Balozi Kazaura afariki dunia
MKUU wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Balozi Flugenze Kazaura, amefariki dunia alipokuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Chennai nchini India. Taarifa ya kifo hicho imetolewa jana na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fweuCOUfGgZOXeXZWM-K6l0NfGudPZioqwITk2GGaUhuZ3PPOHSHen*MgnqVFrUThGy8L69qlYIErmectvuukJqvNlYWEsT9/BALOZIKAZAURA.jpg?width=650)
BALOZI FULGENCE KAZAURA AFARIKI DUNIA
Aliyekuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Balozi Fulgence Kazaura enzi za uhai wake akimtunuku PhD Waziri wa ujenzi Dk. John Magufuli. Sima Kazaura anasikitika kutangaza kifo cha baba yake mzazi Balozi Fulgence Kazaura aliyekuwa Mkuu wa Chuo cha Dar es Salaam (UDSM) kilichotokea leo nchini India. Kama ilivyo ada kupeana mkondo wa pole na kufarijiana ndio ustaarabu wetu wakatio wa msiba hapa DMV. Msiba upo 21, Featherwood...
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Balozi Kazaura afariki dunia akitibiwa India
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Balozi Fulgence Kazaura amefariki dunia juzi, Chenai, India alikokwenda kwa ajili ya matibabu.
11 years ago
MichuziMASIBA DMV NA TANZANIA: Balozi Fulgence Kazaura afariki dunia
Sima Kazaura anasikitika kutangaza kifo cha baba yake mzazi Balozi Fulgence Kazaura kilichotokea leo nchini India. Kama ilivyo ada kupeana mkondo wa pole na kufarijiana ndio ustaarabu wetu wakatio wa msiba hapa DMV Msiba upo 21, Featherwood Court Apt. 14 Silver Spring MD 20904 Tutazidi kuwajuza mambo yanavyoendelea katika msiba huu hapa DMV na nyumbani Tanzania. Chini hapo ni namba ya mfiwa
Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu.
Sima...
11 years ago
BBCSwahili11 May
Balozi wa Malawi afariki dunia Tanzania
Balozi wa Malawi nchini Tanzania Bi Flossie Gomile Chidyaonga amefariki dunia mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5YiZlvKTycGtE5tnxRvKCiSJOTcf8XgRU8dSOG0Z*Nt*ymnpA4MCBkOgCKXvFstjZ-o46esI-rq06tOd33OglvcZ/1FlossieGomileChidyaonga.jpg)
TANZIA: BALOZI WA MALAWI NCHINI TANZANIA AFARIKI DUNIA
Flossy Gomile-Chidyaonga enzi za uhai wake. Balozi wa Malawi hapa nchini Tanzania, Flossy Gomile-Chidyaonga amefariki dunia baada ya kuugua kwa kipindi kifupi. Alikuwa balozi Tanzania tangu mwaka 2011. Rais Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Rais wa Malawi Bi. Joyce Banda.
5 years ago
BBCSwahili01 May
Waziri wa Katiba Tanzania Balozi Mahiga afariki dunia
Taarifa kutoka Ikulu ya rais nchini Tanzania zimethibitisha kifo cha Waziri wa Katiba wa nchi hiyo Balozi Mahiga amefariki dunia.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4A2DVpYEB6c/VI1xsbkIowI/AAAAAAAAZU4/kfu7KYGisPw/s72-c/Amb.%2BJeremmy%2B%2B%2BChat%2B(2).jpg)
Just in: Gwiji wa masuala ya mtangamano EAC Balozi Jeremy Ndayiziga afariki dunia
![](http://4.bp.blogspot.com/-4A2DVpYEB6c/VI1xsbkIowI/AAAAAAAAZU4/kfu7KYGisPw/s1600/Amb.%2BJeremmy%2B%2B%2BChat%2B(2).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UG3-3l2bu2g/VI1zY1lHx_I/AAAAAAAAZVE/0RayUSdBoUU/s1600/FKB_5510.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AgYecGYuXCc/U20Sf2yCjhI/AAAAAAAFgk8/umMhzJCW3cM/s72-c/lake+nyasa+072.jpg)
Just in: Balozi wa Malawi nchini Tanzania Mhe. Flossy Gomile-Chidyaonga afariki dunia jijini Dar es salaam leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-AgYecGYuXCc/U20Sf2yCjhI/AAAAAAAFgk8/umMhzJCW3cM/s1600/lake+nyasa+072.jpg)
“Ni kwa masikitiko makubwa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa (ya Malawi) unauarifu umma kufariki dunia kwa Balozi Flossy Gomile-Chidyaonga baada ya kuugua kwa muda mfupi jijini Dar es salaam mchana huu”, imesema taarifa iliyotolewa na msemaji wa Wizara hiyo Quent Kalichero.
“Tangu mwaka 2006 Marehemu Bi Flossy...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-APapVOpDzDQ/XquzLpI_uHI/AAAAAAAC4Tc/IDQkABaHulYvXEBNbwba6ekYUfTKVOmngCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200501_082631.jpg)
TANZIA: WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA MH. BALOZI DKT. AUGUSTINE MAHIGA AFARIKI DUNIA...RAIS MAGUFULI ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI
![](https://1.bp.blogspot.com/-APapVOpDzDQ/XquzLpI_uHI/AAAAAAAC4Tc/IDQkABaHulYvXEBNbwba6ekYUfTKVOmngCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200501_082631.jpg)
Mhe. Balozi Mahiga ameugua ghafla akiwa nyumbani kwake Jijini Dodoma na amefikishwa hospitali akiwa tayari ameshafariki dunia.
Mhe. Rais Magufuli ametoa salamu za pole kwa familia ya Marehemu, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania