Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KONDAKTA WA UDA ANASWA AKIPANDISHA NAULI

Basi la Uda lililonaswa maeneo ya Manzese, Dar likiwatoza abiria nauli ya shilingi elfu moja kama malipo ya kwenda Mbezi, Mwisho. Kamera yetu ilishuhudia tukio la basi la Uda maeneo ya Manzese likiwatoza abiria nauli ya shilingi elfu moja kama malipo ya kwenda Mbezi , Mwisho wakati nauli halisi ya kwenda huko ni shilingi 500/= kutokea Manzese. Alipoulizwa kondakta wa basi hilo sababu za kuwatoza hivyo hakuwa na majibu sahihi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

USAFIRI: Sumatra yaiamuru Uda kushusha nauli

>Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra), imetoa amri kwa Shirika la Usafiri Dar es Salaam kutoza viwango sawa vya nauli  kama vinavyotozwa na daladala za kawaida.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Gari lamuua kondakta wake

KONDAKTA wa gari lenye namba za usajili T 713 AWJ Fuso, mkazi wa Kurasini Chang’ombe, Athuman Khatibu (20), amefariki dunia baada ya kudondoka na kukanyagwa na tairi la nyuma la...

 

9 years ago

Raia Mwema

Magufuli, wewe ni kondakta wa bendi ya muziki

NAOMBA niruhusu nikuite Ndugu Magufuli.

Deus Bugaywa

 

10 years ago

Mwananchi

Nauli za mabasi mikoani zashuka

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imepunguza nauli za mabasi ya mikoani huku ikitangaza kubaki kama zilivyokuwa, zile za daladala baada ya ukokotoaji wake kuonyesha tofauti ndogo ya punguzo kulinganisha na viwango vya sasa.

 

10 years ago

Habarileo

Sumatra 'yagoma' kushusha nauli

Abiriaq wakigombania kuingia ndani ya daladala. Pamoja na shida hii lakini Sumatra imeshindwa kushusha nauli.MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) imetangaza kushusha nauli za mabasi ya Masafa Marefu huku ikiacha kabisa kuzigusa nauli za mabasi katika miji mikubwa, maarufu kama daladala.

 

10 years ago

Vijimambo

SUMATRA YASHUSHA NAULI ZA MABASI

  Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini(SUMATRA),Gilliard Ngewe akizungumza na waandishi wa habari  kuhusiana na ushushwaji wa nauli za mabasi ya masafa marefu ofisini kwake jijini Dar es salaam. Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Udhibiti usafiri wa barabara,Geffrey Silinda akifafanua jambo kwa waandishi wa habari  katika ofisi za Mamlaka ya Uthibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) jijini Dar es Salaam,kulia ni  Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa...

 

10 years ago

Habarileo

Wapongeza nauli Korogwe kupangwa

BAADHI ya wananchi wa mjini Korogwe wamepongeza uamuzi wa serikali kwa kushirikiana na Mamlaka ya Usimamizi wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) wa kupanga viwango halali vya nauli kwa mabasi ya abiria yanayosafiri katika maeneo mbalimbali ndani ya wilaya hiyo.

 

9 years ago

Habarileo

Watakaopandisha nauli kutupwa jela

WAMILIKI na mawakala wa usafiri wa mabasi yaendayo mikoani wameonywa kutopandisha nauli katika kipindi hiki cha sikukuu za mwisho wa mwaka na watakaobainika watachukuliwa hatua za kisheria, ikiwamo kufungwa jela.

 

10 years ago

Habarileo

Wamiliki wa mabasi wacharukia nauli

WAKATI wadau wa usafiri nchini wakipendekeza kushuka kwa nauli za daladala na mabasi yaendayo mikoani, wamiliki wa mabasi wametishia kufuta utaratibu wa kutowatoza nauli askari na kuongeza kuwa, hata nauli pungufu za wanafunzi sasa zitakuwa historia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani