Just in: Gwiji wa masuala ya mtangamano EAC Balozi Jeremy Ndayiziga afariki dunia
![](http://4.bp.blogspot.com/-4A2DVpYEB6c/VI1xsbkIowI/AAAAAAAAZU4/kfu7KYGisPw/s72-c/Amb.%2BJeremmy%2B%2B%2BChat%2B(2).jpg)
Balozi Ndayiziga katika mojawapo ya warsha ya EAC hivi karibuni. Kulia ni mtaalamu wa habari na mratibu wa mafunzo ya wandishi wa habari EAC, Bw. Sukhdev Chhatbar.
Mkufunzi Balozi Jeremy Ndayiziga (kushoto enzi za uhai wake) akimkabidhi cheti Mroki Mroki, kutoka Father Kidevu Blog ambaye pia ni Mpigapicha wa Masuala ya Mtangamano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, kwa kushiriki kikamilifu mafunzo hayo ya masuala ya Mtengamano wa EAC. Anaeshuhudia Katikati ni Elizabeth Wanyoike wa GIZ ambao...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog14 Dec
Gwiji wa masuala ya mtangamano EAC afariki
Balozi Ndayiziga katika mojawapo ya warsha ya EAC hivi karibuni. Kulia ni mtaalamu wa habari na mratibu wa mafunzo ya wandishi wa habari EAC, Bw. Sukhdev Chhatbar.
Mkufunzi katika Mafunzo hayo, Balozi Jeremy Ndayiziga (kushoto enzi za uhai wake) akimkabidhi cheti Mroki Mroki, kutoka Father Kidevu Blog ambaye pia ni Mpigapicha wa Masuala ya Mtangamano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, kwa kushiriki kikamilifu mafunzo hayo ya masuala ya Mtengamano wa EAC. Anaeshuhudia Katikati ni Elizabeth...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WHzRVzpI8pk/VTyW2ArZOWI/AAAAAAAHTWQ/RZPryQB9J0E/s72-c/I0000mvLrZtLR6TE.jpg)
JUST IN: gwiji la ukombozi wa afrika kusini brigedia jenerali hashim mbita afariki dunia leo dar es salam
![](http://2.bp.blogspot.com/-WHzRVzpI8pk/VTyW2ArZOWI/AAAAAAAHTWQ/RZPryQB9J0E/s1600/I0000mvLrZtLR6TE.jpg)
Habari zilizotujia hivi punde zinasema Brigedia Jeneral Mstaafu Hashim Mbita aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Kamati ya Ukombozi ya uliokuwa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU), amefariki dunia asubuhi hii katika hospitali kuu ya jeshi ya Lugalo jijini Dar es salaam.
Mzee Mbita atakumbukwa Tanzania, bara zima la Afrika na dunia kwa jumla kama kamanda mahiri aliyeshiriki kikamilifu katika uondoshaji wa utawala wa ukoloni barani Afrika, hususan utawala kidhalimu wa makaburu Zimbabwe na Afrika...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ROpU0VKigkU/VMWozGyhbFI/AAAAAAAAWKw/SIQg6lwna4Q/s72-c/0001.jpg)
tanzia: Issa Ahmed Othman aliyekuwa Mshauri wa Rais Zanzibar katika masuala ya Utalii afariki dunia
![](http://3.bp.blogspot.com/-ROpU0VKigkU/VMWozGyhbFI/AAAAAAAAWKw/SIQg6lwna4Q/s1600/0001.jpg)
Aliyekuwa...
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Balozi Kazaura afariki dunia
MKUU wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Balozi Flugenze Kazaura, amefariki dunia alipokuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Chennai nchini India. Taarifa ya kifo hicho imetolewa jana na...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6-NrPsopD30/UvTX4-_RyCI/AAAAAAAFLmM/QfiYDGplsLs/s72-c/unnamed+(62).jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA NAIBU KATIBU MKUU WA MASUALA YA MASUALA YA SIASA NA MAENDELEO YA JAMII WA SEKRETARIETI YA ACP
![](http://4.bp.blogspot.com/-6-NrPsopD30/UvTX4-_RyCI/AAAAAAAFLmM/QfiYDGplsLs/s1600/unnamed+(62).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fweuCOUfGgZOXeXZWM-K6l0NfGudPZioqwITk2GGaUhuZ3PPOHSHen*MgnqVFrUThGy8L69qlYIErmectvuukJqvNlYWEsT9/BALOZIKAZAURA.jpg?width=650)
BALOZI FULGENCE KAZAURA AFARIKI DUNIA
11 years ago
BBCSwahili11 May
Balozi wa Malawi afariki dunia Tanzania
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Balozi Kazaura afariki dunia akitibiwa India
5 years ago
BBCSwahili01 May
Waziri wa Katiba Tanzania Balozi Mahiga afariki dunia