Gharama za matibabu sasa kudhibitiwa
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imeiagiza Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) kupitia upya mpango wao wa kuongeza gharama za matibabu, vipimo na chakula na kisha kuuwasilisha wizarani hapo kwa ajili ya mashauriano kuepuka kuwaumiza wananchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 Jun
Mitandao ya kijamii sasa kudhibitiwa
10 years ago
Mwananchi23 Sep
Upotevu wa mapato sasa kudhibitiwa
9 years ago
StarTV17 Dec
Wagonjwa wadai kushindwa kumudu gharama Matibabu Kcmc Moshi
Gharama kubwa za matibabu katika hospitali ya rufaa ya KCMC mjini Moshi mkoani Kilimanjaro zinadaiwa kuwaweka njia panda baadhi ya wagonjwa wanaofika kupata huduma za tiba hospitalini hapo.
Baadhi ya wagonjwa hulazimika kutoroka hospitalini hapo na wengine kutelekezwa na ndugu zao kutokana na gharama kubwa wanazopaswa kulipia.
Mtoto Frank aliyelazwa katika wodi ya wagonjwa wa idara ya Upasuaji ambaye alifanyiwa upasuaji wa tumbo hivi Karibu anatajwa kuwa ni miongoni mwa wagonjwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bOIpv46YEJU/XvIRQsDU-4I/AAAAAAALvFA/DhPxEfiJZ1MPMmHGrEpY9HTyCo759k8TQCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-1-10-2048x1385.jpg)
Mchungaji Rose achangia gharama za matibabu ya mtoto anayetibiwa JKCI
![](https://1.bp.blogspot.com/-bOIpv46YEJU/XvIRQsDU-4I/AAAAAAALvFA/DhPxEfiJZ1MPMmHGrEpY9HTyCo759k8TQCLcBGAsYHQ/s640/Picha-1-10-2048x1385.jpg)
Mkuu wa kitengo cha Ustawi wa Jamii na Lishe wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Asha Salum akimkabidhi Mr. Jackson Msilambo Tsh. 4,370,000/= zilizotolewa na Mchungaji Rose Shaboka kutoka kanisa la New Day Church kwa ajili ya gharama za matibabu ya mtoto wake anayetibiwa JKCI leo Jijini Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/Picha-2-10-scaled.jpg)
11 years ago
MichuziCRDB yazindua huduma ya malipo ya gharama za matibabu kwa njia ya Kadi KCMC
9 years ago
StarTV23 Dec
Madiwani Sengerema wapinga ongezeko la gharama za matibabu ya papo kwa papo
Madiwani wilayani sengerema mkoani Mwanza wamepinga ongezeko la gharama ya matibabu ya papo kwa papo kutoka shilingi 1,500 hadi shilingi 3,000 kwa zahanati na shilingi 3000 katika kituo cha afya hadi shilingi 5,000 kwa madai kuwa haliendani na huduma inayotolewa.
Kukosekana kwa dawa za msingi, uhaba wa vifaa tiba, upungufu wa wauguzi na uchakavu wa miundo mbinu pia ni sababu ya kupinga ongezeko hilo.
Katika kikao cha kwanza cha madiwani wa halmashauri ya Wilaya ya Sengerema na Buchosa cha...
11 years ago
Habarileo17 Dec
Maandamano kudhibitiwa
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Ulinzi na Usalama imeishauri Serikali, iandae Muswada wa Sheria utakaoweka utaratibu mahsusi wa watu kuandamana kwa kuzingatia, siku, muda na mahali ili kuondoa usumbufu kwa jamii kutokana na maandamano yasiyo rasmi.
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
Uhuru wa mtandao kudhibitiwa
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Bidhaa feki kudhibitiwa