Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Haki itawale Ligi Kuu

KIVUMBI cha raundi ya pili ya Ligi Kuu Tanzania bara kimeanza tangu mwishoni mwa wiki kwa miamba ya ligi hiyo kuendelea na ngwe ya mwisho kuwania ubingwa wa ligi hiyo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Waamuzi, makamishna simamieni Ligi Kuu kwa haki

Mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara umeanza kwenye viwanja tofauti baada ya ligi hiyo kupumzika kwa taribani miezi mitatu kwa ajili ya mapumziko ya mwisho wa mwaka.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sheria, haki vifanye kazi lala salama Ligi Kuu Bara

HARAKATI za timu 14 katika kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara zimefikia patamu kutokana na kila timu kusaliwa na wastani wa mechi kati ya nne hadi tano kabla...

 

9 years ago

Michuzi

WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO


Ferrao.  NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...

 

9 years ago

StarTV

IJUE ORODHA YA WAAMUZI WATAKAOCHEZESHA LIGI KUU BARA, LIGI DARAJA LA KWANZA ..

WAAMUZI WA LIGI KUU YA VODACOM
Kamati ya Waamuzi nchini imetangaza orodha ya waamuzi wanaotakiwa kushiriki Semina na mtihani wa waamuzi itakayoanza tarehe 21- 25 Agosti, 2015 jijini Dar es salam, Waamuzi hao na sehemu wanaozotekea katika mabano ni Alex Mahagi (Mwanza), Hashim Abdallah (Dsm), Athony Kayombo (Rukwa), Amon Paul (Mara), Ahamada Simba (Kagera), Athuman Lazi (Morogoro), Abdallah Kambuzi (Shinyanga), Martin Saanya (Morogoro), Israel Nkongo (Dsm), Zakaria Jacob (Pwani), Michael...

 

9 years ago

Dewji Blog

Ratiba ya michezo ya leo Jumamosi, Disemba 19 katika ligi kuu ya Tanzania na ligi kubwa barani Ulaya

football-ground2

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea mwishoni kwa juma hili na mtandao wako bora wa habari , Modewjiblog.com imekuandalia ratiba ya michezo ya Ligi Kuu ya Tanzania “Vodacom Premier League” na ratiba ya michezo katika ligi kubwa barani Ulaya.

TANZANIA – VODACOM PREMIER LEAGUE

Kagera Sugar – African Sports           16:00 EAT

Maji Maji – Azam                               16:00 EAT

Mwadui – Ndanda                              16:00 EAT

Prisons – Mtibwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Tunatarajia haki zaidi mzunguko wa pili wa ligi

Mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara unaanza kesho kwenye viwanja tofauti baada ya ligi hiyo kupumzika kwa taribani miezi mitatu kwa ajili ya mapumziko ya mwisho wa mwaka.

 

11 years ago

Mwananchi

Labda CCM itawale milele kunusuru Muungano wa serikali mbili

>Hadi  sasa imebainika kuwa  kitu ‘kinachowasha moto’ siyo muundo wa serikali, bali ni aina gani ya muundo wa serikali unaoweza kuunusuru Muungano huu uliodumu kwa  miaka 50.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Karibuni Ligi Kuu

WAKATI Ligi Kuu ya Tanzania Bara ikielekea ukingoni, timu tatu za kuchukua nafasi ya timu zilizoshindwa kuhimili kishindo, zimeshajulikana kutoka Ligi Daraja la Kwanza. Hiyo ni kwa mujibu wa kanuni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani