HAAA! WOLPER AFANYIWA MASAJI LAIVU, ADAI KUHISI RAHA YA AJABU!
![](http://api.ning.com:80/files/VMB94olbxS23EOx5Ninma7xuuR6HdiWntzATqjxAsnjFX01bxuNgbwTAA67NO5RVbwua*padAvGqzDUue*CUR5I40EHINqas/wolper.jpg?width=650)
Stori: Gladness Mallya MAKUBWA! staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe amejianika akifanyiwa masaji laivu. Wolper a.k.a Gambe ‘alifanya yake’ ndani ya saluni (massage parlor) moja iliyopo maeneo ya Mwenge jijini Dar. Mara baada ya tukio hilo huku akiwa ‘amefotolewa mapicha’ ambayo aliyatundika kwenye ukurasa wake wa Instagram, mwanadada huyo alielezea jinsi alivyohisi raha ya ajabu wakati...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo08 Jan
DAVIDO WAPEANA MAKAVU LAIVU LAIVU KWENYE MITANDAO
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/Davido-ttt.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RnVdzGQ*fcKjtjvnMeQckt6-bmQX-CwHWLeeBe6YhJDjjY8XeyNde*fNLLWUB87Qry4TjC2AYaf5AgRnyzKWNOTEQXC-5BJd/haaaaaaaaaaa.jpg?width=650)
Haaa! Kumbe Dida, Kaseja, mambo kwa zamu
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-gJiCE87YYo*Mt8FSEHNM0xfDFexb0pnJYBfBxFU982EAbD-LKVYlIfmzJ1Zqxlt4JXHwxFW-D8I0derw4KGc9teXF6GWzQ-/Nyumba.jpg?width=650)
ATEKETEZA NYUMBA KWA KUHISI MKEWE ANACHEPUKA
9 years ago
Global Publishers30 Dec
Mumeo aende masaji wakati ujuzi unao?
SHANGINGI leo niwape hi, nimejisikia kuchanganya na kizungu kidogo kwa sababu mada inahitaji hivyo, si unajua mambo ya masaji hayo ni ya wenzetu, zamani usingesikia bibi kaenda jumba la masaji!
Mada itawafundisha jinsi ya kumlea mume pale anapolalamikia maumivu ya mwili; wanawake tumekuwa na tabia kwamba mumeo akikwambia anajisikia vibaya, unakimbilia kumwambia aende hospitali au unakwenda kumnunulia panadol apunguze maumivu…tunakosea kabisa.
Daktari, nesi au tabibu ni wewe mwenyewe shoga...
10 years ago
Vijimambo24 Mar
SHOGA: MFANYIE MASAJI MUMEO KUMUONDOA UCHOVU!
![](http://api.ning.com/files/MoQW6swxykVdiQfNwn*3oXcvUAzU9aFfGIi-3ZzGpGedZvJnHIyil-dXug2TD3dcgk75uhVTIQNBwwRQcagmeYP5w7UxjclA/playfulcouplesmassage.jpg?width=650)
Shoga, baada ya kusema hayo ngoja nirejee kwenye mada yangu ya leo inayohusiana na kuwafanyia masaji waume zetu kwa lengo la...
10 years ago
Bongo Movies15 Jan
Wolper Alia na Wolper “FEKI” Kwa Kuwachuna Watu Kwa Kutumia Jina Lake!!
"Jacq fake huyu anaomba pesa sana na kajisajili Jacq Massawe na na mie jina langu ni Jacq Wolper Massawe so kuweni makini na kama mkiweza nisaidieni kumwambia chochote kwani inaniweka pabaya sana mimi kiukweli naweza kujakutana na mtu akanikaba kwakumchuna bila mafanikio hahahha aichekeshi ila huo ndo ukweli kwamba ananitafutia matatizo huyu binadam naukimpigia nisaut i yangu kabisa na ananijua kuliko navyojijua yani kila napoenda anajua.
Huyu jamani anaomba sana pesa tigo pesa na whatsap...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4hNukqhfhE32DZxEf7QQYDHUr7qVMY2nSdf*FjZEUgYJphFdmrC*TKBUcOWqhdhvoAsB0IfFsgBVbb9dstl9FaVf3RXwytdV/BACKAMANI.jpg)
JIDE, AY LAIVU!