Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GAVANA SHILATU AAGIZA MIKOROSHO ILIYOKATWA IPANDWE MINGINE


Na Mwandishi wetu Mihambwe

Afisa Tarafa Mihambwe ametoa maelekezo kwa Serikali ya Kijiji cha Mitondi A kilichopo kata ya Kitama kuhakikisha wanapanda miti mingine ya Mikorosho baada ya awali iliyokuwepo kukatwa.

Gavana Shilatu aliyasema hayo Leo Jumanne Aprili 7, 2020 wakati akizungumza na Halmashauri ya Serikali ya Kijiji cha Mitondi A ambapo alionyesha kuchukizwa na kitendo cha uamuzi wa kukata Mikorosho wakati hiyo ni sehemu ya uchumi na uhifadhi wa mazingira unaopazwa sauti kila kukicha na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

1st DEATH ANNIVERSARY OF JOHN SHILATU


The late John Shilatu
It is exactly one year since you passed away, the way we miss you, and the way we remember you, the gap is clearly shown, we exactly know how much you meant to us. We still think about you everyday, we just love and miss you in our own special way.
Deeply missed by your Wife Bernadina; Your Children Benigna, Emmanuel, Geofrey, Gerald & Digna; your only grandson Jayden; Your Sisters Laura & Clara; Your Sisters inlaws, friends, neighbours, relatives and clans of Shilatu &...

 

5 years ago

Michuzi

SHILATU ARIDHISHWA NA UANDIKISHWAJI WAPIGA KURA

Na Mwandishi wetu Mihambwe

Zoezi la uandikishwaji na uboreshwaji wa Wapiga kura kwenye daftari la kudumu la Wapiga kura limeenda vyema kwa amani na utulivu.

Hayo yamejidhihirisha kwenye ziara aliyoifanya Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu alipotembelea na kukagua vituo mbalimbali vya uandikishaji ambapo alijionea amani na utulivu ikitawala huku Watu wengi wenye sifa wakijitokeza kuandikisha na wengine kufanya maboresho ya taarifa zao.

"Huu ni mzunguko wa awamu ya pili ya uandikishaji ambapo...

 

5 years ago

Michuzi

SHILATU ASHIRIKI UJENZI OFISI YA KIJIJI WANANCHI WAFURAHIA


Akemea hujuma na tamaa ya posho

Na Mwandishi wetu Mihambwe

Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu ameshiriki pamoja na Wananchi kwenye ujenzi ofisi ya Kijiji cha Mwenge A kilichopo kata ya Kitama kwa kumwaga zege jamvi.

Gavana Shilatu alijumuika na Wananchi hao ambao walikuwa na kiu ya siku nyingi ya kupata ofisi ya Kijiji chao na hatimaye limewezekana kwa ushirikiano mkubwa wa Afisa Tarafa huyo.

Gavana Shilatu aliwasisitiza Wananchi kuwa Wazalendo na kuacha tamaa ili malengo ya mradi wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kinana akagua Shamba la Mikorosho 19270 iliyoharibika katika kijiji cha Magawa, Mkuranga na kuwaahidi kuwasaidia wakulima wa zao hilo kupata fidia

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiangalia moja kati ya miti 19,270 ya korosho iliyoharibika  alipokwenda kukagua shamba la hekali 1000 katika Kijiji cha Magawa wakati wa ziara yake wilayani Mkuranga ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM.PICHA NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG

IMG_5802

 Kinana akiongoza kukagua shamba la mikorosho iliyoharibika na kuwafanya wananchi wa Kijiji cha Magawa kuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

MAAFA MINGINE NEW YORK CITY

Maafa haya yametokea New York Friday na kusabaisha watu 22 majeruhi na watu wawili kupotea hadi sasa hawajulikani walipo. Inasemekana Gas ndani ya restaurant ndiyo ilisababisha maafa ya moto huu ulioteketeza  majengo matatu  pamoja na restaurant ya Sushi Park kwenye barabara ya 2 maeneo ya East Village New York majira ya saa tisa jioni na kusababisha shughuli za maeneo hayo kusimama na watu kukimbia ovyo. Inasemekana mmiriki wa restaurant hiyo alisikia harufu ya gas dakika 15 kabla ya moto...

 

5 years ago

Michuzi

SHILATU AKAGUA UJENZI NYUMBA YA MWALIMU,WANANCHI WAMSHUKURU RAIS MAGUFULI


Na Mwandishi wetu Mihambwe
Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu amekagua ujenzi nyumba ya Mwalimu huku Wakazi wa Kijiji cha Mpunda kilichopo kata ya Michenjele wakimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwajengea nyumba ya kuishi Mwalimu katika shule ya msingi Mpunda.
"Tunamshuru Rais Magufuli kutuletea fedha za kujenga nyumba hii ya Mwalimu. Haijawahi kutokea tangu tupate Uhuru maendeleo haya ya kasi tunayoyaona. Pia tunamshukuru Afisa Tarafa Mihambwe kututembelea mara kwa...

 

5 years ago

Michuzi

SHILATU AHUISHA TAARIFA ZAKE KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu ametumia haki yake kikatiba ya kujiandikisha kwa kuhuisha taarifa zake kwenye daftari la Kudumu la Mpiga Kura itakayompa fursa ya kidemokrasia ya kuchagua viongozi anaowataka kwenye uchaguzi mkuu wa Urais, Ubunge na Udiwani.

Afisa Tarafa Mihambwe, Emmanuel Shilatu akipigwa picha wakati wa kuhuisha taarifa zake kwenye daftari la Kudumu la Mpiga Kura Jana Mei 04, 2020.

 

10 years ago

Mwananchi

Sugu ataka miaka mingine mitano

>Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, amesema baadhi ya majukumu aliyopewa na wananchi hajayakamilisha, hivyo anasubiri uamuzi wa chama kuhusu hatima yake ya kuteuliwa tena kuwania ubunge.

 

10 years ago

GPL

MICHEPUKO MINGINE BWANA, NUKSI TUPU!

Mpenzi msomaji wangu ni Jumatatu nyingine tulivu kabisa tunakutana tena kwenye safu hii ya XXLove kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu. Mlio kwenye Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani hongereni kwani ni moja ya nguzo kuu ya Uislamu. Sehemu kubwa ya jamii yetu kuna mambo yamekuwa yakifanyika na kuonekana kana kwamba ni mambo ya kawaida lakini ukweli si huo. Wapenzi kuchepuka imekuwa kama sehemu ya maisha yao ya kila siku hasa kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani