Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFF isibadili kanuni kuwafurahisha wachache

Kanuni ni neno la Kiswahili ambalo limezoeleka kutumika katika maisha ya kila siku. Kulingana na Kamusi ya Kiswahili Sanifu linaelezwa kuwa na maana ya desturi, kawaida, kaida, taratibu, nguzo, masharti au mila.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Malinzi aitaka Simba kufuata kanuni TFF

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amewataka Simba kufanya marekebisho ya katiba yao kwa kuzingatia katiba, kanuni na maelekezo ya Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), Afrika (CAF) na TFF.

 

9 years ago

Mwananchi

Jezi za Kili Stars hazikuvunja kanuni-TFF

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetetea kitendo cha timu ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kutumia jezi ya mazoezi yenye nembo ya mdhamini katika mashindano ya Chalenji yanayoendelea Ethiopia, likidai kuwa halijavunja kanuni.

 

9 years ago

Michuzi

TFF YABAINISHA KATIBA NA KANUNI ZA LIGI KUU WAKATI WA UCHAGUZI MKUU

Baraka Kizuguto - Msemaji wa TFF
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limebaini kuwepo kwa vitendo vyaa wanafamilia wa mpira wa miguu Tanzania kujihusisha na masuala ya Siasa wakiwa katika mavazi rasmi ya mpira ambayo yana nembo za vilabu na wadhamini wa Ligi.Katiba ya TFF ibara ya I (4) inatamka “TFF is neutral in matters of politics and religion. Discrimination of any kind against a country, private person or group of people on account race, skin colour, ethnic, national or social...

 

10 years ago

Habarileo

Gesi yahujumiwa inufaishe wachache

Waziri wa Nishati na Madini, George SimbachaweneJITIHADA za Serikali kuhakikisha rasilimali adimu ya gesi yenye fursa ya kutokomeza umasikini kwa Watanzania wote inanufaisha umma zaidi, zimeendelea kupingwa ili rasilimali hiyo inufaishe sehemu ndogo ya jamii.

 

10 years ago

Mwananchi

Kagasheki: Wachache wasilazimishe Katiba

Anasema kwa kawaida kitu kinachotafutiwa uhalali na ridhaa ya wananchi, kinapaswa kitokane na wananchi wenyewe.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wahitimu wa kike bado wachache’

NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenister Mhagama, amesema idadi ya wahitimu wa kike wa kidato cha sita ni ndogo kuliko wahitimu wa kiume. Amesema serikali imekuwa ikifanya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasichana wachache waachiliwa huru Borno

Baadhi ya wasichana wa shule waliotekwa nyara Borno, Nigeria, waachiliwa huru lakini wengi bado wako kizuizini

 

10 years ago

Mwananchi

Panya Road na keki inayoliwa na wachache

Kuna njia mmoja tu ya kupambana na vijana waliokata tamaa ya maisha maarufu kama Panya Road waliopo katika jiji la Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani