ICC yapunguza kifungo cha Katanga
Majaji wa rufaa mahakama ya ICC wamepunguza hukumu aliyopewa kiongozi wa zamani wa waasi nchini DR Congo Germain Katanga.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili10 Mar
Katanga apatwa na hatia ICC
10 years ago
BBCSwahili06 Oct
Katanga aiomba ICC imwachilie huru
11 years ago
BBCSwahili07 Mar
ICC kuamua kesi dhidi ya Katanga
11 years ago
Bongo521 Aug
EFM yavunja ngome ya kipindi cha michezo cha Radio One, yawachukua Maulid Kitenge na Omary Katanga
11 years ago
BBCSwahili06 Mar
WHO yapunguza kiwango cha sukari
11 years ago
Vijimambo14 Oct
Pistorius aombewa kifungo cha nyumbani

Bwana Joel Maringa afisa anayehusika na masuala ya urekebishaji tabia aliiambia mahakama mjini Pretoria kuwa hawamuadhibu tu Pistoruiis bali pia wanataka kumbadili kitabia akisema kuwa anaweza kutoa huduma za jamii kwa saa 16 kwa mwezi.
Awali daktari wa Pistorius anayehusika na matatizo ya akili Lore Hartzenberg aliiambia...
10 years ago
BBCSwahili28 Apr
Nahodha: Kifungo cha maisha gerezani
9 years ago
StarTV01 Dec
Watu 8 wahukumiwa kifungo cha miaka 32 Nzega
Mahakama ya Hakimu mkazi wilaya ya Nzega Mkoani Tabora imewahukumu watu wanane kwenda jela miaka 32 kwa kosa la kufanya uvamizi na kuiba dhahabu Tofali sita na nusu zenye thamani ya zaidi Billion 4 katika mgodi wa dhahabu wa Resolute uliopo wilayani Nzega na wengine wanane wakiachiwa huru baada ya kuonekana hawana hatia.
Akitoa hukumu hiyo hakim mkazi wilaya Silyvester Kainda ameiambia mahakama hiyo kuwa washitakiwa Mawazo Saliboko ,Edward Bunera ,Shaaban Amuru,John Ndaki,Pius Shija ,ALoyce...
11 years ago
Habarileo15 Jul
Wizara yasisitiza programu ya kifungo cha nje
WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Idara ya Huduma kwa Jamii imesema ili urekebishaji wa wahalifu chini ya programu ya kifungo cha nje ufanikiwe, Serikali ichukue hatua za makusudi kueneza utekelezaji wa sheria ya huduma kwa jamii kwa nchi nzima.