Gwiji wa masuala ya mtangamano EAC afariki
Balozi Ndayiziga katika mojawapo ya warsha ya EAC hivi karibuni. Kulia ni mtaalamu wa habari na mratibu wa mafunzo ya wandishi wa habari EAC, Bw. Sukhdev Chhatbar.
Mkufunzi katika Mafunzo hayo, Balozi Jeremy Ndayiziga (kushoto enzi za uhai wake) akimkabidhi cheti Mroki Mroki, kutoka Father Kidevu Blog ambaye pia ni Mpigapicha wa Masuala ya Mtangamano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, kwa kushiriki kikamilifu mafunzo hayo ya masuala ya Mtengamano wa EAC. Anaeshuhudia Katikati ni Elizabeth...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4A2DVpYEB6c/VI1xsbkIowI/AAAAAAAAZU4/kfu7KYGisPw/s72-c/Amb.%2BJeremmy%2B%2B%2BChat%2B(2).jpg)
Just in: Gwiji wa masuala ya mtangamano EAC Balozi Jeremy Ndayiziga afariki dunia
![](http://4.bp.blogspot.com/-4A2DVpYEB6c/VI1xsbkIowI/AAAAAAAAZU4/kfu7KYGisPw/s1600/Amb.%2BJeremmy%2B%2B%2BChat%2B(2).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UG3-3l2bu2g/VI1zY1lHx_I/AAAAAAAAZVE/0RayUSdBoUU/s1600/FKB_5510.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WHzRVzpI8pk/VTyW2ArZOWI/AAAAAAAHTWQ/RZPryQB9J0E/s72-c/I0000mvLrZtLR6TE.jpg)
JUST IN: gwiji la ukombozi wa afrika kusini brigedia jenerali hashim mbita afariki dunia leo dar es salam
![](http://2.bp.blogspot.com/-WHzRVzpI8pk/VTyW2ArZOWI/AAAAAAAHTWQ/RZPryQB9J0E/s1600/I0000mvLrZtLR6TE.jpg)
Habari zilizotujia hivi punde zinasema Brigedia Jeneral Mstaafu Hashim Mbita aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Kamati ya Ukombozi ya uliokuwa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU), amefariki dunia asubuhi hii katika hospitali kuu ya jeshi ya Lugalo jijini Dar es salaam.
Mzee Mbita atakumbukwa Tanzania, bara zima la Afrika na dunia kwa jumla kama kamanda mahiri aliyeshiriki kikamilifu katika uondoshaji wa utawala wa ukoloni barani Afrika, hususan utawala kidhalimu wa makaburu Zimbabwe na Afrika...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ROpU0VKigkU/VMWozGyhbFI/AAAAAAAAWKw/SIQg6lwna4Q/s72-c/0001.jpg)
tanzia: Issa Ahmed Othman aliyekuwa Mshauri wa Rais Zanzibar katika masuala ya Utalii afariki dunia
![](http://3.bp.blogspot.com/-ROpU0VKigkU/VMWozGyhbFI/AAAAAAAAWKw/SIQg6lwna4Q/s1600/0001.jpg)
Aliyekuwa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6-NrPsopD30/UvTX4-_RyCI/AAAAAAAFLmM/QfiYDGplsLs/s72-c/unnamed+(62).jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA NAIBU KATIBU MKUU WA MASUALA YA MASUALA YA SIASA NA MAENDELEO YA JAMII WA SEKRETARIETI YA ACP
![](http://4.bp.blogspot.com/-6-NrPsopD30/UvTX4-_RyCI/AAAAAAAFLmM/QfiYDGplsLs/s1600/unnamed+(62).jpg)
10 years ago
VijimamboWadau wajadili sera ya Taifa ya Mtangamano ya Afrika Mashariki
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/a5b4X5Lcvi1HVDY-KecWYyIdoLstxIieadQxzgZNvhWaylItMvS3ePB4eugraedyHvii1SO9ICN6htUgO9gK4kPy9fxFSIOi/MZEE.jpg)
R.I.P GWIJI WA VICHEKESHO MZEE SMALL
11 years ago
BBCSwahili05 Jan
Familia ya soka yampoteza gwiji Eusebio
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-c_xoVOiOhe4/U0F3NenpoJI/AAAAAAAAJhs/561nNrf6ies/s72-c/images.jpg)
BURIANI GWIJI LA TAARABU JUMA BHALO
![](http://4.bp.blogspot.com/-c_xoVOiOhe4/U0F3NenpoJI/AAAAAAAAJhs/561nNrf6ies/s640/images.jpg)
Na John Kitime Mfalme wa Taarab nchini Kenya ambaye pia amejijengea jina katika nchi za Afrika Mashariki, Mohamed Khamis Juma Bhalo, amefariki dunia. Bhalo amefariki dunia usiku wa Jumamosi akiwa nyumbani kwake eneo la Mji wa Zamani Mombasa, baada ya kuugua kwa muda mrefu. Juma Bhalo alizaliwa 1942 huko Shela katika wilaya ya Malindi. Mwaka1954, alijiunga na shule ya msingi ya Sir Ali bin Salim , wakati huohuo familia yake ilihakikisha anahudhuria Madrassa ili...
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Vyombo vya habari gwiji wa kuharibu Kiswahili