HADITHI: Sura mbili 22
Katika hadithi iliyopita tulisoma jinsi Salum Zakwa alivyomuua rafiki yake wa ndani ambaye walikuwa wakicheza pamoja mchezo wa kamari katika Hoteli ya Africo. Alishirikiana na vijana wake kina Liston na Vasco. Sasa endelea.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Mar
HADITHI: Sura Mbili
10 years ago
Mwananchi09 Apr
SURA MBILI (15)
10 years ago
Mwananchi24 Apr
Sura mbili -3
10 years ago
Mwananchi09 Apr
Sura Mbili
10 years ago
Mwananchi15 Apr
Sura mbili 10
10 years ago
Mwananchi20 Mar
Sura mbili (9)
10 years ago
Mwananchi16 Mar
Kuwa na Sura Mbili
10 years ago
Mtanzania31 Mar
Sura mbili za Askofu Gwajima
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
SIKU chache baada ya Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kukamatwa na kuhojiwa na polisi na hatimaye kuzimia, utata mpya umeibuka juu ya kiongozi huyo wa kiroho.
Utata huo unahusu uraia, historia yake, utajiri na umiliki wa silaha ambayo Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linadai haina kibali huku yeye akidai ana vibali vyote.
Hali hiyo imeibuka huku nyuma ya pazia kukiwa na sintofahamu juu ya hatima yake.
Ingawa Askofu Gwajima,...
10 years ago
Mtanzania07 Aug
Sura mbili za Ibrahim Lipumba ndani ya Cuf na ukawa
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
HATIMAYE Profesa Ibrahim Lipumba ametangaza rasmi kujiuzulu nafasi yake ya uenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), huku suala hilo likigubikwa na sura mbili na kauli tata za kiongozi huyo.
Profesa Lipumba amefikia uamuzi huo jana, jijini Dar es Salaam alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari na kuhitimisha tetesi zilizokuwa zikimuhusisha na kung’atuka katika uongozi wa cha hicho.
Alisema kuwa ameikabidhi Ofisi ya Katibu Mkuu, barua ya kung’atuka nafasi...