ISABELA ASAKA GAUNI LA HARUSI
![](http://api.ning.com:80/files/JSct6ft9ycQM3Ert9Mr2QX5cW47sPWYUODoc9CVtqIJsBaME*wQb7vs*w0ryFjA2HQ3msHE2pnPvi13FK6cp8fzu2k7Fnm85/isabela.jpg)
Stori: Gladness Mallya MMH! Katika hali ya kushangaza na kuonyesha kwamba ana hamu ya ndoa, msanii wa filamu na muziki, Isabela Mpanda hivi karibuni alinaswa akitafuta gauni la harusi wakati hata vikao havijaanza. Msanii wa filamu na muziki, Isabela Mpanda. Kikizungumza chanzo makini kilisema mwanadada huyo alikuwa maeneo ya Makumbusho jijini Dar akipita kwenye maduka mbalimbali akitafuta gauni la harusi wakati hata...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZNt8FIknlRPHilWv3-MNK8dz3cIosPtjBiVE9kdrP*GeoedwbveyiFqHVnwQEZGv-4afLpchDfRF9TmBNKyg5hH*y8xKIqmR/wedding2.jpg?width=650)
JAMANI! NDOA ISISHIKILIWE KAMA GAUNI LA HARUSI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LRabT8flycEzHYGnp7b5aLZWwLtM5gq92NUNcaIGjAX3bZMSa0G84mij2fms4*b5EkYd0FmszSwqaa*EiVD7lAkGKcwazzck/isabela.jpg)
MSIBA WAKWAMISHA VIKAO VYA HARUSI YA ISABELA
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Pale ambapo sherehe ya harusi inalazimika kuendelea japo bwana harusi kafariki… (+Video)
Ndugu jamaa na marafiki walijikuta wakiendelea na ratiba ya mazishi kwa mtindo wa sherehe baada ya bwana harusi kufariki… bibi harusi nae ilibidi akubaliane na ukweli kwamba ndoa yao imekatishwa na kifo cha mume mtarajiwa. Kifo cha bwana harusi John Mwangi kilitokana na ajali baada ya gari kutumbukia mtoni maeneo ya Kabarnet, Kaunti ya Baringo Kenya… […]
The post Pale ambapo sherehe ya harusi inalazimika kuendelea japo bwana harusi kafariki… (+Video) appeared first on...
5 years ago
BBCSwahili14 Feb
Bwana harusi afukuzwa kutoka kwa harusi yake.
10 years ago
BBCSwahili18 Feb
Bwana harusi aanguka kifafa kabla ya harusi
9 years ago
Mtanzania10 Nov
Bibi harusi amkimbia bwana harusi
NA UPENDO MOSHA, MOSHI
MWANAMKE aliyejulikana kwa jina la Doroth Msuya, mkazi wa Monduli mkoani Arusha, ametoweka muda mfupi kabla ya kufunga ndoa na Joseph Machange, mkazi wa Mwika, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro.
Ndoa ya wawili hao ilitarajiwa kufungwa Jumamosi ya Novemba 7 katika Kanisa la Kinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini, Usharika wa Lole, Mwika.
Mchungaji mwenza wa usharika huo, Elikeseni Shao, alisema majira ya saa sita na nusu mchana wakati maandalizi...
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
Bi harusi apewa talaka siku ya harusi
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-H1clHA6zHAs/VOWS1gTUuOI/AAAAAAAAHkA/Ez6l2ZC7Qcw/s72-c/Indian-Wedding-Photos-151.jpg)
BWANA HARUSI AANGUKA KIFAFA KABLA YA HARUSI, ALIMFICHA MKEWE MTARAJIWA KAMA ANAANGUKA, MKE AAMUA KUOLEWA NA MWINGINE PAPO KWA PAPO
![](http://2.bp.blogspot.com/-H1clHA6zHAs/VOWS1gTUuOI/AAAAAAAAHkA/Ez6l2ZC7Qcw/s640/Indian-Wedding-Photos-151.jpg)
10 years ago
BBCSwahili28 Feb
Gauni ya Lupita ya Oscars yapatikana