Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ronaldinho na nduguye wawekwa katika kifungo cha nyumbani nchini Paraguay

Aliyekuwa mshambuliaji wa Brazil Ronaldinho aameachiliwa huru kutoka jela na kuwekwa chini ya kifungo cha nyumbani nchini Paraguay

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBC News

Ronaldinho held in Paraguay over fake passport claims

Ronaldinho held in Paraguay over fake passport claims  BBC NewsRonaldinho arrested in Paraguay after fake passport claims  Goal.comRonaldinho Investigated in Paraguay on Allegations He Used a Fake Passport  Bleacher ReportRonaldinho Arrested In Paraguay For Allegedly Having A Fake Passport  SPORTbibleRonaldinho has been detained by police after entering Paraguay with fake passport  GIVEMESPORTView Full coverage on Google News

 

5 years ago

BBCSwahili

Ronaldinho amekamatwa Paraguay kwa tuhuma za paspoti bandia

Mchezaji soka wa zamani wa Brazil ambaye anakana kufanya kosa lolote amekamatwa lakini bado anachunguzwa

 

5 years ago

Mirror Online

Ronaldinho and brother under police investigation in Paraguay over 'fake' passports

Ronaldinho and brother under police investigation in Paraguay over 'fake' passports  Mirror OnlineRonaldinho held in Paraguay over fake passport claims  BBC NewsRonaldinho accused of using fake passport to enter Paraguay  Jamaica ObserverRonaldinho arrested in Paraguay after fake passport claims  Goal.comRonaldinho 'used fake passport to enter Paraguay' and ordered to appear before prosecutors  Daily MailView Full coverage on Google News

 

11 years ago

Vijimambo

Pistorius aombewa kifungo cha nyumbani

Idara ya kurekebisha tabia nchini Afrika Kusini inataka Oscar Pistorius apewe kifungo cha nyumbani cha miaka mitatu kwa kumpiga risasi na kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp.

Bwana Joel Maringa afisa anayehusika na masuala ya urekebishaji tabia aliiambia mahakama mjini Pretoria kuwa hawamuadhibu tu Pistoruiis bali pia wanataka kumbadili kitabia akisema kuwa anaweza kutoa huduma za jamii kwa saa 16 kwa mwezi.

Awali daktari wa Pistorius anayehusika na matatizo ya akili Lore Hartzenberg aliiambia...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI SIMBACHAWENE: KIFUNGO CHA NJE SULUHISHO MSONGAMANO MAGEREZANI NCHINI

  Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza na Wajumbe wa Kamati ya Taifa ya Huduma kwa Jamii kabla ya kuzindua Kamati hiyo, jijini Dodoma, leo, ambayo itasimamia Utekelezaji wa Sheria ya Huduma kwa Jamii inayotoa fursa kwa wafungwa wa vifungo vidogo kutumikia adhabu hizo kwenye jamii. Pia Waziri huyo ameitaka Kamati hiyo, iweke mikakati zaidi ya kusimamia adhabu mbadala ya kifungo cha nje ili kuondoa msongamano magerezani. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Vital Kamerhe: Mshirika mkuu wa serikali ya rais Felix Tshisekedi nchini DR Congo amehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela

Mshirika mkuu wa rais Felix Tshisekedi nchini Jamhuri ya Kidemokrasi aya Congo Vital Kamerhe amehukumiwa kifungo cha miaka 20 kwa ufisadi na wizi wa takriban dola milioni 50 za Marekani.

 

10 years ago

Habarileo

Zaidi ya watoto 1,000 nchini wawekwa kizuizini

IDARA ya Ustawi wa Jamii iliyo chini ya Wizara ya Afya imesema kwamba taarifa ya ufuatiliaji wa mashauri ya watoto nchini ya mwaka 2014 ambayo iliandaliwa na Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) ilibainisha kuwepo kwa wastani wa watoto 1,000 waliowekwa megerezani.

 

10 years ago

Dewji Blog

Kituo cha redio cha Efm chamkumbuka mwanamuziki Juma Nature kwa mchango wake katika muziki nchini

Mkuu wa Mawasiliano wa Kituo cha Redio cha EFM, Denis Ssebo (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu tamasha lijulikalo kama Komaa Concert  litalofanyika mwishoni mwa mwezi mei  kwa ajili ya kuadhimisha miaka 16 ya muziki ya msanii Juma Nature ‘maarufu Kiroboto’ namna ya kuonesha kuthamini mchango wake katika muziki wa bongo fleva na kuwakumbusha watanzania juu ya safari ya muziki wa Tanzania kwa ujumla. Kulia ni mwanamuziki huyo, Juma Nature...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani