Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ronaldinho amekamatwa Paraguay kwa tuhuma za paspoti bandia

Mchezaji soka wa zamani wa Brazil ambaye anakana kufanya kosa lolote amekamatwa lakini bado anachunguzwa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZ:WATU NANE WAKAMATWA UWANJA WA NDEGE WA MWL.NYERERE WAKIINGIA NCHINI KWA PASPOTI BANDIA ZA MATAIFA TOFAUTI YA ULAYA

 Idara ya Uhamiaji nchini  imewakamata raia wanane  wa kigeni  (pichani chini) wakati wakiingia nchini kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu  Nyerere wakiwa na pasipoti bandia za kusafiria za Mataifa tofauti ya Ulaya. 

Wageni hao walikuwa wakijaribu kuingia nchini leo tarehe 15.08.2014 majira ya saa nane na nusu usiku kwa ndege ya shirika la ndege la Uturuki yenye Namba TK 603,  wakitokea Uturuki na kujitambulisha kuwa ni raia wa Sweden na Belgium. 

   Maofisa Uhamiaji katika kituo...

 

5 years ago

BBC News

Ronaldinho held in Paraguay over fake passport claims

Ronaldinho held in Paraguay over fake passport claims  BBC NewsRonaldinho arrested in Paraguay after fake passport claims  Goal.comRonaldinho Investigated in Paraguay on Allegations He Used a Fake Passport  Bleacher ReportRonaldinho Arrested In Paraguay For Allegedly Having A Fake Passport  SPORTbibleRonaldinho has been detained by police after entering Paraguay with fake passport  GIVEMESPORTView Full coverage on Google News

 

5 years ago

Mirror Online

Ronaldinho and brother under police investigation in Paraguay over 'fake' passports

Ronaldinho and brother under police investigation in Paraguay over 'fake' passports  Mirror OnlineRonaldinho held in Paraguay over fake passport claims  BBC NewsRonaldinho accused of using fake passport to enter Paraguay  Jamaica ObserverRonaldinho arrested in Paraguay after fake passport claims  Goal.comRonaldinho 'used fake passport to enter Paraguay' and ordered to appear before prosecutors  Daily MailView Full coverage on Google News

 

5 years ago

BBCSwahili

Ronaldinho na nduguye wawekwa katika kifungo cha nyumbani nchini Paraguay

Aliyekuwa mshambuliaji wa Brazil Ronaldinho aameachiliwa huru kutoka jela na kuwekwa chini ya kifungo cha nyumbani nchini Paraguay

 

11 years ago

Mwananchi

TUHUMA: Mwamuzi wa Fifa asakwa kwa tuhuma za wizi

>Mwamuzi msaidizi wa soka nchini, Hamis Chang’walu anasakwa na Jeshi la Polisi akituhumiwa kwa wizi wa nguo za kike, maarufu ‘madela’ katika kesi ambayo inahusisha watu wengine watatu ambao wamekamatwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Gavana wa Lamu Kenya amekamatwa

Serikali ya Kenya imekamata gavana wa jimbo lililokumbwa na mapigano yaliyosababisha vifo vya watu 65

 

9 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa upinzani amekamatwa Niger

Kiongozi wa upinzani wa Niger amekamatwa mwaka mmoja baada ya kutoroka akiwa anakabiliwa na mashtaka ya biashara ya ulanguzi wa watoto.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kifungo kwa watakaosajili simu kwa majina bandia

MBUNGE wa Arusha Mjini Godbless Lema (CHADEMA) ameitaka serikali kueleza ni kwa nini utaratibu wa kusajili laini za simu unafanywa kiholela bila kujali sheria iliyopo. Aliuliza wali hilo jana bungeni...

 

11 years ago

Habarileo

Matatani kwa kukutwa na noti 13 bandia

POLISI mkoani Mbeya inawashikilia watu sita kwa tuhuma tofauti, ikiwemo kukutwa na mali ya wizi pamoja na noti bandia. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, alisema Ahmed Msangi alisema watu hao walikamatwa katika maeneo mawili tofauti jijini hapa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani