Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Katanga apatwa na hatia ICC

Majaji wa ICC, mjini The Hague, walimpata na hatia ya uhalifu wa kivita na ukatili dhidi ya binadamu, kiongozi wa waasi DRC Germain Katanga.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

ICC yapunguza kifungo cha Katanga

Majaji wa rufaa mahakama ya ICC wamepunguza hukumu aliyopewa kiongozi wa zamani wa waasi nchini DR Congo Germain Katanga.

 

9 years ago

BBCSwahili

Katanga aiomba ICC imwachilie huru

Kiongozi wa zamani wa waasi nchini DR Congo Germain Katanga, aliyefungwa jela miaka 12, ameiomba mahakama ya ICC imwachilie huru.

 

11 years ago

BBCSwahili

ICC kuamua kesi dhidi ya Katanga

Mahakama ya kimataifa ya jinai ICC,itatoa hukumu dhidi ya mbabe wa vita kutoka Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, Germain Katanga.

 

5 years ago

Michuzi

Naibu Waziri wa Afya wa Iran apatwa na Corona


Naibu Waziri wa Afya wa Iran amethibitisha kuwa amepatwa na virusi vya Corona lakini amesisitiza kuwa, nchi hii itashinda janga la virusi hivyo wiki chache zijazo.

Iraj Harirchi amesema, kwa sasa amewekwa katika karantini ambako anapewa matibabu na kwamba hali yake ya kiafya ni nzuri kwa ujumla japokuwa anasumbuliwa na homa na uchovu.

Harirchi amesema ana uhakika kwamba, Iran itashinda mlipuko wa virusi vya Corona katika wiki kadhaa zijazo akisisitiza kuwa, nchi hii ina zana na matibabu...

 

10 years ago

GPL

BWANA HARUSI APATWA NA UCHIZI SHEREHE IKIENDELEA

KAMA kawa, kama dawa. Ni siku nyingine mapaparazi wetu wanaotii amri za mkuu wao, Musa Mateja ‘Toz’, Dustan Shekidele ‘Mkude Simba au Mzee wa Mji Kasoro Bahari’, Issa Mnally ‘Mzee wa GX 100’ na Mpigapicha Mkuu, Richard Bukos walijiachia viwanja mbalimbali kusaka matukio na kuwasiliana na Mkuu wao aliyekuwa makao makuu ya gazeti hili, Bamaga- Mwenge, jijini Dar.
Saa 3:14 usiku Banana Zoro...

 

9 years ago

BBCSwahili

Lubanga na Katanga wahamishiwa DR Congo

Viongozi wa zamani wa waasi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Thomas Lubanga na Germain Katanga wamepelekwa DR Congo wakakamilishie vifungo vyao huko.

 

9 years ago

BBCSwahili

Lubanga na Katanga warejeshwa Congo Dr

Mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC,imewarejesha nchini Demokrasia ya Congo, waasi wawili, Thomas Lubanga na Gemain Katanga.

 

11 years ago

BBCSwahili

Bensouda kukata rufaa kesi ya Katanga

Mwendesha mashtaka mkuu wa ICC Fatou Bensouda amesema atakata rufaa hukumu iliyotolewa kwa mbabe wa zamani wa kivita nchini Congo Germain Katanga

 

11 years ago

BBCSwahili

Germain Katanga ahukumiwa jela miaka 12

Kiongozi wa zamani wa wapiganaji waasi nchini Jamuhuri ya kidemokrasi ya kongo Germain Katanga amehukumiwa kwenda jela miaka 12

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani