18 juzi. Zawadi hiyo ilimshtua kutokana na kutotegemea kupata zawadi kama hiyo kutoka kwa mpenzi huyo.

“Ni bonge la zawadi kwa upande wangu, sikutarajia kupokea zawadi kama hii, Tyga ameonesha upendo wa dhati kutoka kwangu,” alisema Kylie.

 

11 years ago

Dewji Blog

Mwigulu awanunulia wananchi wake gari la kubebea wagonjwa

DSC07824

Naibu Waziri wa Fedha na Mbunge wa jimbo la Iramba magharibi, Mh. Mwigulu Nchemba akihutubia wapiga kura wake na wananchi wa kata ya Mtoa tarafa ya Shelui ambapo pamoja na mambo mengine, alihimiza ujenzi wa zahanati kwa kila kijiji.

DSC07878

Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Kebwe Stephen Kebwe (MB) akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha Mgongo tarafa ya Shelui jimbo la Iramba magharibi ambapo amewataka Wakurugenzi wa halmashauri za majiji, manispaa na wilaya...

 

9 years ago

Mtanzania

Rick Ross adaiwa kuiba gari la mke wake

BET Hip Hop Awards 2012 - Audience and ShowNEW YORK, MAREKANI

NYOTA wa muziki wa hip hop nchini Marekani, William Roberts ‘Rick Ross, amekanusha kuhusika katika wizi wa gari ya mke wake aina ya BMW B7 lililokuwa likitumiwa na mtoto wao mwenye umri wa miaka 9.

Msanii huyo na mke wake, Tia Kemp, walilinunua gari hilo kwa ajili ya mtoto wao kwenda nalo shule, lakini mara kwa mara Rick Ross alikuwa akipenda kulitumia kitendo kilichokuwa kikizua ugomvi kati yao wa mara kwa mara.

Mwishoni mwa wiki iliyopita gari hilo lilipotea katika...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Paa lamuua fundi seremala

FUNDI Seremala Ramadhani Hassan (52), maarufu Pilipili, mkazi wa Karakata jijini Dar es Salaam amefariki dunia baada ya kuanguka juu ya paa la nyumba. Kamanda wa polisi Mkoa wa Ilala,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani