MSAFIRI DIOUF: Bendi ya Super Star imenitoa kwenye ‘uteja’
IMEKUWA ni nadra kuona watumiaji wa dawa za kulevya wakiachana na tabia hiyo, kwani walio wengi hujikuta wanaishia kubaya na kuwa maskini. Kwa hapa Tanzania baadhi ya wasanii ambao walikuwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMSAFIRI DIOUF ATINGA GLOBAL TV ONLINE
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Ttrz8t9489I/VNHX2OSaweI/AAAAAAAAS6Y/8PPWPBfI7wc/s72-c/DIMPOZ%2BNYC.jpg)
SUPER STAR "OMMY DIMPOZ " LIVE IN NEW YORK CITY SATURDAY FEB 21 (RED CARPET AFFAIR )
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ttrz8t9489I/VNHX2OSaweI/AAAAAAAAS6Y/8PPWPBfI7wc/s1600/DIMPOZ%2BNYC.jpg)
( INCLUSIVE OF )
*RED CARPET ENTRANCE PHOTO SHOOT (FROM 5PM-6PM*
*3 -COURSE DINNER *
...
10 years ago
Vijimambo10 Jun
SUPER STAR DIAMOND AFUNGUKA LIVE: BORA NIFE KULIKO KUMRUDIA WEMA, WEMA NAYE AJIBU MASHAMBULIZI ILE MBAYA
![](http://api.ning.com/files/sT-mI3qB-hd0YVE-1L3jrO35VuXlfCHa8GPFsghter64FISojx1YI8f9jEWQzHOXg3KQF*1lvwUKrNWc8ymR7uFBTIA7tm3r/diamond211.jpg?width=650)
KIAPO! Kuonesha kwamba hana mpango wa kurudi nyuma, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ amefungukia msimamo wake juu ya mwandani wake wa zamani, Wema Sepetu ‘Madam’ kwa kusema kuwa kamwe hawezi kumrudia tena, Risasi Jumamosi lina mkanda kamili.
![](http://api.ning.com/files/sT-mI3qB-hd0YVE-1L3jrO35VuXlfCHa8GPFsghter64FISojx1YI8f9jEWQzHOXg3KQF*1lvwUKrNWc8ymR7uFBTIA7tm3r/diamond211.jpg?width=650)
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/MG_1128.jpg)
BENDI MPYA YA VIJANA WANNE, RUBY BENDI WATINGA GLOBAL TV ONLINE
9 years ago
Bongo504 Dec
Steve RnB aeleza siri ya kudumu kwenye bendi ya Inafrika
![Steve Rnb](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Steve-Rnb--300x194.png)
Steve RnB ni muimbaji ambaye amedumu kwenye bendi ya Inafrika kwa muda mrefu, huku akiendelea kutoa kazi zake za binafsi. Ameelezea nafasi aliyopewa kwenye bendi hiyo na kumfanya adumu nayo kwa muda mrefu.
“Nilivyoingia Inafrika yaani pale mimi sikukaribishwa kama mtu amekuja kutembea, mimi nilifika pale nimepewa kama nafasi kwamba you’re a lead singer yaani hiyo ndio nafasi yangu.” Alisema Steve kupitia XXL ya Clouds Fm. “Tuko watu saba na kila mtu ana kazi ya kufanya….So pale Inafrika...
10 years ago
Mtanzania19 May
Khadija Kopa: Siwataki waonyesha vifua kwenye bendi yangu
NA FESTO POLEA
MALKIA wa mipasho nchini Tanzania, Khadija Kopa, ameweka wazi wasanii anaowataka katika bendi yake ya Kopa Kopa huku akiwaponda wanaovua nguo stejini kwa ajili ya kuonyesha vifua vyao.
Mkali huyo wa mipasho anayetarajia kufanya ‘remix’ ya wimbo wa ‘Nipepee’ na msanii, Abdul Nassib ‘Diamond’, aliliambia MTANZANIA kwamba hapendi kuwa na wasanii wanaoonyesha vifua vyao kwa kuwa bendi yake inaheshimu maadili ya Tanzania.
“Wasanii wanaovua nguo jukwaani kwa ajili ya kuonyesha vifua...
9 years ago
VijimamboNJOO LEO ESCAPE ONE UCHEZE MZIKI MZURI KUTOKA KWENYE BENDI YA SKYLIGHT
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
GODFREY SABAYA: Nyama ‘imenitoa’ kiuchumi
“BIASHARA ya kuchoma nyama imenikomboa kutoka katika uduni wa kipato hadi kuishi maisha yanayoniwezesha kumudu shida mbalimbali za kifamilia, ikiwa ni pamoja na kusomesha watoto na kupata mahali bora pa...
9 years ago
Dewji Blog13 Dec
Mashabiki wazidi kuifangilia Skylight Band njoo leo upate vitu vipya kutoka kwenye Bendi hiyo
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10