Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSIBA WAKWAMISHA VIKAO VYA HARUSI YA ISABELA

SORRY! Vikao vya maandalizi ya harusi ya msanii wa muziki Bongo, Isabela Mpanda vimeahirishwa na kusogezwa mbele baada ya kupata msiba wa dada yake. Msanii wa muziki Bongo, Isabela Mpanda. Akizungumza na gazeti hili, Isabela alisema vikao vya maandalizi vilikuwa vianze Jumapili iliyopita lakini waliahirisha kutokana na msiba hivyo familia imeamua wasubiri mpaka siku arobaini ziishe ndipo waendelee na maandalizi ya harusi....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Wema Sepetu Atoswa ! Vikao Vya Harusi Ya Diamond Na Meninah Vyaanza Nyumbani Kwa Mama Diamond.

Meninahhabari mpya zinasema kuwa vikao vya harusi ya Diamond na Meninah ambaye ni mwanamuziki wa Bongo fleva vimeanza kimya kimya nyumbani kwa mama Diamond huku mmoja wa wahudhuriaji wakiwa ni mama Diamond mwenyewe na Queen Darling ambaye ni dada wa Diamond.Kwa mujibu wa Baabkubwa magazine paparazzi wake alienda nyumbani kwa Diamond hivi juzi kati kufanya nae mahojiano hata hivyo hakumkuta Diamond lakini alimkuta mmoja wa watu wake wa karibu ambaye yupo pia upande wa Wema Sepetu.Chanzo...

 

10 years ago

GPL

ISABELA ASAKA GAUNI LA HARUSI

Stori: Gladness Mallya
MMH! Katika hali ya kushangaza na kuonyesha kwamba ana hamu ya ndoa, msanii wa filamu na muziki, Isabela Mpanda hivi karibuni alinaswa akitafuta gauni la harusi wakati hata vikao havijaanza. Msanii wa filamu na muziki, Isabela Mpanda. Kikizungumza chanzo makini kilisema mwanadada huyo alikuwa maeneo ya Makumbusho jijini Dar akipita kwenye maduka mbalimbali akitafuta gauni la harusi wakati hata...

 

5 years ago

Michuzi

VIKAO VYA BARAZA LA MAWAZIRI WA SADC SASA KUFANYIKA KWA NJIA YA VIDEO KUEPUKA KITISHO CHA KUSAMBAA KWA VIRUSI VYA UGONJWA WA CORONA



Na Said Mwishehe,Michuzi Blog ya jamii


NCHI za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika( SADC) zimechukua hatua ya vikao vyake kikiwemo cha Baraza la Mawaziri katika nchi hizo kufanya vikao kwa njia ha Video ikiwa ni moja ya mkakati wa kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa Corona ( CODIC -19 ).

Akizungumza leo Machi 10 mwaka 2020 ,Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Kanali Wilbert Ibuge amesema kuwa hatua hizo zimetokana na ushauri uliotolewa katika...

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

Mwananchi

Waandishi marufuku vikao vya kamati

Kamati ya Kumshauri Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalumu la Katiba imefuta mpango wake wa awali na kuamua vikao vyote vya Kamati za Bunge hilo, vitafanyika kwa faragha kwa kutoruhusu waandishi wa habari.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Marufuku vikao vya halmashauri bila wabunge

HALMASHAURI zote za wilaya nchini zimepigwa marufuku kuandaa vikao vya halmashauri bila kutoa taarifa kwa wabunge kwa sababu nao wana haki ya kuhudhuria vikao hivyo Kikatiba. Hayo yalielezwa Bungeni  mjini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani