Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HABARI PICHA SHEREHE YA WAFANYAKAZI KISSA PHARMACY LTD KIJIJINI MAKANYA SAME MOSHI

Mgurugenzi Kissa Pharmacy Ltd Ndugu Gaspar Kilango Singo akizungumza na wafanyakazi wake katika sherehe hiyo iliyofanyika kijijini kwao Mnazi Makanya Wilayani Same Moshi Kilimanjaro · Wafanyakazi Kissa Pharmacy Ltd Pharmaceuticals Whole Sale And Retali Mbeya Tz wenye makao makuu jijini mbeya wakiserebuka katika sherehe ya wafanyakazi iliyoandaliwa na Mkurugenzi wa Kampuni hiyo Ndugu Gasper Kilango Singo kijijini kwao Mnazi Makanya Kilimanjaro Moshi Ndugu na jamaa wa familia ya Kilango...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI KISSA PHARMACY LTD WATEMBELEA MAPANGO YA AMBONI TANGA(AMBONI CAVES)


Wafanyakazi wa Kissa Pharmacy Ltd  Pharmaceuticals Whole Sale And Retali Mbeya Tz wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuwasili katika eneo la mapango ya Amboni (AMBANI CAVES ) kwa lengo la kujifunza mambo mbalimbali ya kihistoria ndani ya Mapango hayo sanjali na kuhamasisha utalii wa ndani.Picha na Emanuel Madafa Baba JJ
Wafanyakazi Kissa Pharmacy wakisikiliza kwa makini maelezo ya mmoja wa watoa huduma katika mapango hayo Ndugu Allan Yohana kabla ya kuanza rasmi shughuli ya...

 

10 years ago

Michuzi

membe mgeni rasmi katika sherehe za kumkumka Chifu Wanzagi wa Wazanaki kijijini Butiama leo

Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard  Membe (kulia) akiwa nyumbani kwa chief Edward Wanzagi, kaka mkubwa wa Mwalimu Nyerere kijijini Butiama kabla ya kuanza kwa sherehe za kumkumbuka Chief Wanzagi.Chief Japhet Wanzagi  akimkaribisha mgeni rasmi, Bernard Membe, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, kuhutubia  familia ya ukoo wa Nyerere mchana huu kijiini Butiama. Wengine ni Bw. Jesse Kwayu anayemwakilisha Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Dkt Reginald...

 

10 years ago

Michuzi

MBUNGE WA CHALINZE RIDHIWANI KIKWETE AKARIBISHWA RASMI NA WAZEE WA KIJIJINI MSOGA KWA SHEREHE ZA JADI

Na John Gagarini, Chalinze MBUNGE wa Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo mkoani Pwani Ridhiwani Kikwete Ijumaa alifanyiwa sherehe za kijadi za kabila la Kikwere kijijini kwao Msoga, kwa mujibu wa mila za hapo.Sherehe hizo,  ambazo ziliendana na kukabidhiwa vitu mbalimbali vya kijadi kwa ajili ya matumizi ya nyumbani, ni jadi ya Wakwere ambapo mtu baada ya kupata uongozi hutambikiwa na kukaribishwa rasmi kwenye kundi la wazee wa kijiji. Baadhi ya vitu alivyoakabidhiwa na mzee wa kabila hilo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Habari katika picha: Baadhi ya picha bora zilizopigwa barani Afrika

Baadhi ya picha zilizopigwa wiki hii katika maeneo mbalimbali barani Afrika na kwingineko.

 

11 years ago

Dewji Blog

Mazishi ya mwandishi wa habari “Thomas Lipuka Komba”aliyezikwa kijijini kwao Mkili wilayani Nyasa

MAZII4

Baadhi ya Waandishi wa habari wakiwa mbele ya sanduku Marehemu Lipuka Komba.

MAZII3

Baadhi ya waandishi wa habari wa Mkoa wa Ruvuma wakishusha sanduku kaburini.

MAZII2

Katibu mtendaji wa Ruvuma Press akichukuwa matukio.

MAZI1

Mjane wa marehemu Christina Haule akiweka shada la maua.

Mwandishi wa habari Thomas Lipuka Komba amezikwa kijijini kwake Mkili wilayani Nyasa Juzi.

 Marehemu alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa Moyo kwa muda mrefu hali iliyosababisha kifo cha ghafla.

Marehemu Thomas Lipuka Komba ni...

 

9 years ago

Mwananchi

Wafanyakazi MCL Dar, Moshi wafunga mwaka

Wafanyakazi wa magazeti yanayochapishwa na Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd juzi, walifanya sherehe ya kuuaga mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka 2016.

 

9 years ago

Dewji Blog

Wafanyakazi wa Zantel wafanya sherehe za kufunga mwaka

2.1

Mkurugenzi Mtendaji wa Zantel, Benoit Janin akitoa hotuba fupi ya kuzindua sherehe ya kufunga mwaka kwa wafanyakazi wa Zantel iliyofanyika mwisho wa wiki.

3

Mkurugenzi Mtendaji wa Zantel, Benoit Janin akitoa hotuba fupi ya kuzindua sherehe ya kufunga mwaka kwa wafanyakazi wa Zantel iliyofanyika mwisho wa wiki.

1

Wafanyakazi wa kampuni ya Zantel wakati wa Sherehe ya kufunga mwaka iliyofanyika mwisho wa wiki hii katika hotel ya Double Tree.

4

Mkurugenzi Mwendeshaji wa Zantel, Bertrant Lacroix...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani