Watakaopandisha nauli kutupwa jela
WAMILIKI na mawakala wa usafiri wa mabasi yaendayo mikoani wameonywa kutopandisha nauli katika kipindi hiki cha sikukuu za mwisho wa mwaka na watakaobainika watachukuliwa hatua za kisheria, ikiwamo kufungwa jela.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0dv8wiBhgsg/Xud1lHqFXeI/AAAAAAALt5U/IcV7ONRg6iMe6_U_YGNPaL3Ca-UCe4zaQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B4.14.46%2BPM.jpeg)
DK KALEMANI ATOA ONYO KWA WAFANYABIASHARA WATAKAOPANDISHA BEI YA MAFUTA
![](https://1.bp.blogspot.com/-0dv8wiBhgsg/Xud1lHqFXeI/AAAAAAALt5U/IcV7ONRg6iMe6_U_YGNPaL3Ca-UCe4zaQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B4.14.46%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-N1jRYo7UY6o/Xud1mN9Mt5I/AAAAAAALt5c/cc2SecC2ueAhZMA0F2v3b4LaqCBGwxDhwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B4.15.32%2BPM.jpeg)
Charles James, Michuzi TVSERIKALI imetoa onyo kali kwa wafanyabiashara wa mafuta watakaokaidi maagizo yake kwa kuuza mafuta kwa bei kubwa tofauti na bei elekezi...
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Issue ya wanaume kubambikiwa watoto, watakaopandisha ada, JPM afuta likizo TRA…#MAGAZETINI
MTANZANIA Abiria waliotaka kusafiri kwenda wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro, nusura wachapane ngumi wakigombea foleni ya kukata tiketi katika Kituo cha mabasi ya mikoani Ubungo (UBT). Gazeti hili lilishuhudia abiria hao wakiwa kwenye foleni wakisubiri kukata tiketi katika mabasi ya Kampuni ya Meridian yanayofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Rombo mkoani Kilimanjaro. Katika […]
The post Issue ya wanaume kubambikiwa watoto, watakaopandisha ada, JPM afuta likizo TRA…#MAGAZETINI...
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Watanzania milioni 7 maskini wa kutupwa
ASILIMIA 9.7 ya Watanzania, sawa na watu milioni 7.2 wanakabiliwa na umaskini uliokithiri nchini. Kutokana na hali hiyo, serikali kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) imeendelea na miradi ya...
11 years ago
Mwananchi18 Feb
Washauri kesi dhidi ya Pinda kutupwa
11 years ago
BBCSwahili23 Jul
Madaktari Tanzania walaani miili kutupwa
10 years ago
BBCSwahili25 Jan
Sheria tete ya uchaguzi DRC kutupwa
10 years ago
Mwananchi02 Jul
MAONI: Ni janga wahitimu 18,000 kutupwa mitaani
10 years ago
Mtanzania15 Apr
Lipumba asikitishwa makubaliano Serikali, TCD kutupwa kapuni
NA GRACE SHITUNDU, DAR ES SALAAM
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema makubaliano baina ya vyama vya siasa na serikali ya kuboresha baadhi vifungu katika Katiba ya Mwaka 1977 ili vitumike katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu vimetupwa kapuni huku wananchi wakiwa gizani na hatima ya uandikishaji katika Daftari ya Kudumu la Wapigakura.
Hayo yalisemwa na Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba jana alipokuwa akifungua kikao cha siku mbili cha Baraza la Uongozi wa chama hicho kitakachojadili mambo...
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Walikuwa maskini kama wewe, sasa ni matajiri wa kutupwa
OPRAH WINFREY.
Hakuna anayezaliwa na fedha, binadamu wote wamekuja duniani wakiwa mikono mitupu kabisa, tena bila nguo. Watu wanapokua, wengi wanakuwa hawana vitu hivyo na hata kula yao wakati mwingine ni ya shida mno.
Wanapofanikiwa, huwa hawakai kimya, wanatamani na wengine wafanikiwe ndiyo maana wengine wamekuwa wazi na kusema: “Kuzaliwa maskini si kosa lako, ila kufa maskini, hilo ni kosa lako.”
Hawa hapa chini ni matajiri wakubwa kwa sasa, ila kabla ya hapo, walikuwa maskini kama wewe...