HAKI ELIMU
Je wajua? Wanafunzi 286 wa darasa la pili hadi la nne wa shule ya Msingi Lukole wilayani Ngara wanasoma wakiwa chini ya mti kutokana na ukosefu wa madarasa. Shule hiyo yenye jumla ya wanafunzi 437 ina jumla ya madarasa 13 tu Chanzo: Daily News
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV26 Nov
Haki Elimu yazindua jopo la ushauri Uboreshaji Sekta Ya Elimu
Serikali kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Nchini imeshauriwa kuyafanyia kazi mapendekezo yanayotolewa na wadau wa elimu katika sekta hiyo pamoja na kuboresha Idara ya Ukaguzi Shuleni ili kuhakikisha elimu inatolewa kwa usahihi.
Imeelezwa kuwa kwa kuzingatia hayo kutasaidia kuboresha Sekta ya elimu nchini hususani katika Shule za Umma, ambazo baadhi ya wazazi wamekuwa wakikwepa kuwapeleka watoto wao kutokana na dhana ya kuwa na elimu duni.
Katika uzinduzi wa jopo la washauri...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iCZv3PdpOmE/Xu3goWxVPSI/AAAAAAALuuA/5qQJeMQOpuEAQuMevvtlAMsVUovWs5MXQCLcBGAsYHQ/s72-c/kalage.jpg)
Haki Elimu Yatoa Tathmini ya Mfumo wa Elimu Baada ya Covid 19
![](https://1.bp.blogspot.com/-iCZv3PdpOmE/Xu3goWxVPSI/AAAAAAALuuA/5qQJeMQOpuEAQuMevvtlAMsVUovWs5MXQCLcBGAsYHQ/s640/kalage.jpg)
Tasisi isiyo ya Kiserikali ya Haki
Elimu Tanzania imesema katika kipindi hiki cha shule kufungwa nje ya utaratibu
rasmi wa likizo kimetufanya tugundue namna mfumo wetu wa utoaji elimu ulivyo na
mapungufu mengi.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Shirika
Hilo Dk.John Kalaghe alipokuwa akizungumza na wadau wa elimu kupitia mkutano
uliandaliwa na tasisi hiyo uliofanyika kwa njia ya mtandao wakati wa
mahadhimishoi ya siku ya mtoto wa Afrika.
Dk Kalaghe alisema kuwa...
9 years ago
Dewji Blog30 Nov
Tume ya Haki za Binadamu na DIGNITY wafanya semina juu elimu kuhusu haki za binadamu!!
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Bahame Tom Nyanduga akielezea mambo mbalimbali katika semina hiyo. kulia kwake ni afisa kutoka DIGNITY, Bi. Brenda Van Den Bergh. (Picha zote na Mpiga picha wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora).
Na Rabi Hume,Modewjiblog
Tume ya haki za binadamu na utawala bora ikishirikiana na Taasisi ya haki za binadamu kutoka Denmark (DIGNITY) wamefanya semina inayohusu haki za binadamu kwa kutoa elimu kwa asasi mbalimbali kuhusu...
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Haki elimu yakosoa BRN Tanzania
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
Elimu duni huwaathiri wabakwaji kukosa haki
KWA mujibu wa Sheria ya Kanuni ya Adhabu – Penal code CAP 16 R.E2002; neno kubaka lina maana pana ukilinganisha inavyofahamika kwa watu wengi. Mtu atahesabika kuwa ametenda kosa la...
9 years ago
Raia Tanzania07 Sep
‘Kila Mtanzania ana haki ya kupata elimu’
10 years ago
Raia Tanzania27 Jul
Nani ana haki ya kupata elimu katika jamii?
WAJIBU wa kila mzazi nchini mwenye mtoto aliyefikisha umri wa kwenda shule ni kuhakikisha mtoto huyo anakuwa darasani, lakini bado wapo wazazi wanaoshindwa kutekeleza wajibu huo.
Achilia mbali watoto wanaozurura mitaani kutokana na kukosa nafasi ya kwenda shule, lakini wapo pia watoto wanaoishi na wazazi wao lakini hawakupata wasaa wa kukaa darasani na kumsikiliza mwalimu kutokana na maisha duni ya wazazi wao.
Hata hivyo, ieleweke Tanzania ya sasa si ile ya zamani ambapo idadi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-04OljbIrnGo/VL-QAXyXmPI/AAAAAAAG-qw/A38hQ0MkP_A/s72-c/001.SEMINA.jpg)
WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WAPEWA ELIMU JUU YA HAKI ZA JINSIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-04OljbIrnGo/VL-QAXyXmPI/AAAAAAAG-qw/A38hQ0MkP_A/s1600/001.SEMINA.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TAtcc6nBw9Y/VL-QBttfQoI/AAAAAAAG-rA/qsaCjdBlrkE/s1600/002.semina.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mF9Rwlmh2ak/Xlis28NbKxI/AAAAAAALfy4/FPx60-Z2xiAwIM3aRS0jAYYPohMS9llHgCLcBGAsYHQ/s72-c/1c249259-3ace-4049-b198-755ca917a887.jpg)
THBUB, LHRC wajipanga kutoa elimu ya haki za binadamu mashuleni
![](https://1.bp.blogspot.com/-mF9Rwlmh2ak/Xlis28NbKxI/AAAAAAALfy4/FPx60-Z2xiAwIM3aRS0jAYYPohMS9llHgCLcBGAsYHQ/s640/1c249259-3ace-4049-b198-755ca917a887.jpg)
Mwenyekiti wa THBUB, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu akiongea katika kikao cha majadiliano kilichowakutanisha ujumbe wa THBUB na Viongozi wa LHRC kwenye ofisi za kituo hicho jijini Dodoma leo (Februari 27, 2020). Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Anna Henga.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/62e7e75f-e624-43a0-8657-4f66175a2c5b.jpg)