Pistorius aombewa kifungo cha nyumbani
Idara ya kurekebisha tabia nchini Afrika Kusini inataka Oscar Pistorius apewe kifungo cha nyumbani cha miaka mitatu kwa kumpiga risasi na kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp.
Bwana Joel Maringa afisa anayehusika na masuala ya urekebishaji tabia aliiambia mahakama mjini Pretoria kuwa hawamuadhibu tu Pistoruiis bali pia wanataka kumbadili kitabia akisema kuwa anaweza kutoa huduma za jamii kwa saa 16 kwa mwezi.
Awali daktari wa Pistorius anayehusika na matatizo ya akili Lore Hartzenberg aliiambia...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Ronaldinho na nduguye wawekwa katika kifungo cha nyumbani nchini Paraguay
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BXOqGHe_EAI/VEYgTL9ulxI/AAAAAAAGsJM/ShIyMnOI2Qw/s72-c/imrs.jpg)
News alert: Oscar Pistorius ahukumiwa kifungo cha miaka 5 gerezani kwa kumuua bila kukusudia girlfiend wake
![](http://4.bp.blogspot.com/-BXOqGHe_EAI/VEYgTL9ulxI/AAAAAAAGsJM/ShIyMnOI2Qw/s1600/imrs.jpg)
Mwanariadha huyo asiye na miguu aliyeshangaza ulimwengu katika michuano ya Olympic mwaka 2012, amehukumiwa kifungo cha miaka 5 gerezani na Jaji wa Afrika ya Kusini asubuhi hii, katika hatua inayofikisha tamati mlolomngo wa muda mrefu wa kesi hiyo iliyokuwa ikifuatiliwa kwa karibu ulimwenguni kote
Pistorius alipatikana na hatia ya kuua bila kukusudia mnamo Septemba 12, mwaka huu, kwa kumtoa...
9 years ago
BBCSwahili15 Oct
Pistorius kuwekwa kwenye kizuizi cha nyumbani
11 years ago
BBCSwahili13 Mar
Damu nyumbani kwa Pistorius
11 years ago
Mwananchi15 Mar
‘Tulikuta damu nyumbani kwa Pistorius’
9 years ago
BBCSwahili13 Nov
ICC yapunguza kifungo cha Katanga
10 years ago
BBCSwahili28 Apr
Nahodha: Kifungo cha maisha gerezani
10 years ago
BBCSwahili04 Feb
230 wahukumiwa kifungo cha maisha Misri
11 years ago
Habarileo15 Jul
Wizara yasisitiza programu ya kifungo cha nje
WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Idara ya Huduma kwa Jamii imesema ili urekebishaji wa wahalifu chini ya programu ya kifungo cha nje ufanikiwe, Serikali ichukue hatua za makusudi kueneza utekelezaji wa sheria ya huduma kwa jamii kwa nchi nzima.