Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Balozi Kazaura afariki dunia akitibiwa India

Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Balozi Fulgence Kazaura amefariki dunia juzi, Chenai, India alikokwenda kwa ajili ya matibabu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Balozi Kazaura afariki dunia

MKUU wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Balozi Flugenze Kazaura, amefariki dunia alipokuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Chennai nchini India. Taarifa ya kifo hicho imetolewa jana na...

 

11 years ago

GPL

BALOZI FULGENCE KAZAURA AFARIKI DUNIA

Aliyekuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Balozi Fulgence Kazaura enzi za uhai wake akimtunuku PhD Waziri wa ujenzi Dk. John Magufuli. Sima Kazaura anasikitika kutangaza kifo cha baba yake mzazi Balozi Fulgence Kazaura aliyekuwa Mkuu wa Chuo cha Dar es Salaam (UDSM) kilichotokea leo nchini India. Kama ilivyo ada kupeana mkondo wa pole na kufarijiana ndio ustaarabu wetu wakatio wa msiba hapa DMV. Msiba upo 21, Featherwood...

 

11 years ago

Michuzi

MASIBA DMV NA TANZANIA: Balozi Fulgence Kazaura afariki dunia

Balozi Fulgence Kazaura enzi ya uhani wake
Sima Kazaura anasikitika kutangaza kifo cha baba yake mzazi Balozi Fulgence Kazaura kilichotokea leo nchini India. Kama ilivyo ada kupeana mkondo wa pole na kufarijiana ndio ustaarabu wetu wakatio wa msiba hapa DMV  Msiba upo  21, Featherwood Court Apt. 14 Silver Spring MD 20904 Tutazidi kuwajuza mambo yanavyoendelea katika msiba huu hapa DMV na nyumbani Tanzania.  Chini hapo ni namba ya mfiwa
Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu.
Sima...

 

11 years ago

Michuzi

MWILI WA BALOZI KAZAURA WAWASILI DAR KUTOKA INDIA LEO




 Waombolezaji wakisukuma jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), marehemu Balozi Fulgence Kazaura ulipowasili jana kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam jioni hii , kutoka India. (PICHA NA KHAMIS MUSSA)

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadick akwafariji ndugu wa marehemu

 Ndugu wakifunua jeneza kuutengeneza mwili wa marehemu Kazaura.


 Mwili ukipakiwa kwenye gari tayari kupelekwa kuhifadhiwa...

 

11 years ago

Habarileo

Mke wa Lubuva afariki dunia India

MKE wa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji mstaafu Damian Lubuva amefariki akiwa nchini India alikokuwa akitibiwa ugonjwa wa kisukari. Rais Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi, Lubuva kutokana na kifo hicho cha Martha Lubuva kilichotokea Januari 17 katika Hospitali ya Apollo iliyopo New Delhi, India.

 

11 years ago

BBCSwahili

Muigizaji Suchtra afariki dunia India

Muigizaji maarufu wa Sinema nchini Indian Suchitra Sen amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 82 kwa maradhi ya kifua.

 

9 years ago

Mwananchi

Waziri Kigoda afariki dunia nchini India

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Handeni Tanga na Waziri wa Viwanda na Biashara, Abdalah Kigoda amefariki dunia leo nchini India alikokuwa amelazwa kwa matibabu.

 

10 years ago

Michuzi

TANZIA: OMAR NDEGE MGORI AFARIKI DUNIA NCHINI INDIA

Familia ya  Mzee Ndege Inasikitika kutangaza  kifo cha  ndugu yao mpendwa Omar Ndege Mgori  (pichani) kilichotokea India. Mipango ya mazishi inafanywa nyumbani kwa Marehemu Mbezi Juu Njia ya Goba.Habari ziwafikiw ndugu, jamaa na marafiki popote pale walipo.
Kwa taraarifa zaidi wasiliana na :
0718066661 - Jaji Mgori0787523152 - Tumaini Mgori+199869103747 - Mohammed Mgori

 

9 years ago

Dewji Blog

News Alert; Waziri Kigoda afariki dunia nchini India

kigoda

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mh Abdallah Kigoda (pichani) amefariki dunia jioni hii nchini India alikokuwa anapatiwa matibabu.

Taarifa za kifo cha Mh Kigoda ambaye pia alikuwa mbunge wa Handeni mkoani Tanga zimethibitishwa na ofisi ya Bunge jijini Dar es Salaam.

Mhe. Dkt. Kigoda alikwenda nchini India kwa matibabu tarehe 18 Septemba, 2015, kupata matibabu katika hospitali Hiyo ya Apollo. Taarifa zaidi kutolewa baadaye.

Modewji Blog inaungana na Familia ya Marehemu pamoja na Watanzania kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani