Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Paa lamuua fundi seremala

FUNDI Seremala Ramadhani Hassan (52), maarufu Pilipili, mkazi wa Karakata jijini Dar es Salaam amefariki dunia baada ya kuanguka juu ya paa la nyumba. Kamanda wa polisi Mkoa wa Ilala,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Fundi seremala afa ghafla

FUNDI seremala, Ally Abdallah (33), mkazi wa Pugu amefariki dunia baada ya kuanguka ghafla maeneo ya Buguruni Bakhressa jijini Dar es Salaam. Akithibitisha kutokea kwa kifo hicho, Kamanda wa Polisi...

 

10 years ago

GPL

SEREMALA AJINYONGA, AACHA MASWALI

Stori: Deogratius Mongela na Chande Abdallah
KATIKA hali ya kushangaza, mtu mmoja ambaye ni fundi seremala aitwaye Emmanuel Carlos, mkazi wa Kwabinyau Magomeni jijini Dar amekutwa akiwa amejinyonga saa mbili asubuhi Septemba 23, mwaka huu katika kile kinachodaiwa kuchoshwa na mgogoro wa kifamilia. Emmanuel Carlos enzi za uhai wake. Habari kutoka eneo la tukio zinasema kwamba, kwa muda mrefu, marehemu alikuwa na mgogoro...

 

11 years ago

Mwananchi

Seremala ashinda gari la Sh70 milioni

Fundi seremala mkazi wa Manispaa ya Morogoro, Joseph Msoffe ameibuka mshindi wa gari jipya aina ya Tata Safari lenye thamani ya Sh70 milioni kwenye droo ya mwisho ya promosheni ya Chomoka na Mwananchi iliyochezeshwa Makao Makuu ya Ofisi za Mwananchi, Tabata Relini jijini Dar es Salaam, jana.

 

11 years ago

Habarileo

Gari lamshinda dereva, lamuua

DEREVA wa lori, Said Bakari amekufa papo hapo na utingo wake kujeruhiwa vibaya baada ya gari alilokuwa akiendesha kumshinda na kuacha njia na kisha kupinduka.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Gari lamuua kondakta wake

KONDAKTA wa gari lenye namba za usajili T 713 AWJ Fuso, mkazi wa Kurasini Chang’ombe, Athuman Khatibu (20), amefariki dunia baada ya kudondoka na kukanyagwa na tairi la nyuma la...

 

10 years ago

BBCSwahili

Bango lamuua mwanafunzi Afrika Kusini

Mvulana wa miaka 16 wa Lesotho amefariki baada ya uso wake kukatwa na bango barabarani akiwa katika safari ya shule huko Durban

 

11 years ago

BBCSwahili

Zanzibar;Bomu lamuua mtu mmoja

Mtu mmoja ameripotiwa kufariki huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika shambulizi la bomu kisiwani Zanzibar.

 

10 years ago

BBCSwahili

Gari laingia katika paa ya nyumba

Mapema leo gari liligonga na kuingia ndani ya nyumba moja nchini Afrika kusini kupitia paa la nyumba hiyo kulingana na huduma ya dharura ya ER24 nchini humo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani