Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GODFREY SABAYA: Nyama ‘imenitoa’ kiuchumi

“BIASHARA ya kuchoma nyama imenikomboa kutoka katika uduni wa kipato hadi kuishi maisha yanayoniwezesha kumudu shida mbalimbali za kifamilia, ikiwa ni pamoja na kusomesha watoto na kupata mahali bora pa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

MSAFIRI DIOUF: Bendi ya Super Star imenitoa kwenye ‘uteja’

IMEKUWA ni nadra kuona watumiaji wa dawa za kulevya wakiachana na tabia hiyo, kwani walio wengi hujikuta wanaishia kubaya na kuwa maskini. Kwa hapa Tanzania baadhi ya wasanii ambao walikuwa...

 

5 years ago

Michuzi

KAIMU MSAJILI BODI YA NYAMA TANZANIA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI KIWANDA KIKUBWA CHA NYAMA CHA TANCHOICE

Na Mwandishi Wet u,Michuzi TV

KAIMU Msajili Bodi Ya Nyama Tanzania Iman Sichalwe amefanya ziara ya kuangalia maendeleo ya ujenzi wa kiwanda kikubwa cha nyama cha Tanchoice Soga kibaha mkoani Pwani.

Kiwanda hicho ni kikubwa Afrika Mashariki na Kati kwenye Sekta ya mifugo na kutajwa kuwa mkombozi mkubwa kwa wadau wa sekta ya nyama Nchini Ambapo kitakuwa na uwezo wa kuchinja ng'ombe 1000 na mbuzi 4500 kwa siku.

Akiwa kiwandani haoo baada ya kufanya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa kiwanda hicho,...

 

10 years ago

Vijimambo

Msiba wa Godfrey Rupia: update

Msiba wa Godfrey Rupia: update: Abela na Albano wanaondoka leo Jumamosi kwenda Tanzania. Kutakuwa na maombi kesho Jumapili saa kumi jioni. Nyumbani kwa Abela address: 11 Hamley St, Lynn, MA.
Account ya kupokelea michango ni Bank of America. Checking 00 4660 5330 94. Routing# 011000138 Suzana Rupia
Tunashukuru sana kwa upendo wenu. Mungu ailaze roho ya marehemu mpendwa wetu Godfrey mahali pema peponi, Amin.
Tafadhali mjulishe mwenzio

The bereavement of Godfrey Rupia: update: Abela and...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Barua ya wazi kwa Godfrey Mgimwa

BWANA mdogo Godfrey William Mgimwa, Kwanza nina kusalimu kwa kusema, habari za kampeni dogo? Baada ya kusoma mahali ambapo ulikaririwa ukisema kuwa unataka kuwaletea maendeleo watu wa Kalenga ambao baba...

 

11 years ago

Michuzi

KUMBUKUMBU YA MWAKA MMOJA YA MZEE GODFREY MSEI

Marehemu Mzee Godfrey Daud Msei
Mpendwa Baba yetu, mpaka kufikia tarehe 15 Julai 2015 umetimiza mwaka mmoja tangu ulipoitwa na Bwana bila ya neno la kwaheri kwetu.Tunakukumbuka sana na tunakosa uwepo wako,upendo wako na ucheshi wako ila tunasema kiroho tuko pamoja nawe daima.
Unakumbukwa na Mkeo,Bi. Elizabert,Watoto zako Fabian Msei,Daud Msei ,Angella Msei,Jonathan (Gia) Msei,Rev. John Msei pamoja na James Msei,Wajukuu zako,Mama yako Mzazi Bi. Mboza,Dada zako,Shemeji zako,Kaka zako,ndugu,jamaa...

 

10 years ago

Vijimambo

Statement from Kids of the Late Godfrey Rupia in USA

Watoto wa marehemu Rupia, wameomba nisambaze hii statement yao. kama unavyofahamu maneno machafu yamesemwa dhidi ya mama yao Bupe Rupia. Mimi nafahamu story yao, nilikuwa kwenmye harusi ya kifahari hapa Boston 1995. Hao watoto wamezaliwa nimewaona, baba yao alivyowaacha na kurudi TZ nilikuwwepo.  Kweli wana uchungu.
- Chemi
*************************************************************
We have remained silent to see how things would play out and WE ARE SPEECHLESS! It has come to our attention...

 

11 years ago

GPL

JERRY SILAA AMPIGIA DEBE GODFREY MGIMWA

  Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala na mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Bw. Jerry Silaa akihutubia katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye kijiji cha Ibumila kata ya Mgama, jana. Jerry…

 

9 years ago

Michuzi

IBADA YA KUMBUKUMBU YA MAREHEMU GODFREY MNGODO, COLUMBUS, OHIO

Pr. Mwakabonga akiongoza ibada ya kumbukumbu ya marehemu Godfrey Mbiu Mngodo iliyofanyika siku ya Jumamosi Octoba 31, 2015 Columbus, Ohio nchini Marekani na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki wakiwemo wafanyakazi wa kituo cha utangazaji Sauti ya Amerika idhaa ya Kiswahili (VOA). Marehemu Godfrey Mbiu Mngodo aliaga Dunia Tarehe 11 Septemba, 2015 Dar es Salaam na kuzikwa Tanga. Godfrey Mbiu Mngodo amefanya kazi katika sehemu mbalimbali kama Redio Tanzania Dar es Salaam (RTD), Voice of...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani