GAUNI LA KAJALA LAMTOA JASHO ‘DIZAINA’ WAKE
![](http://api.ning.com:80/files/KkxqEnBJGWDklQ1PybLnshGd*58PWwiU-lGgRnTimHW*OFgYaKYPs7SlT2kmzlMdZfFGLDQhG51TdYGUP2c2gkNJQK*oL2bZ/Kajala.gif?width=650)
Gauni la staa wa filamu Bongo, Kajala Masanja, lilizua minon’gono ukumbini wakati wa Shindano la Kinondoni Talents Search (KTS) lililofanyika katika Ukumbi wa Millennium Tower, Makumbusho jijini Dar baada ya gauni hilo kuambatana na watu wa kulishika. Staa huyo aliingia ukumbini hapo akiambata na kijana mmoja akilishika gauni lake ambapo kila alipokatiza kijana huyo alikuwa na kazi ya kuzunguka naye kuhakikisha nguo hiyo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U8LSueg-IYpBXzSmmzy4zoNfhbH8x-v6oC0r-RjzVi184vQDTNl3blytKer2Vgb5ajFSl9awjb29RMhdWSe-Gp6mK71RGGac/kajala.jpg)
KAJALA WEMA WATOANA JASHO POLISI
10 years ago
Bongo Movies03 Jun
Kajala Atangaza Kumsamehe Mbaya Wake
Staa wa Bongo Movies, Kajala, ambaye wiki kadhaa zilizopita alishambuliwa na kujeruhiwa usoni kwa chupa na kijana alieyedai kuwa ni pombe zilimtuma vibaya, amesema licha ya shauri hilo kuwepo bado polisi, binafsi amekwishamsamehe kabisa kiroho safi jamaa
Kajala aliyasema hayo kwenye eNewz ya EATV na pia alitumia nafasi hiyo kukanusha dhahiri kuwa mbaya wake huyo hahusiani kwa namna yoyote na pande mbili za mashabiki wenye mivutano mikubwa ambao ni TeamWema wanaomsapoti mwanadada Wema...
10 years ago
Bongo Movies04 Sep
Wema sepetu azungumzia ishu ya kuajiriwa na kajala. Mpenzi wake kutoka na mtu mwingine na bifu zake.
Mitandao na magazeti siku chache zilizopita ilitoka stori ambayo ilidai Kajala anaelekea kumuajiri Wema Sepetu,leo Wema kapatikana na kakubali kuongelea isue hizo zote ikiwemo hiyo ya Kajala.
Kupitia You heard ya XXL ya Clouds Fm Soudy Brown alianza kwa kutaka kufahamu kama kweli Kajala anaweza kumuajiri yeye [Wema]. Wema Sepetu akamjibu>>’Inawezekana,kila kitu kinawezekana Soudy’
Kuhusu mshahara ambao anataka kulipwa na Kajala,Wema Sepetu amejibu>>’Kwa Kajala mi sihitaji mshahara hata...
10 years ago
Bongo Movies04 Sep
Wema sepetu azungumzia ishu ya kuajiriwa na kajala. Mpenzi wake kutoka na mtu mwingine na bifu zake.
Mitandao na magazeti siku chache zilizopita ilitoka stori ambayo ilidai Kajala anaelekea kumuajiri Wema Sepetu,leo Wema kapatikana na kakubali kuongelea isue hizo zote ikiwemo hiyo ya Kajala.
Kupitia You heard ya XXL ya Clouds Fm Soudy Brown alianza kwa kutaka kufahamu kama kweli Kajala anaweza kumuajiri yeye [Wema]. Wema Sepetu akamjibu>>’Inawezekana,kila kitu kinawezekana Soudy’
Kuhusu mshahara ambao anataka kulipwa na Kajala,Wema Sepetu amejibu>>’Kwa Kajala mi sihitaji mshahara hata...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Cmufrv6JsXU/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JSct6ft9ycQM3Ert9Mr2QX5cW47sPWYUODoc9CVtqIJsBaME*wQb7vs*w0ryFjA2HQ3msHE2pnPvi13FK6cp8fzu2k7Fnm85/isabela.jpg)
ISABELA ASAKA GAUNI LA HARUSI
10 years ago
BBCSwahili28 Feb
Gauni ya Lupita ya Oscars yapatikana