Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gesi yahujumiwa inufaishe wachache

Waziri wa Nishati na Madini, George SimbachaweneJITIHADA za Serikali kuhakikisha rasilimali adimu ya gesi yenye fursa ya kutokomeza umasikini kwa Watanzania wote inanufaisha umma zaidi, zimeendelea kupingwa ili rasilimali hiyo inufaishe sehemu ndogo ya jamii.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Stupid Father yahujumiwa

FILAMU ya Stupid Father iliyotarajiwa kusambazwa mwanzoni mwa wiki iliyopita, imeghushiwa na kuingizwa sokoni kabla ya wahusika kufanya hivyo na kusababisha iliyo halali isisambazwe. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana,...

 

9 years ago

StarTV

Usafirishaji gesi: Kisima namba 3 cha Gesi Msimbati Mtwara chafunguliwa

Matumaini ya kuanza kuzalishwa umeme unaotokana na gesi siku chache zijazo yameanza kudhihirika baada ya kisima namba 3 cha gesi kilichoko Msimbati wilayani Mtwara kufunguliwa.

Lengo ni kuruhusu gesi kusafiri kwenye bomba hadi Madimba kuwezesha hatua ya uchakataji kuanza.

Mkurugenzi mkuu wa shirika la Maendeleo ya Petrol Tanzania TPDC James Mataragio akifungua rasmi bomba hilo kutoka kisima No MB 3 katika kijiji cha Msimbati na kubainisha kuwa mradi huo umejengwa kwa muda mfupi sana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wahitimu wa kike bado wachache’

NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenister Mhagama, amesema idadi ya wahitimu wa kike wa kidato cha sita ni ndogo kuliko wahitimu wa kiume. Amesema serikali imekuwa ikifanya...

 

10 years ago

Mwananchi

Kagasheki: Wachache wasilazimishe Katiba

Anasema kwa kawaida kitu kinachotafutiwa uhalali na ridhaa ya wananchi, kinapaswa kitokane na wananchi wenyewe.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasichana wachache waachiliwa huru Borno

Baadhi ya wasichana wa shule waliotekwa nyara Borno, Nigeria, waachiliwa huru lakini wengi bado wako kizuizini

 

10 years ago

Mwananchi

Panya Road na keki inayoliwa na wachache

Kuna njia mmoja tu ya kupambana na vijana waliokata tamaa ya maisha maarufu kama Panya Road waliopo katika jiji la Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

TFF isibadili kanuni kuwafurahisha wachache

Kanuni ni neno la Kiswahili ambalo limezoeleka kutumika katika maisha ya kila siku. Kulingana na Kamusi ya Kiswahili Sanifu linaelezwa kuwa na maana ya desturi, kawaida, kaida, taratibu, nguzo, masharti au mila.

 

11 years ago

Habarileo

Wahitimu wa kike kidato cha 6 bado wachache

 Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista MhagamaIDADI ya wahitimu wa kike wa kidato cha sita ni ndogo kuliko wahitimu wa kiume na serikali imekuwa ikifanya juhudi za makusudi kukabiliana na changamoto hizo, kupandisha uwiano wa wanafunzi wa kike na kiume vyuoni kwa asilimia 50 kwa 50.

 

10 years ago

Mtanzania

Kituo ch Mabasi Ubungo dhahabu inayonufaisha wachache

ubungoKoku David na Faraja Masinde, Dar es Salaam

KITUO cha Mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani cha Ubungo, (UBT), kilifunguliwa Desemba 6 mwaka 1999, lengo likiwa ni kutoa huduma nzuri kwa wasafiri na kuongeza mapato ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam.

Baada ya kufunguliwa kwa kituo hicho, kati ya mwaka 2004 mpaka 2008, ziliibuliwa tuhuma mbalimbali za ufisadi zikiwamo upotevu wa mapato, zilizokuwa zikiihusu Kampuni ya Smart Holdings ya familia ya kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM),...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani