MSIBA WAKWAMISHA VIKAO VYA HARUSI YA ISABELA
![](http://api.ning.com:80/files/LRabT8flycEzHYGnp7b5aLZWwLtM5gq92NUNcaIGjAX3bZMSa0G84mij2fms4*b5EkYd0FmszSwqaa*EiVD7lAkGKcwazzck/isabela.jpg)
SORRY! Vikao vya maandalizi ya harusi ya msanii wa muziki Bongo, Isabela Mpanda vimeahirishwa na kusogezwa mbele baada ya kupata msiba wa dada yake. Msanii wa muziki Bongo, Isabela Mpanda. Akizungumza na gazeti hili, Isabela alisema vikao vya maandalizi vilikuwa vianze Jumapili iliyopita lakini waliahirisha kutokana na msiba hivyo familia imeamua wasubiri mpaka siku arobaini ziishe ndipo waendelee na maandalizi ya harusi....
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-9GRF6qSFToU/VB6-Q0Rz4QI/AAAAAAAAcA0/jRXKaIf9wm8/s72-c/meninah.jpg)
Wema Sepetu Atoswa ! Vikao Vya Harusi Ya Diamond Na Meninah Vyaanza Nyumbani Kwa Mama Diamond.
![](http://3.bp.blogspot.com/-9GRF6qSFToU/VB6-Q0Rz4QI/AAAAAAAAcA0/jRXKaIf9wm8/s640/meninah.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JSct6ft9ycQM3Ert9Mr2QX5cW47sPWYUODoc9CVtqIJsBaME*wQb7vs*w0ryFjA2HQ3msHE2pnPvi13FK6cp8fzu2k7Fnm85/isabela.jpg)
ISABELA ASAKA GAUNI LA HARUSI
9 years ago
GPL05 Oct
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kmZN0XGE77s/Xk4QSf447TI/AAAAAAALeZ8/X2irazU43XApi9PlfK9Xa3uhSOdSoH3PACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/_69WFUiNhVk/default.jpg)
5 years ago
MichuziVIKAO VYA BARAZA LA MAWAZIRI WA SADC SASA KUFANYIKA KWA NJIA YA VIDEO KUEPUKA KITISHO CHA KUSAMBAA KWA VIRUSI VYA UGONJWA WA CORONA
Na Said Mwishehe,Michuzi Blog ya jamii
NCHI za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika( SADC) zimechukua hatua ya vikao vyake kikiwemo cha Baraza la Mawaziri katika nchi hizo kufanya vikao kwa njia ha Video ikiwa ni moja ya mkakati wa kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa Corona ( CODIC -19 ).
Akizungumza leo Machi 10 mwaka 2020 ,Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Kanali Wilbert Ibuge amesema kuwa hatua hizo zimetokana na ushauri uliotolewa katika...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MOpK-HSwGjs/VZ-A8JMll4I/AAAAAAAHodo/EA399rvQhnM/s72-c/PR-Release.png)
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Waandishi marufuku vikao vya kamati
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Marufuku vikao vya halmashauri bila wabunge
HALMASHAURI zote za wilaya nchini zimepigwa marufuku kuandaa vikao vya halmashauri bila kutoa taarifa kwa wabunge kwa sababu nao wana haki ya kuhudhuria vikao hivyo Kikatiba. Hayo yalielezwa Bungeni mjini...