GAVANA SHILATU AAGIZA MIKOROSHO ILIYOKATWA IPANDWE MINGINE
![](https://1.bp.blogspot.com/-koJepTWW1h0/XozAOcuOSAI/AAAAAAALma8/OqF1NMmYQikfH2nlseNs4XQrHnLV7lKyACLcBGAsYHQ/s72-c/4b436f2a-135b-43e5-96cb-e3747abee176.jpg)
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Afisa Tarafa Mihambwe ametoa maelekezo kwa Serikali ya Kijiji cha Mitondi A kilichopo kata ya Kitama kuhakikisha wanapanda miti mingine ya Mikorosho baada ya awali iliyokuwepo kukatwa.
Gavana Shilatu aliyasema hayo Leo Jumanne Aprili 7, 2020 wakati akizungumza na Halmashauri ya Serikali ya Kijiji cha Mitondi A ambapo alionyesha kuchukizwa na kitendo cha uamuzi wa kukata Mikorosho wakati hiyo ni sehemu ya uchumi na uhifadhi wa mazingira unaopazwa sauti kila kukicha na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-C6lpX7pizAU/U89dWhubaMI/AAAAAAAAB8Q/xC50wO4DNbg/s72-c/IMG-20140722-WA0002.jpg)
1st DEATH ANNIVERSARY OF JOHN SHILATU
![](http://2.bp.blogspot.com/-C6lpX7pizAU/U89dWhubaMI/AAAAAAAAB8Q/xC50wO4DNbg/s1600/IMG-20140722-WA0002.jpg)
The late John Shilatu
It is exactly one year since you passed away, the way we miss you, and the way we remember you, the gap is clearly shown, we exactly know how much you meant to us. We still think about you everyday, we just love and miss you in our own special way.
Deeply missed by your Wife Bernadina; Your Children Benigna, Emmanuel, Geofrey, Gerald & Digna; your only grandson Jayden; Your Sisters Laura & Clara; Your Sisters inlaws, friends, neighbours, relatives and clans of Shilatu &...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XMKZmfefsAU/XrAyzfk05JI/AAAAAAALpF8/zFi1Amkp-fIMPSrfN0P3ql-HQ4I6mpwPQCLcBGAsYHQ/s72-c/84d45d21-044f-44a4-990d-abaf474ab998.jpg)
SHILATU ARIDHISHWA NA UANDIKISHWAJI WAPIGA KURA
Zoezi la uandikishwaji na uboreshwaji wa Wapiga kura kwenye daftari la kudumu la Wapiga kura limeenda vyema kwa amani na utulivu.
Hayo yamejidhihirisha kwenye ziara aliyoifanya Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu alipotembelea na kukagua vituo mbalimbali vya uandikishaji ambapo alijionea amani na utulivu ikitawala huku Watu wengi wenye sifa wakijitokeza kuandikisha na wengine kufanya maboresho ya taarifa zao.
"Huu ni mzunguko wa awamu ya pili ya uandikishaji ambapo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tv6bblZXVEo/Xr11_PKr16I/AAAAAAALqPc/QZINf_I7LpsncJDEea2lTd0sRFBVPPyagCLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1589462861742.jpg)
SHILATU ASHIRIKI UJENZI OFISI YA KIJIJI WANANCHI WAFURAHIA
Akemea hujuma na tamaa ya posho
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu ameshiriki pamoja na Wananchi kwenye ujenzi ofisi ya Kijiji cha Mwenge A kilichopo kata ya Kitama kwa kumwaga zege jamvi.
Gavana Shilatu alijumuika na Wananchi hao ambao walikuwa na kiu ya siku nyingi ya kupata ofisi ya Kijiji chao na hatimaye limewezekana kwa ushirikiano mkubwa wa Afisa Tarafa huyo.
Gavana Shilatu aliwasisitiza Wananchi kuwa Wazalendo na kuacha tamaa ili malengo ya mradi wa...
10 years ago
Dewji Blog15 Sep
Kinana akagua Shamba la Mikorosho 19270 iliyoharibika katika kijiji cha Magawa, Mkuranga na kuwaahidi kuwasaidia wakulima wa zao hilo kupata fidia
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiangalia moja kati ya miti 19,270 ya korosho iliyoharibika alipokwenda kukagua shamba la hekali 1000 katika Kijiji cha Magawa wakati wa ziara yake wilayani Mkuranga ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM.PICHA NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Kinana akiongoza kukagua shamba la mikorosho iliyoharibika na kuwafanya wananchi wa Kijiji cha Magawa kuwa...
10 years ago
Vijimambo28 Mar
MAAFA MINGINE NEW YORK CITY
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/03/27/13/270C2EDE00000578-3013437-image-a-16_1427461243148.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M_2jzKnNuTw/XswXSvaFX1I/AAAAAAALrfo/ISC2MiIJRbYgKc-9y4wqWK5t3Y0DQ6mqACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200525-WA0105.jpg)
SHILATU AKAGUA UJENZI NYUMBA YA MWALIMU,WANANCHI WAMSHUKURU RAIS MAGUFULI
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu amekagua ujenzi nyumba ya Mwalimu huku Wakazi wa Kijiji cha Mpunda kilichopo kata ya Michenjele wakimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwajengea nyumba ya kuishi Mwalimu katika shule ya msingi Mpunda.
"Tunamshuru Rais Magufuli kutuletea fedha za kujenga nyumba hii ya Mwalimu. Haijawahi kutokea tangu tupate Uhuru maendeleo haya ya kasi tunayoyaona. Pia tunamshukuru Afisa Tarafa Mihambwe kututembelea mara kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ztAriTe-YPE/XrEL5SD6cdI/AAAAAAALpKU/fJVZsU9ZZmAuT9T8_6VRFwt_v8IRYtMVQCLcBGAsYHQ/s72-c/1873026f-9ad1-417f-98c4-57a1186d4198.jpg)
SHILATU AHUISHA TAARIFA ZAKE KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ztAriTe-YPE/XrEL5SD6cdI/AAAAAAALpKU/fJVZsU9ZZmAuT9T8_6VRFwt_v8IRYtMVQCLcBGAsYHQ/s640/1873026f-9ad1-417f-98c4-57a1186d4198.jpg)
Afisa Tarafa Mihambwe, Emmanuel Shilatu akipigwa picha wakati wa kuhuisha taarifa zake kwenye daftari la Kudumu la Mpiga Kura Jana Mei 04, 2020.
10 years ago
Mwananchi14 Jul
Sugu ataka miaka mingine mitano
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lihD20i2jrzgocy0kzecVFfWxGMpgCRu-b7euqAENQ*SYMcbDdtVwLrUXtc4uOGd*81QymheTwi5v*xPg6OVgIbniv2MvDVM/mahaba667.jpg)
MICHEPUKO MINGINE BWANA, NUKSI TUPU!