Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Habari kutoka vituo vya televisheni mbalimbali nchini

news inscription in studio tv

SIMU.TV: Changamoto ya upatikanaji wa maji safi na salama yazidi kuwatesa wakazi wa Kiwangwa visiwani Zanzibar https://youtu.be/t-rNSt_gLAQ  

SIMU.TV: Wakulima mkoani Lindi wamepewa changamoto kulima mazao mengine ya chakula na biashara licha ya mafanikio makubwa ya zao la korosho; https://youtu.be/kN8jcDnkM6U

SIMU.TV: Waziri George Simbachawene amemteua mhandisi Ronald Lwakatare kuwa kaimu mtendaji wa mabasi yaendayo kasi DART.https://youtu.be/rI4R65O29Yo

SIMU.TV: Hospitali teule ya...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Habari kutoka vituo mbalimbali vya Televisheni

Untitled

Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa nchini Takukuru,yawatia mbaroni makada wa CCm kwa tuhuma za kutoa rushwa jijini Dar es salaam.

Azam tv

Wakati kazi ya uandikishaji ikielendelea kwa siku 4 zilizo ongezwa baadhi ya waandikishaji wa BVR wagoma kufuatia kutolipwa mafao yao.https://youtu.be/QfITiVLbDZI

Shughuli za kupata wagombea kusaka kiti cha uraisi zimeanza hapo jana baada ya wgombea wa nafasi hiyo kuchukua fomu za kuwania nafasi hiyo kutoka NEC. https://youtu.be/1A1jz0JCmEA

TBC...

 

9 years ago

Dewji Blog

Habari kutoka vituo mbalimbali vya televisheni leo!!

top_story_stopimage

Kashfa mpya yaibuka bandari ya Dar es salaam baada ya makontena zaidi ya elfu 11 na magari zaidi ya elfu 2 kutolipiwa ushuru. https://youtu.be/y0Z9BCqcUWM

Zikiwa zimebaki siku 7 kabla ya kuanza tena kwa zoezi la bomoa bomoa, hofu yatanda jijini Dar es salaam baada ya maafisa zaidi ya 100 kutoka baraza la mazingira NEMC kusambaa maeneo ya mabondeni kuweka alalma za X kwenye nyumba zilizoko eneo hilo. https://youtu.be/MuyO1r86PL4

Upatikanaji wa huduma muhimu ikiwa ni vyakula pamoja na mavazi...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

9 years ago

Michuzi

HABARI KUTOKA VITUO VYA TELEVISHENI NCHINI


Makamo wa raisi Bi Samia Suluhu apokelewa katika ofisi zake huku akiaahidi kushughulikia changamoto wanazokabiliana nazo katika ofisi hizo. https://youtu.be/caPRR2aT1vI
Kufuatia sintofahamu ya mgogoro wa kisiasa Zanzibar Raisi Dr.Shein akutana na Maalim Seif katika ikulu visiwani Unguja. https://youtu.be/U738e8-n71o

Hofu ya kipindupindu yaukabili mkoa wa Kagera baada ya wagonjwa kadhaa kupokelewa hospitali wakihofiwa kuwa na dalili za ugonjwa huo. https://youtu.be/rryYsjdheAQ

BOFYA HAPA KUONA ZAIDI

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

HABARI TOKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI

Kupata taarifa hizo zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani