Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kagasheki: Wachache wasilazimishe Katiba

Anasema kwa kawaida kitu kinachotafutiwa uhalali na ridhaa ya wananchi, kinapaswa kitokane na wananchi wenyewe.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAONI YA WACHACHE, WENGI, BUNGE LA KATIBA LIMEPINDA

Na Luqman Maloto HUKO nyuma niliwahi kuandika makala, nikaeleza “Siasa, porojo na uhuni  siyo matarajio ya Watanzania Bunge la Katiba”. Aliyesoma alinielewa. Kama hukupata bahati hiyo, lengo langu lilikuwa kila mmoja ambaye anaitwa Mjumbe wa Bunge la Katiba, avae uzalendo. Mtanzania hatanufaika kwa misimamo ya makundi. Atakuwa bora kama nchi yake itatendewa haki kwa muundo wa katiba yenye jicho la kumpa hifadhi...

 

11 years ago

Michuzi

Mwakilishi wa walio wachache bunge maalum la katiba Mhe.David Kafulila ashangiliwa

 Mwakilishi wa walio wachache  katika kamati namba tano, Mhe.David Kafulila akiwasilisha mapendekezo ya walio wachache katika kamati yake na Deusdedit Moshi  Mwakilishi wa walio wachache  katika kamati namba tano,Mhe.David Kafulila katikati akishangiliwa na baadhi ya wajumbe baada ya kuwasilisha mapendekezo ya walio wachache katika kamati yake Picha na na Deusdedit Moshi  Mwakilishi wa waliowachache  katika kamati namba tano,Mhe.David Kafulila katikati akishangiliwa na baadhi ya wajumbe...

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge la #Katiba: 'Wachache' wakomalia serikali tatu, 'Wengi' walia na mbili [VIDEO]

Serikali ya Muungano iliyopendekezwa na Rasimu ya Pili ya Katiba yaweza kujiendesha kwa kutafuta vyanzo mbalimbali vya mapato.

 

11 years ago

GPL

WAZIRI KAGASHEKI AJIUZULU

Waziri wa Maliasili na Utalii, Khamisi Kagasheki. Waziri wa Maliasili na Utalii, Khamisi Kagasheki, amejiuzulu bungeni hivi punde baada ya kutakiwa na wabunge awajibike kwa vitendo viovu vilivyofanywa na wanausalama wakati wa Operesheni…

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wahitimu wa kike bado wachache’

NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenister Mhagama, amesema idadi ya wahitimu wa kike wa kidato cha sita ni ndogo kuliko wahitimu wa kiume. Amesema serikali imekuwa ikifanya...

 

10 years ago

Habarileo

Gesi yahujumiwa inufaishe wachache

Waziri wa Nishati na Madini, George SimbachaweneJITIHADA za Serikali kuhakikisha rasilimali adimu ya gesi yenye fursa ya kutokomeza umasikini kwa Watanzania wote inanufaisha umma zaidi, zimeendelea kupingwa ili rasilimali hiyo inufaishe sehemu ndogo ya jamii.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kagasheki akumbushwa kutekeleza ahadi

SERIKALI imekumbushwa kutekeleza ahadi yake ya kuwadhamini watu 100 wakiwamo askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), kupanda Mlima Kilimanjaro kama sehemu ya maadhimisho ya sherehe za miaka 52...

 

9 years ago

Mwananchi

Balozi Kagasheki, Lwakatare hapatoshi

Kampeni za wagombea ubunge wa Jimbo la Bukoba Mjini zimeingia katika hatua muhimu baada ya mgombea wa CCM, Balozi Khamis Kagasheki na Wilfred Lwakatare (Chadema), kutafuta kura nyumba kwa nyumba.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasichana wachache waachiliwa huru Borno

Baadhi ya wasichana wa shule waliotekwa nyara Borno, Nigeria, waachiliwa huru lakini wengi bado wako kizuizini

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani