Nahodha: Kifungo cha maisha gerezani
Mahakama ya rufaa nchini Korea Kusini imempata na hatia ya kuua nahodha wa feri iliyozama na kumhukumu kifungo cha maisha gerezani
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi19 Dec
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BXOqGHe_EAI/VEYgTL9ulxI/AAAAAAAGsJM/ShIyMnOI2Qw/s72-c/imrs.jpg)
News alert: Oscar Pistorius ahukumiwa kifungo cha miaka 5 gerezani kwa kumuua bila kukusudia girlfiend wake
![](http://4.bp.blogspot.com/-BXOqGHe_EAI/VEYgTL9ulxI/AAAAAAAGsJM/ShIyMnOI2Qw/s1600/imrs.jpg)
Mwanariadha huyo asiye na miguu aliyeshangaza ulimwengu katika michuano ya Olympic mwaka 2012, amehukumiwa kifungo cha miaka 5 gerezani na Jaji wa Afrika ya Kusini asubuhi hii, katika hatua inayofikisha tamati mlolomngo wa muda mrefu wa kesi hiyo iliyokuwa ikifuatiliwa kwa karibu ulimwenguni kote
Pistorius alipatikana na hatia ya kuua bila kukusudia mnamo Septemba 12, mwaka huu, kwa kumtoa...
10 years ago
BBCSwahili04 Feb
230 wahukumiwa kifungo cha maisha Misri
Watu 230 wahukumiwa kifungo cha maisha kwa kuhusika katika harakati za kuiondoa Serikali ya Hosni Mubarak madarakani.
10 years ago
Vijimambo05 Dec
GEDIOSE MUKULASI NA DORICE MBOYERWA WAFUNGWA KIFUNGO CHA MAISHA BUKOBA.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-zfnGC_Ys5QE/VJKOzm8CeBI/AAAAAAADSHs/FLkDKEMKsz4/s72-c/Watoto%2B1.jpg)
MTANZANIA CHARLES MIHAYO ALIYEUWA WATOTO WAKE AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-zfnGC_Ys5QE/VJKOzm8CeBI/AAAAAAADSHs/FLkDKEMKsz4/s1600/Watoto%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-S43M6Be2jRY/VJKOztu8byI/AAAAAAADSHo/IQGoBwV5syg/s1600/watoto.jpg)
A Melbourne man who murdered his two young daughters by smothering them with a pillow has been sentenced to life in jail.
Charles Mihayo, 36, smothered his daughters Savannah, 4, and Indianna, 3, at his unit at Watsonia in April.
He pleaded guilty to the killings in August and was today sentenced in the Supreme Court to a minimum of 31 years in...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-si6PqY581wo/VidE0Fbo9SI/AAAAAAAIBcQ/e8kpMqqfxEY/s72-c/download.jpg)
MAHAKAMA YA WILAYA YA ILALA IMEMUHUKUMU KIFUNGO CHA MAISHA JELA MCHUNGAJI WA KANISA LA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-si6PqY581wo/VidE0Fbo9SI/AAAAAAAIBcQ/e8kpMqqfxEY/s1600/download.jpg)
Pia, mahakama hiyo imetaka mchungaji huyo amlipe fidia ya Shilingi milioni 2 mlalamikaji ambaye ni mwanafunzi wa Shule ya Msingi Mbondole iliyoko Ukonga.
Ilidaiwa mahakamani hapo kuwa, Ngomai alianza kumbaka mtoto huyo akiwa na umri wa miaka kumi na moja, wakati huo akisoma darasa la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TlZuy_yX7iw/XrWMFT12naI/AAAAAAALphM/er39MqVCxU0WPndFnZpMvBWNq7y6Zv19gCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
AHUKUMIWA KIFUNGO MIAKA 30 GEREZANI KWA KOSA LA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA AINA YA HEROINE ZENYE UZITO WA GRAMU 306.6
Na Karama Kenyunko, Michuzi TV
Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu uchumi, imemuhukumu Islem Shebe Islem (50) raia wa Tanzania mwenye asili ya kiarabu, kutumikia kifungo cha miaka 30 gerezani baada ya kupatikana na hatia katika kosa la kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroine zenye uzito wa gramu 306.32.
Hukumu hiyo imesomwa leo Mei 8 2020 mbele Jaji Elinaza Luvanda baada upande wa mashtaka kupitia mashahidi wake saba na vielelezo mbali mbali zikiwemo dawa hizo kuweza...
Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu uchumi, imemuhukumu Islem Shebe Islem (50) raia wa Tanzania mwenye asili ya kiarabu, kutumikia kifungo cha miaka 30 gerezani baada ya kupatikana na hatia katika kosa la kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroine zenye uzito wa gramu 306.32.
Hukumu hiyo imesomwa leo Mei 8 2020 mbele Jaji Elinaza Luvanda baada upande wa mashtaka kupitia mashahidi wake saba na vielelezo mbali mbali zikiwemo dawa hizo kuweza...
9 years ago
BBCSwahili13 Nov
ICC yapunguza kifungo cha Katanga
Majaji wa rufaa mahakama ya ICC wamepunguza hukumu aliyopewa kiongozi wa zamani wa waasi nchini DR Congo Germain Katanga.
10 years ago
Vijimambo14 Oct
Pistorius aombewa kifungo cha nyumbani
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/270/amz/worldservice/live/assets/images/2014/09/12/140912120328_oscar_pistorius_304x171_ap_nocredit.jpg)
Bwana Joel Maringa afisa anayehusika na masuala ya urekebishaji tabia aliiambia mahakama mjini Pretoria kuwa hawamuadhibu tu Pistoruiis bali pia wanataka kumbadili kitabia akisema kuwa anaweza kutoa huduma za jamii kwa saa 16 kwa mwezi.
Awali daktari wa Pistorius anayehusika na matatizo ya akili Lore Hartzenberg aliiambia...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania