HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA MUHIMU KWA MAENDELEO - WAZIRI MIGIRO
![](http://2.bp.blogspot.com/-fWPDdv-5jEo/U5gZoyIRwwI/AAAAAAAFpvE/P9B9k5QSM_w/s72-c/591397.jpg)
Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Bw. Jan Eliasson akifungua majadiliano kuhusu mchango wa haki za binadamu na utawala wa sheria katika kuunga mkono juhudi za kitaifa na kimataifa na nafasi yake katika suala zima la maendeleo endelevu baada ya 2015. Naibu Katibu Mkuu alimtambulisha Waziri Migiro kama mtangulizi wake na katika hotuba yake alinukuu baadhi ya maneno ambayo Mhe. Migiro aliwahi kuyazungumza kuhusiana na masuala ya utawala wa sheria wakati huo akiwa Naibu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-i1LC03eUFiY/XqvaFpPXxsI/AAAAAAALovo/Topw_h8PA_IjZ5WscynYMFRmGPrIqv3lwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA YATUMA SALAMU ZA POLE KWA RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MAHIGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-i1LC03eUFiY/XqvaFpPXxsI/AAAAAAALovo/Topw_h8PA_IjZ5WscynYMFRmGPrIqv3lwCLcBGAsYHQ/s1600/index.jpg)
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imepokea kwa mshituko mkubwa taarifa za kifo cha aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Philip Mahiga (Mb) kilichotokea leo alfajiri Mei 01, 2020 Jijini Dodoma.
Tume inatoa pole kwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kwa kuondokewa na kiongozi mchapakazi, mwadilifu, mzalendo na mwanadiplomasia mahiri aliyeiwakilisha na kuipigania Tanzania katika nyanja za Kimataifa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Zv2e72POFls/VjJsiib9nrI/AAAAAAAIDaw/qXMV78AestM/s72-c/unnamed.jpg)
Ushauri wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa ZEC
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zv2e72POFls/VjJsiib9nrI/AAAAAAAIDaw/qXMV78AestM/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/90CXu9YQeFE/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 Jan
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora yaanza kuchunguza tukio la kukamatwa kwa wananchi walioshiriki mkutano wa CUF
Tume imesikitishwa na matukio yaliyotokea tarehe 27/01/2015 huko Mbagala Wilaya ya Temeke Dar-es-Salaam, matukio ambayo yameoneshwa na Kituo cha Televisheni cha “Channel Ten” ambayo yameashiria uvunjifu wa haki za binadamu.
Mnamo majira ya saa kumi na robo hadi kumi na nusu jioni, Kituo cha TV cha “Channel Ten” kilirusha picha zilizoonesha kupigwa na Polisi baadhi ya wananchi waliokamatwa kwa kile kilichoelezwa kushiriki mkutano wa Chama cha Wananchi (CUF) uliosemekana kuwa si halali.
Tume...
9 years ago
MichuziTUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA
9 years ago
MichuziTAMKO LA TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA
![](http://2.bp.blogspot.com/-b0x_KiH_gk0/VioRcZl86qI/AAAAAAAIB68/OpGP3Al-cBA/s1600/New%2BPicture.png)
TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORAKitalu Na. 8, Mtaa wa LuthuliS.L.P 2643, DAR ES SALAAMSimu: +255 22 2135747/8; 2137125; 2135222Faksi: +255 22 2111281Barua Pepe: chragg@chragg.go.tzTovuti: www.chragg.go.tz
Oktoba 23, 2015
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Tamko la Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kuhusu umuhimu wa kuzingatia sheria kwa ajili ya Uchaguzi Huru, wa Haki na Amani
TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imekuwa ikifuatilia kwa karibu matamshi...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-txya5Lj76Q8/VdYiCUjRN0I/AAAAAAAHyss/wck66rHnOpU/s72-c/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
JK AAGANA NA TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA
![](http://2.bp.blogspot.com/-txya5Lj76Q8/VdYiCUjRN0I/AAAAAAAHyss/wck66rHnOpU/s640/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-OKU4sJLZ20E/VdYiG8fRZNI/AAAAAAAHys8/38nU8n6EibU/s640/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0hHOnGi3NtE/VdYh_SouenI/AAAAAAAHysc/8j9HGJDNM_M/s640/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
11 years ago
MichuziIGP AFUNGUA MAFUNZO YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA
10 years ago
Habarileo08 Jan
JK ateua Mwenyekiti Tume ya Haki za Binadamu na Utawala bora
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Bahame Nyanduga kuwa Mwenyekiti Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10