Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watakaopandisha nauli kutupwa jela

WAMILIKI na mawakala wa usafiri wa mabasi yaendayo mikoani wameonywa kutopandisha nauli katika kipindi hiki cha sikukuu za mwisho wa mwaka na watakaobainika watachukuliwa hatua za kisheria, ikiwamo kufungwa jela.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

DK KALEMANI ATOA ONYO KWA WAFANYABIASHARA WATAKAOPANDISHA BEI YA MAFUTA

 Waziri wa Nishati, Dk Medard Kalemani akizungumza na watendaji wa Wizara yake na Wandishi wa habari leo jijini Dodoma.Waziri wa Nishati, Dk Medard Kalemani akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma leo kuhusiana na bei ya mafuta ambapo amewataka wafanyabiashara kufuata bei elekezi iliyopangwa na Serikali.
Charles James, Michuzi TVSERIKALI imetoa onyo kali kwa wafanyabiashara wa mafuta watakaokaidi maagizo yake kwa kuuza mafuta kwa bei kubwa tofauti na bei elekezi...

 

9 years ago

MillardAyo

Issue ya wanaume kubambikiwa watoto, watakaopandisha ada, JPM afuta likizo TRA…#MAGAZETINI

MTANZANIA Abiria waliotaka kusafiri kwenda wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro, nusura wachapane ngumi wakigombea foleni ya kukata tiketi katika Kituo cha mabasi ya mikoani Ubungo (UBT). Gazeti hili lilishuhudia abiria hao wakiwa kwenye foleni wakisubiri kukata tiketi katika mabasi ya Kampuni ya Meridian yanayofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Rombo mkoani Kilimanjaro. Katika […]

The post Issue ya wanaume kubambikiwa watoto, watakaopandisha ada, JPM afuta likizo TRA…#MAGAZETINI...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania milioni 7 maskini wa kutupwa

ASILIMIA 9.7 ya Watanzania, sawa na watu milioni 7.2 wanakabiliwa na umaskini uliokithiri nchini. Kutokana na hali hiyo, serikali kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) imeendelea na miradi ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Washauri kesi dhidi ya Pinda kutupwa

Upande wa walalamikiwa katika kesi ya kikatiba inayomkabili Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, umeomba Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam kutupilia mbali kesi hiyo, ukidai kuwa walalamikaji wameshindwa kujibu hoja za pingamizi lao, dhidi ya kesi hiyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Madaktari Tanzania walaani miili kutupwa

Chama cha Madaktari Tanzania chalaani kitendo cha kutupwa miili iliyoelezwa kutoka Taasisi ya mafunzo ya udaktari,IMTU

 

10 years ago

BBCSwahili

Sheria tete ya uchaguzi DRC kutupwa

Spika wa bunge nchini DRC amesema kuwa mabadiliko yaliozua utata katika sheria ya uchaguzi nchini humo yatatupiliwa mbali.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Ni janga wahitimu 18,000 kutupwa mitaani

>Ni wakati mwingine wa vilio kwikwi na majonzi kwa wazazi, walezi na hata wanafunzi zaidi ya 18,000 waliokosa nafasi ya kujiunga na masomo ya kidato cha tano kwenye shule za sekondari za umma mwaka huu.

 

10 years ago

Mtanzania

Lipumba asikitishwa makubaliano Serikali, TCD kutupwa kapuni

lipumbaNA GRACE SHITUNDU, DAR ES SALAAM
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema makubaliano baina ya vyama vya siasa na serikali ya kuboresha baadhi vifungu katika Katiba ya Mwaka 1977 ili vitumike katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu vimetupwa kapuni huku wananchi wakiwa gizani na hatima ya uandikishaji katika Daftari ya Kudumu la Wapigakura.
Hayo yalisemwa na Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba jana alipokuwa akifungua kikao cha siku mbili cha Baraza la Uongozi wa chama hicho kitakachojadili mambo...

 

9 years ago

Global Publishers

Walikuwa maskini kama wewe, sasa ni matajiri wa kutupwa

Oprah-Winfrey3OPRAH WINFREY.

Hakuna anayezaliwa na fedha, binadamu wote wamekuja duniani wakiwa mikono mitupu kabisa, tena bila nguo. Watu wanapokua, wengi wanakuwa hawana vitu hivyo na hata kula yao wakati mwingine ni ya shida mno.

Wanapofanikiwa, huwa hawakai kimya, wanatamani na wengine wafanikiwe ndiyo maana wengine wamekuwa wazi na kusema: “Kuzaliwa maskini si kosa lako, ila kufa maskini, hilo ni kosa lako.”

Hawa hapa chini ni matajiri wakubwa kwa sasa, ila kabla ya hapo, walikuwa maskini kama wewe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani