Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSAFIRI DIOUF: Bendi ya Super Star imenitoa kwenye ‘uteja’

IMEKUWA ni nadra kuona watumiaji wa dawa za kulevya wakiachana na tabia hiyo, kwani walio wengi hujikuta wanaishia kubaya na kuwa maskini. Kwa hapa Tanzania baadhi ya wasanii ambao walikuwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MSAFIRI DIOUF ATINGA GLOBAL TV ONLINE

Mwanamuziki Mashuhuri wa Twanga Pepeta, Msafiri Diof akiwa Global TV Online. Msafiri Diof akifafanua jambo kwa wafanyakazi wa Global Publishers (hawapo pichani).…

 

10 years ago

Vijimambo

SUPER STAR "OMMY DIMPOZ " LIVE IN NEW YORK CITY SATURDAY FEB 21 (RED CARPET AFFAIR )

PERFORMING HITS LIKE -NAI NAI / BAADAE /ME &YOU /TUPOGO /NDAGUSHIMA/ KIGOMA/ RADIO/ MISS KOI KOI/ CHUKUA TIME /NUMBER ONE AND MORE                                     * KIINGILIO  $ 40 ADVANCE   |  MLANGONI $ 50 *
                                                                   ( INCLUSIVE OF )
                           *RED CARPET ENTRANCE  PHOTO SHOOT (FROM 5PM-6PM*
                                                              *3 -COURSE DINNER *
                                           ...

 

10 years ago

Vijimambo

SUPER STAR DIAMOND AFUNGUKA LIVE: BORA NIFE KULIKO KUMRUDIA WEMA, WEMA NAYE AJIBU MASHAMBULIZI ILE MBAYA


KIAPO! Kuonesha kwamba hana mpango wa kurudi nyuma, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ amefungukia msimamo wake juu ya mwandani wake wa zamani, Wema Sepetu ‘Madam’ kwa kusema kuwa kamwe hawezi kumrudia tena, Risasi Jumamosi lina mkanda kamili.Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’.Licha ya Diamond kufunguka hayo, wawili hao wamekuwa na mapenzi ya vipindi, kuna wakati waliwahi kumwagana kisha kurudiana na hakuna aliyewahi kutoa tamko zito lakini safari hii...

 

10 years ago

GPL

BENDI MPYA YA VIJANA WANNE, RUBY BENDI WATINGA GLOBAL TV ONLINE

Waimbaji wa Ruby Bendi wakiwa katika pozi baada ya kufanya mahojiano na Global TV Online kutoka kushoto ni Suma Luvi, Smaina, Kwea Pia na Maya. (PICHA: GLOBAL TV ONLINE)

 

9 years ago

Bongo5

Steve RnB aeleza siri ya kudumu kwenye bendi ya Inafrika

Steve Rnb

Steve RnB ni muimbaji ambaye amedumu kwenye bendi ya Inafrika kwa muda mrefu, huku akiendelea kutoa kazi zake za binafsi. Ameelezea nafasi aliyopewa kwenye bendi hiyo na kumfanya adumu nayo kwa muda mrefu.

Steve Rnb

“Nilivyoingia Inafrika yaani pale mimi sikukaribishwa kama mtu amekuja kutembea, mimi nilifika pale nimepewa kama nafasi kwamba you’re a lead singer yaani hiyo ndio nafasi yangu.” Alisema Steve kupitia XXL ya Clouds Fm. “Tuko watu saba na kila mtu ana kazi ya kufanya….So pale Inafrika...

 

10 years ago

Mtanzania

Khadija Kopa: Siwataki waonyesha vifua kwenye bendi yangu

kOPANA FESTO POLEA
MALKIA wa mipasho nchini Tanzania, Khadija Kopa, ameweka wazi wasanii anaowataka katika bendi yake ya Kopa Kopa huku akiwaponda wanaovua nguo stejini kwa ajili ya kuonyesha vifua vyao.
Mkali huyo wa mipasho anayetarajia kufanya ‘remix’ ya wimbo wa ‘Nipepee’ na msanii, Abdul Nassib ‘Diamond’, aliliambia MTANZANIA kwamba hapendi kuwa na wasanii wanaoonyesha vifua vyao kwa kuwa bendi yake inaheshimu maadili ya Tanzania.
“Wasanii wanaovua nguo jukwaani kwa ajili ya kuonyesha vifua...

 

9 years ago

Vijimambo

NJOO LEO ESCAPE ONE UCHEZE MZIKI MZURI KUTOKA KWENYE BENDI YA SKYLIGHT


 Sony Masamba ambaye ni mmoja wa waimbaji wa Skylight akiendelea kutoa burudani akisindikizwa na waimbaji wenzake jumapili iliyopita.Njoo leo kuona mambo mapya kutoka katika bendi ya Skylight katika kiota cha Escape One.
 Mwimbaji wa bendi ya skylght Natasha akiwa anawapa mashabiki vionjo vya nyimbo za taratibu (kistaarabu) huku akisindikizwa na Sam Mapenzi jumapili iliyopita ndani ya kiwanja cha Escape One Mikocheni. 
 Rapa mkongwe kwenye muziki wa Live Joniko Flower akiimba kwa hisia moja ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

GODFREY SABAYA: Nyama ‘imenitoa’ kiuchumi

“BIASHARA ya kuchoma nyama imenikomboa kutoka katika uduni wa kipato hadi kuishi maisha yanayoniwezesha kumudu shida mbalimbali za kifamilia, ikiwa ni pamoja na kusomesha watoto na kupata mahali bora pa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mashabiki wazidi kuifangilia Skylight Band njoo leo upate vitu vipya kutoka kwenye Bendi hiyo

 Hakika kwenye shoo ya Skylight ya kila Jumapili sio ya kukosa njoo ujionee mambo mazuri kutoka katika bendi ya Skylight…..Just Follow the Light.   Sam Mapenzi na Natasha wakiwapa raha mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) ndani ya kiota cha Escape One jumapili iliyopita, bila kukosa ya leo itakuwa pale pale.  Mwimbaji wa Bandi ya Skylight, Leah (katikati) akiongoza akitoa burudani ya nguvu mbele ya mashabiki wao huku akisindikizwa na Sony Masamba (kushoto) pamoja na Leah(kulia)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani