Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GEPF: Wasanii wajitambue

MFUKO wa wa Akiba ya Wafanyakazi Serikalini (GEPF), umewataka wasanii nchini kujiunga na mifuko ya hifadhi ya jamii ili wapate mafao ya pensheni na mengineyo yanayotolewa na mifuko husika. Kauli hiyo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WASANII WAPIGWA SEMINA, GEPF

Mratibu wa Semina hiyo ambaye ni Marketing and Customer Service Manager wa GEPF,  Aloyce Ntukamazina akizungumza na wasanii.
Wasanii wakifuatilia kwa ukaribu maelekezo.…

 

11 years ago

Michuzi

WASANII WA BONGO MOVIE WAJIUNGA NA MFUKO WA GEPF

Meneja Masoko na huduma kwa wateja wa Mfuko wa GEPF,Aloyce Ntukamazina (kulia) akimkabidhi kadi ya uanachama wa GEPF kwaajili ya kujiwekea akiba,Msanii mkongwe katika bongo movie mzee Chilo mara baada ya tafrija ya ftati iliyoandaliwa maalum kwa wasanii hao.Msanii Jacky Pentezel akipokea kadi ya uanachama baada ya kujiunga na Mfuko wa GEPF kutoka kwa Meneja Masoko na huduma kwa wateja wa Mfuko wa GEPF,Aloyce Ntukamazina.Msaanii maarufu katika tasnia ya filamu,Blandina Chagula a.k.a Johari...

 

11 years ago

GPL

WASANII WAPEWA FUTARI YA MALENGO KUTOKA GEPF

Wasanii wa filamu na muziki Bongo wamepigwa semina na wataalam wa mfuko wa mafao ya kustaafu wa GEPF kupitia mpango wa hiari wa kujiwekea akiba ya uzeeni. Semina hiyo iliyokwenda sambamba na futari yenye malengo, ilifanyika Julai 25, 2014 katika ukumbi wa Hoteli ya Blue Pearl iliyopo Ubungo jijini Dar.

 

11 years ago

GPL

MFUKO WA PENSHENI WA GEPF WAPATA WANACHAMA WAPYA WA KUNDI LA WASANII WA FILAMU.

Meneja masoko na huduma kwa wateja wa GEPF, Bw. Aloyce Ntukanazima akimkabidhi kadi msanii nguli wa filamu mzee Chilo.
Issa Musa ,'Cloud' akipokea kadi yake ya uanachama kutoka kwa Meneja masoko na huduma kwa wateja wa GEPF.
...Fatuma Makongoro, 'Bi.…

 

10 years ago

Michuzi

MFUKO WA GEPF WAANZISHA MPANGO WA GEPF DIASPORA SCHEME

Mkurugenzi kutoka wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa anaeshughulikia dawati la diaspora,Bi Rosemary Chambe Jairo akifungua rasmi mkutano wa Watanznia waishio nchini Botswana wakati walipokutana na Ujumbe kutoka Mfuko wa GEPF ulikuwa ukiitambulisha mpango wa GEPF DIASPORA SCHEME (GDS) nchini humo,hivi karibuni.Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania waishio nchini Botswana,Bw Kisasi akizungumza machache kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi.Mkurugenzi wa Uendeshaji kutoka Mfuko wa...

 

10 years ago

Michuzi

WATANZANIA WAISHIO BOTSWANA KUANZA KUFAIDIKA NA MFUKO WA GEPF KUPITIA MPANGO WA ‘GEPF DIASPORA SCHEME’ (GDS)

Ujumbe wa Mfuko wa GEPF nchini Tanzania na Mwenyekiti wa Watanzania waishio nchini Botswana wakiongozwa na Meneja Mahusiano wa Benki ya FNB Botswana, Bibi Patricia Mpelega (wa pili kushoto) wakati wakielekea kwenye tawi (Branch) la benki hiyo kwaajili ya uzinduzi wa akaunti maalum ya kuwasilisha michango kwa Watanzania wainshio nchini humo, kwa kujiwekea akiba zao za baadae.Mkuu wa Kitengo cha Masoko kutoka Mfuko wa GEPF, Aloyce Ntukamazina (wa tatu kulia) akimpa maelezo mafupi juu...

 

11 years ago

GPL

WAZIRI WA KAZI NA AJIRA MH. GAUDENTIA KABAKA ATEMBELEA BANDA LA GEPF NA KUSIFU UBUNIFU WA MFUKO WA GEPF KATIKA KUTOA HIFADHI YA JAMII KWA WAJASIRIAMALI

Waziri wa Kazi na Ajira Mh Gaudentia Kabaka akisaini katika kitabu cha wageni katika banda la GEPF Meneja Masoko na huduma kwa wateja…

 

10 years ago

Michuzi

GEPF WAANZA WIKI MAALUM (GEPF WEEK) KWA BONANZA LA WADAU WA MFUKO KUELEKEA MKUTANO MKUU WA SITA WA WADAU

Timu ya Mfuko wa Pensheni wa GEPF ikipasha kabla ya kuanza kwa bonanza maalum la wiki ya GEPF (GEPF Week) katika viwanja vya shule ya sekondari ya Popatlal. Mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini wa Mfuko wa GEPF Bi Joyce Shaidi akitoa neno la ufunguzi kabla ya kuanza rasmi kwa bonanza la wadau wa Mfuko wa GEPF. aliye mkono wake wa kushoto ni kamanda wa Polisi Mkoani Tanga, Omary Ntungu.Washindiwa Bonanza la GEPF timuya Chuo cha Utumishi cha Tanga wakifurahia ushindi baada ya kipenga cha mwisho...

 

9 years ago

Mwananchi

Uchaguzi umewadia, wapigakura wajitambue

Ni kipindi cha lala salama. Zimebaki siku nne tu kabla ya kupiga kura kuwachagua madiwani, wabunge na rais watakaoiongoza nchi yetu kwa miaka mitano ijayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani