Madaktari Tanzania walaani miili kutupwa
Chama cha Madaktari Tanzania chalaani kitendo cha kutupwa miili iliyoelezwa kutoka Taasisi ya mafunzo ya udaktari,IMTU
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Tanzania kwanza walaani Ukawa kususa
11 years ago
BBCSwahili22 Jul
Sakata la miili Tanzania,wanane mbaroni
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VBv-GimYbHU/Xo2Up87hGUI/AAAAAAAEGp4/FdaBJctS93M1_9dyUyUJpIu-GjZzBZB_QCLcBGAsYHQ/s72-c/MAT%2B2.jpg)
BENKI YA STANBIC TANZANIA YAKABIDHI MILIONI 30/= KWA CHAMA CHA MADAKTARI TANZANIA (MAT).
![](https://1.bp.blogspot.com/-VBv-GimYbHU/Xo2Up87hGUI/AAAAAAAEGp4/FdaBJctS93M1_9dyUyUJpIu-GjZzBZB_QCLcBGAsYHQ/s640/MAT%2B2.jpg)
11 years ago
Mwananchi21 Mar
Usiyoyajua kuhusu uchunguzi wa miili ya maiti nchini Tanzania
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dYLrpk-c-H8/VaUKqktO8JI/AAAAAAAAAOE/tuhgf3-m-EY/s72-c/9.jpg)
Dr. Wilibrod Slaa amesema kuwa akiwa Rais wa Tanzania atamfunga Dr. John Magufuli kwa sababu alisimamia mchakato wa uuzwaji wa nyumba za Serikali kwa bei ya kutupwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-dYLrpk-c-H8/VaUKqktO8JI/AAAAAAAAAOE/tuhgf3-m-EY/s640/9.jpg)
Dr. Wilibrod Slaa amesema kuwa akiwa Rais wa Tanzania atamfunga Dr. John Magufuli kwa sababu alisimamia mchakato wa uuzwaji wa nyumba za Serikali kwa bei ya kutupwaDr. Slaa akihojiwa na Radio five ya Arusha jioni hii nini maoni yake kuhusu uteuzi wa Magufuli kuwania Urais.
Ameongelea mengi lakini amesema iwapo UKAWA wakimpa nafasi na Watanzania wakampa kura za kutosha kushinda Urais atamtia Magufuri ndani ili kujibu tuhuma za uuzwaji wa Nyumba kwa bei ya kutupa.
Chanzo: Radio five,...
10 years ago
Dewji Blog15 Sep
Warembo Miss Tanzania wajifua Gym kuiweka miili yao imara
![](http://2.bp.blogspot.com/-43PxqZ9PsPI/VBW78rD-JCI/AAAAAAAAXOU/2nCw5RF1jMk/s1600/11.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yDDfZVWiRfc/VBW8CuL99eI/AAAAAAAAXOc/8a2l26ePfPs/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-g1Z7DOXHKWo/VBW8EGIZ_jI/AAAAAAAAXPk/4zn_ZCpaAGM/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TE8_jLdxQpI/VBW8E32l-DI/AAAAAAAAXO0/4YKkl76kHvg/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4NKjQq7blI8/VBW8FTcE7oI/AAAAAAAAXO4/opC7solyqcM/s1600/4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XUe8Bl9XCeU/VBW8GTi5pJI/AAAAAAAAXPA/k8PCjBn7DOc/s1600/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-MA8pXt4uefk/VBW8G5NtHAI/AAAAAAAAXPI/yVOyr9MgeTI/s1600/6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-WczqyOM7vcg/VBW8HFTfzCI/AAAAAAAAXPM/kMFtZLsp7vs/s1600/7.jpg)
![8](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/81.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-E5cqitjAg2g/VBW8DqDKI0I/AAAAAAAAXOs/9JJr3BqTeJw/s1600/10.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9J99imTwgrM/VBW8DK_cflI/AAAAAAAAXOg/SCfakpXmO-4/s1600/12.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-43PxqZ9PsPI/VBW78rD-JCI/AAAAAAAAXOU/2nCw5RF1jMk/s72-c/11.jpg)
WAREMBO MISS TANZANIA WAJIFUA GYM KUIWEKA MIILI YAO SAFI
![](http://2.bp.blogspot.com/-43PxqZ9PsPI/VBW78rD-JCI/AAAAAAAAXOU/2nCw5RF1jMk/s1600/11.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yDDfZVWiRfc/VBW8CuL99eI/AAAAAAAAXOc/8a2l26ePfPs/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-g1Z7DOXHKWo/VBW8EGIZ_jI/AAAAAAAAXPk/4zn_ZCpaAGM/s1600/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XIbwni2OPnA/VJiURzEbUXI/AAAAAAAG5IY/XlIu69ch3kA/s72-c/unnamed%2B(17)%2Bcopy.jpg)
NEWS ALERT: MIILI YA WATU 14 WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA MELI YA CONGO YAIBUKA KIGOMA, ZAZIKWA NA SREKALI YA TANZANIA
JUMLA ya maiti 14 zimezikwa baada ya makubaliano baina ya serekali ya Tanzania na serekali ya Demokrasia ya Congo(DRC)ambapo katika mazishi hayo serekali ya Congo iliwakilishwa na Balozi wa Congo kutoka ubalozi mdogo wa DRC Mkoani Kigoma.
Akizungumza muda mfupi baada ya mazishi ya raia hao Balozi mdogo wa DRC nchini kutoka Ubaozi mdogo Mkoani hapa,Mh. Riki Moleme alisema.
Mh. Maleme alisema kuwa amefarijika sana kwa namna serekali ya Tanzania...
10 years ago
Dewji Blog26 Oct
Tanzania yaomba madaktari zaidi kutoka China
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
-Imekuwa inapokea madaktari kutoka China kwa miaka 46
-Yashukuru kwa kujengewa Hospitali ya magonjwa ya moyo Muhimbili
Tanzania imeiomba Jamhuri ya Watu wa China kuongeza idadi ya madaktari wake inaowatuma Tanzania kama msaada kutoa huduma ya tiba kama njia ya kuzidi kusaidia kukabiliana na upungufu wa madaktari nchini.
Aidha, Tanzania imeishukuru China kwa kujenga hospitali kubwa inayoweza kulaza wagonjwa 100 kwa...