Kajala Atangaza Kumsamehe Mbaya Wake
Staa wa Bongo Movies, Kajala, ambaye wiki kadhaa zilizopita alishambuliwa na kujeruhiwa usoni kwa chupa na kijana alieyedai kuwa ni pombe zilimtuma vibaya, amesema licha ya shauri hilo kuwepo bado polisi, binafsi amekwishamsamehe kabisa kiroho safi jamaa
Kajala aliyasema hayo kwenye eNewz ya EATV na pia alitumia nafasi hiyo kukanusha dhahiri kuwa mbaya wake huyo hahusiani kwa namna yoyote na pande mbili za mashabiki wenye mivutano mikubwa ambao ni TeamWema wanaomsapoti mwanadada Wema...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies10 Mar
"Kajala ni rafiki MBAYA KULIKO WOTE DUNIANI, NAJUTA kumsaidia" - Wema Sepetu
HATARI BALAA!, Wema finally kaamua kufunguka kuhusu Kajala. Yani kamwaga ubuyu wote! kaongeaaaaaaaaa mpaka mwisho, ni hatari sana!
Amedai Kajala is the worst friend she has ever had. Na kasema ana regret kumsaidia Kajala,ile kumlipia kumtoa jela anasema anaregret vibaya sana.
Tusimalize uhondo. Msikilize mwenyewe akiongea HAPA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mJm3snXM0mw*M8AMeuSZBqQCw3pRY2mMPf*DhwLfK7n83F7cC57P5p2j1B3gkNZBvKdzTsNxaFB-AIrxX8nM8mLp0ml5pwfQ/backJUMAMOSI.gif?width=650)
MDOSI AMFANYIA MBAYA DEREVA WAKE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S6leBpJ8ovCsp6Ap6kENzipM0E0IaiGeomU3Zg1Hr55kTPIWZ4WEN-HljItapNcDlgGaRHXzMg8d7cPXn3GKXI4QRipBcetG/steven.jpg?width=650)
STEVE NYERERE AMPATANISHA WOLPER NA MBAYA WAKE
10 years ago
Bongo Movies19 May
Wastara Amuanika Mbaya Wake, Kisa ni Kuolewa na Marehemu Sajuki
Baada ya kipindi kirefu cha tetesi ya staa wa filamu Wastara kuhofia maisha yake, akihisi upo mpango wa kumuangamiza kwa njia mbalimbali ikiwepo ajali, staa huyo amesema tetesi hizo ni kweli na amekwishazitolea ripoti polisi.
Msanii huyo amekiri kupitia eNewz kuwa, ni kweli yupo katika tishio la maisha yake, mhusika mkubwa wa hilo akiwa mwanaume ambaye alikuwa na mahusiano yake wa zamani ambaye hawana maelewano mazuri naye.Wastara amesema kuwa, amekuwa na historia ya mahusiano mabovu na mtu...
9 years ago
BBCSwahili04 Sep
Rais Buhari atangaza utajiri wake
10 years ago
Habarileo01 Mar
Makonda atangaza mpango kazi wake
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda ameweka wazi mpango kazi wake baada ya kukaa ofisini kwa siku tatu tangu kuapishwa kushika wadhifa huo.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KkxqEnBJGWDklQ1PybLnshGd*58PWwiU-lGgRnTimHW*OFgYaKYPs7SlT2kmzlMdZfFGLDQhG51TdYGUP2c2gkNJQK*oL2bZ/Kajala.gif?width=650)
GAUNI LA KAJALA LAMTOA JASHO ‘DIZAINA’ WAKE