Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ICC yapunguza kifungo cha Katanga

Majaji wa rufaa mahakama ya ICC wamepunguza hukumu aliyopewa kiongozi wa zamani wa waasi nchini DR Congo Germain Katanga.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Katanga apatwa na hatia ICC

Majaji wa ICC, mjini The Hague, walimpata na hatia ya uhalifu wa kivita na ukatili dhidi ya binadamu, kiongozi wa waasi DRC Germain Katanga.

 

10 years ago

BBCSwahili

Katanga aiomba ICC imwachilie huru

Kiongozi wa zamani wa waasi nchini DR Congo Germain Katanga, aliyefungwa jela miaka 12, ameiomba mahakama ya ICC imwachilie huru.

 

11 years ago

BBCSwahili

ICC kuamua kesi dhidi ya Katanga

Mahakama ya kimataifa ya jinai ICC,itatoa hukumu dhidi ya mbabe wa vita kutoka Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, Germain Katanga.

 

11 years ago

Bongo5

EFM yavunja ngome ya kipindi cha michezo cha Radio One, yawachukua Maulid Kitenge na Omary Katanga

Kipindi cha michezo cha Radio One ‘Spoti Leo’ kimepata pigo kali baada ya watangazaji wake mahiri, Maulid Kitenge na Omary Katanga kuhamia EFM 93.7 ya Dar es Salaam. Maulid Kitenge na Omary Katanga enzi wakiwa Radio One Kuondoka ghafla kwa watangazaji hao waliokifanya kipindi cha ‘Spoti Leo’ kuwa kipindi bora zaidi cha michezo nchini kutokana […]

 

11 years ago

BBCSwahili

WHO yapunguza kiwango cha sukari

Shirika la Afya duniani WHO limepunguza kwa nusu kiwango cha sukari inayotumiwa na binadamu ili kukabiliana na tatizo la kunenepa.

 

11 years ago

Vijimambo

Pistorius aombewa kifungo cha nyumbani

Idara ya kurekebisha tabia nchini Afrika Kusini inataka Oscar Pistorius apewe kifungo cha nyumbani cha miaka mitatu kwa kumpiga risasi na kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp.

Bwana Joel Maringa afisa anayehusika na masuala ya urekebishaji tabia aliiambia mahakama mjini Pretoria kuwa hawamuadhibu tu Pistoruiis bali pia wanataka kumbadili kitabia akisema kuwa anaweza kutoa huduma za jamii kwa saa 16 kwa mwezi.

Awali daktari wa Pistorius anayehusika na matatizo ya akili Lore Hartzenberg aliiambia...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nahodha: Kifungo cha maisha gerezani

Mahakama ya rufaa nchini Korea Kusini imempata na hatia ya kuua nahodha wa feri iliyozama na kumhukumu kifungo cha maisha gerezani

 

9 years ago

StarTV

Watu 8 wahukumiwa kifungo cha miaka 32 Nzega

Mahakama ya Hakimu mkazi wilaya ya Nzega Mkoani Tabora imewahukumu watu wanane kwenda jela miaka 32 kwa kosa la kufanya uvamizi na kuiba dhahabu Tofali sita na nusu zenye thamani ya zaidi Billion 4 katika mgodi wa dhahabu wa Resolute uliopo wilayani Nzega na wengine wanane wakiachiwa huru baada ya kuonekana hawana hatia.

Akitoa hukumu hiyo hakim mkazi wilaya Silyvester Kainda ameiambia mahakama hiyo kuwa washitakiwa Mawazo Saliboko ,Edward Bunera ,Shaaban Amuru,John Ndaki,Pius Shija ,ALoyce...

 

11 years ago

Habarileo

Wizara yasisitiza programu ya kifungo cha nje

WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Idara ya Huduma kwa Jamii imesema ili urekebishaji wa wahalifu chini ya programu ya kifungo cha nje ufanikiwe, Serikali ichukue hatua za makusudi kueneza utekelezaji wa sheria ya huduma kwa jamii kwa nchi nzima.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani