GEDIOSE MUKULASI NA DORICE MBOYERWA WAFUNGWA KIFUNGO CHA MAISHA BUKOBA.
Ni siku ya historia katika maisha yao ya hapa duniani Bw Gediose Mukulasi na Bi Dorice Mboyerwa,kwani wameingia katika mkataba ambao hakuna miongoni mwao anaweza kuuvunja mpaka hapo mmoja wao kwa mapenzi ya mungu anaweza kukutwa na mauti.Ilikuwa ni furaha, nderemo na vifijo katika kanisa la Kikatoliki Cathedral Bukoba mjini mbele ya waumini na hakimu wa kiroho walipotamka na kukubaliana kuishi pamoja milele.Baada ya hapo sherehe kubwa ya kuwapongeza ilifanyika katika ukumbi wa Lake hotel...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili28 Apr
Nahodha: Kifungo cha maisha gerezani
10 years ago
BBCSwahili04 Feb
230 wahukumiwa kifungo cha maisha Misri
10 years ago
Vijimambo
MTANZANIA CHARLES MIHAYO ALIYEUWA WATOTO WAKE AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA


A Melbourne man who murdered his two young daughters by smothering them with a pillow has been sentenced to life in jail.
Charles Mihayo, 36, smothered his daughters Savannah, 4, and Indianna, 3, at his unit at Watsonia in April.
He pleaded guilty to the killings in August and was today sentenced in the Supreme Court to a minimum of 31 years in...
10 years ago
Michuzi
MAHAKAMA YA WILAYA YA ILALA IMEMUHUKUMU KIFUNGO CHA MAISHA JELA MCHUNGAJI WA KANISA LA TANZANIA

Pia, mahakama hiyo imetaka mchungaji huyo amlipe fidia ya Shilingi milioni 2 mlalamikaji ambaye ni mwanafunzi wa Shule ya Msingi Mbondole iliyoko Ukonga.
Ilidaiwa mahakamani hapo kuwa, Ngomai alianza kumbaka mtoto huyo akiwa na umri wa miaka kumi na moja, wakati huo akisoma darasa la...
10 years ago
Michuzi19 Dec
9 years ago
BBCSwahili13 Nov
ICC yapunguza kifungo cha Katanga
11 years ago
Vijimambo14 Oct
Pistorius aombewa kifungo cha nyumbani

Bwana Joel Maringa afisa anayehusika na masuala ya urekebishaji tabia aliiambia mahakama mjini Pretoria kuwa hawamuadhibu tu Pistoruiis bali pia wanataka kumbadili kitabia akisema kuwa anaweza kutoa huduma za jamii kwa saa 16 kwa mwezi.
Awali daktari wa Pistorius anayehusika na matatizo ya akili Lore Hartzenberg aliiambia...
11 years ago
BBCSwahili18 Mar
Kanye West apokea kifungo cha nje
11 years ago
Habarileo15 Jul
Wizara yasisitiza programu ya kifungo cha nje
WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Idara ya Huduma kwa Jamii imesema ili urekebishaji wa wahalifu chini ya programu ya kifungo cha nje ufanikiwe, Serikali ichukue hatua za makusudi kueneza utekelezaji wa sheria ya huduma kwa jamii kwa nchi nzima.