Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waamuzi, makamishna simamieni Ligi Kuu kwa haki

Mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara umeanza kwenye viwanja tofauti baada ya ligi hiyo kupumzika kwa taribani miezi mitatu kwa ajili ya mapumziko ya mwisho wa mwaka.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

IJUE ORODHA YA WAAMUZI WATAKAOCHEZESHA LIGI KUU BARA, LIGI DARAJA LA KWANZA ..

WAAMUZI WA LIGI KUU YA VODACOM
Kamati ya Waamuzi nchini imetangaza orodha ya waamuzi wanaotakiwa kushiriki Semina na mtihani wa waamuzi itakayoanza tarehe 21- 25 Agosti, 2015 jijini Dar es salam, Waamuzi hao na sehemu wanaozotekea katika mabano ni Alex Mahagi (Mwanza), Hashim Abdallah (Dsm), Athony Kayombo (Rukwa), Amon Paul (Mara), Ahamada Simba (Kagera), Athuman Lazi (Morogoro), Abdallah Kambuzi (Shinyanga), Martin Saanya (Morogoro), Israel Nkongo (Dsm), Zakaria Jacob (Pwani), Michael...

 

10 years ago

Habarileo

Kozi ya waamuzi Ligi Kuu Agosti

KOZI ya waamuzi wa mpira wa miguu watakaochezesha mechi za Ligi Kuu na Ligi Daraja la Kwanza msimu wa mwaka 2015/2016, inatarajiwa kutafanyika Dar es Salaam kuanzia Agosti 21 -24.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waamuzi waongeze umakini lala salama Ligi Kuu Bara

MBIO za timu 14 kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, zimefikia patamu kwani sasa kila timu imesaliwa na wastani wa mechi kati ya nne hadi tano kabla ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Haki itawale Ligi Kuu

KIVUMBI cha raundi ya pili ya Ligi Kuu Tanzania bara kimeanza tangu mwishoni mwa wiki kwa miamba ya ligi hiyo kuendelea na ngwe ya mwisho kuwania ubingwa wa ligi hiyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sheria, haki vifanye kazi lala salama Ligi Kuu Bara

HARAKATI za timu 14 katika kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara zimefikia patamu kutokana na kila timu kusaliwa na wastani wa mechi kati ya nne hadi tano kabla...

 

9 years ago

Michuzi

WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO


Ferrao.  NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...

 

10 years ago

Dewji Blog

11 years ago

Mwananchi

Polisi Moro ngangari kwa Ligi Kuu

Baada ya kufanikiwa kupanda daraja, timu ya soka ya Polisi Morogoro imesema iko tayari kwa ajili ya mikiki Ligi Kuu msimu huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani