Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ghana kupambana na Guinea

Mlinzi wa Ghana Daniel Amartey amesema kuwa yuko tayari kwa mechi ya leo dhidi ya Guinea

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

GHANA 3-0 EQUATORIAL GUINEA AFCON 2015 GHANA KUCHEZA NA IVORY COAST FINAL JUMAPILI.

 wachezaji wa Ghana  wakishangilia ushindi na kutinga fainali baada ya kuwakunja wenyewe Equatorial Guinea 3-0  kwaiyo sasa  Ghana kukutana na Ivory Coast tarehe 8 kwenye fainali. Baada ya kipenga cha mwisho wenyewe wa mashindano hayo ya AFCON walikuwa wamekubali kipigo cha magoli matatu ndipo washabiki walivyoanzisha timbwili hili uwanjani hapo.Hali ilionekana siyo shwari toka kipindi cha kwanza pale Ghana walivyo pewa penati ya mapema hii hapa ilikuwa baada ya dk 45 za kwanza washabiki...

 

10 years ago

BBC

Ghana v Guinea

Preview followed by live coverage of Sunday's Africa Cup of Nations quarter-final between Ghana and Guinea.

 

10 years ago

BBC

Ghana v Equatorial Guinea

Preview followed by live coverage of Thursday's Africa Cup of Nations semi-final between Ghana and Equatorial Guinea.

 

10 years ago

BBC

No new Ghana coach for Guinea games

The Ghana FA says there will not be a new permanent coach for the Black Stars before their Africa Cup of Nations ties against Guinea.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ghana kukosa kocha dhidi ya Guinea

Ghana haitakuwa na mkufunzi wa taifa timu ya Black Stars itakapokwaruzana na Guinea.

 

10 years ago

Ykileo

GHANA YAJIPANGA KUPAMBANA NA UHALIFU MTANDAO

Moja ya udhaifu mkubwa unao kumba mataifa mengi hasa barani Afrika ni kutokua na mikakati ya uzuizi na endelevu dhidi ya uhalifu mtandao. Imethibitika kua Nchi nyingi zimekua zikingoja tatizo litokee ndio jitihada zinachukuliwa kutatua tatizo huku athari ikiwa imeshaonekana.


Mwaka huu baada ya Nchi ya Ghana kua miongoni mwa waathirika wa uhalifu mtandao ambapo  mtandao mkuu wa serikali ya nchi hiyo inao hudumia tovuti 58 za serikali ulidukuliwa na kusababisha tovuti 11 kuingiliwa na...

 

10 years ago

GPL

TASWIRA ZA VURUGU ZA MASHABIKI WAKATI WA MECHI YA NUSU FAINALI AFCON KATI YA GHANA NA EQUATORIAL GUINEA

Helkopta ya polisi ikijaribu kutuliza ghasia wakati wa mechi kati ya Ghana na wenyeji Equatorial Guinea jana. Wachezaji wa Ghana wakitolewa uwanjani chini ya ulinzi mkali baada ya vurugu kutokea.…

 

11 years ago

Michuzi

WASHIRIKI WARSHA YA MASHIRIKIANO YA TANAPA NA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA KATIKA KUPAMBANA NA UHALIFU WA UNAOLENGA MALIASILI WATOA MICHANGO YAO KATIKA KUPAMBANA NA UJANGILI.

Meneja Mawasiliano wa Hifadhi za Taifa,TANAPA Pascal Shelutete akikaribisha mijadala kwa washiriki katika warsha ya Mashirikiano kati ya TANAPA na Vyombo vya Ulinzi na Usalama Baadhi ya Washiriki katika Warsha hiyo wakifuatilia kwa makini majadiliano.Mhifadhi mkuu Mtango Mtaiko akiwasilisha mada kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu TANAPA ,Allan Kijazi juu ya majukumu na changamoto zinazoikabiri TANAPA kwa ujumla.Meneja Ulinzi wa Hifadhi za Taifa ,TANAPA ,Emily Kisamo akiwasilisha mada juu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani