Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Geneva office for Tanzania’s landmine rats

>Tuberculosis and landmine detection by use of rats in Tanzania is now headed for a global stage with the opening of a new office in Geneva, Switzerland to further the project.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Tanzania yashiriki kwenye maonyesho ya kinamama, UN, Geneva

Wiki hii, Ubalozi ukiongozwa na Mama Balozi Rose Mero umeshiriki kwenye maonyesho ya UN ya kina mama, Geneva (United Nations Women's Guild 2014), yenye lengo la kukusanya pesa za kusaidia miradi ya kuendeleza watoto wenye mahitaji mbalimbali duniani kote.
Kwenye maonyesho hayo, banda la Tanzania lilijumuisha bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na kutengenezwa nchini Tanzania ikiwa ni pamoja na kahawa, majani ya chai, khanga, vitenge, vinyago, korosho n.k
Watu mbalimbali walipata nafasi ya...

 

10 years ago

Michuzi

Ujumbe wa Tanzania katika mkutano wa mabadiliko ya Tabia nchi mjini Geneva

Ujumbe wa Tanzania katika mkutano wa mabadiliko ya Tabia nchi mjini Geneva pamoja na Balozi wa Tanzania anaetuwakilisha nchini Uswiss na Vienna. Mh Modest Mero. 

 

9 years ago

Michuzi

ushiriki wa Tanzania katika Mkutano wa Shirika la Msalaba Mwekundu Duniani jijini Geneva

Pichani ni ushiriki wa Tanzania katika Mkutano wa Shirika la Msalaba Mwekundu Duniani ambao Rais wa Msalaba Mwekundu Tanzania ambapo Dr. Zainab Amir Gama na Mh. Balozi Modest Mero wanashiriki jijini Geneva Uswisi.  Mkutano hio ulioanza tarehe 4 Desemba na utaisha leo tarehe 10 Disemba 2015.  Huu ni mkutano mkuu wa Msalaba Mwekundu na Hilari Nyekundu wa dunia ambao maudhui ya mkutano huu ni mjadala na maamuzi ya uongozi, amani, uhamiaji na  unyanyasaji wa wanawake na watoto,  mpango wa...

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA IMECHAGULIWA KUWA MJUMBE KATIKA BARAZA LA UTENDAJI LA WMO,GENEVA USWISI.

Dr. Kijazi amechaguliwa tarehe 4 June 2015 bila kupingwa wakati wa Mkutano Mkuu wa kumi na saba wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO-Congress wa 17) ulioanza tarehe 25 Mei ambao unatarajiwa kumalizika tarehe 12 Juni, 2015 jijini Geneva, Uswisi.
Kuchaguliwa kwa Dr. Agnes Kijazi kumetokana na jitihada kubwa za Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kupitia Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa na Ubalozi wetu wa Kudumu Umoja wa Mataifa, Geneva.


Dr. Kijazi anaongoza ujumbe wa Tanzania...

 

9 years ago

IPPmedia

Landmine kills herder in Monduli


IPPmedia
Landmine kills herder in Monduli
IPPmedia
George Olodi, a resident of Milongoine, Oljoro in Monduli District died on Wednesday as he stepped on a landmine while grazing his cattle near the military Academy at Lesekekwa Meser. The Tanzania People's Defence Forces (TPDF) spokesperson Col.

 

10 years ago

BBC

Mali landmine kills four UN soldiers

Four UN peacekeepers are killed and 15 injured by a landmine in northern Mali, amid what the UN calls a period of "increased attacks".

 

10 years ago

BBC

Deadly landmine in Guinea-Bissau

A landmine kills at least 22 people travelling in a vehicle some 60km north-east of the capital of Guinea-Bissau, police say.

 

9 years ago

BBC

Mandela prison evacuated over rats

A South African prison where Nelson Mandela was incarcerated is being evacuated after two people died from an infection caused by a rat infestation.

 

9 years ago

Michuzi

TANZANIA PUBLIC SERVICE PENSIONS FUND RECEIVES THE GOLDEN AWARD FOR QUALITY AND BUSINESS PRESTIGE IN GENEVA, SWITZERLAND

The PSPF has received the Golden award for Quality and Business Prestige from the Association Otherways Management and Consulting based in Paris, France in recognition of her achievements in areas of Innovation, Quality Commitment and Excellence.The award was received on behalf of PSPF by Ambassador Modest J. Mero, Permanent Representative of Tanzania to UN, at the ceremony held at Hotel Intercontinental in Geneva on 23 November 2015.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani