Haki za walemavu katika michakato ya demokrasia
Baada ya Bunge la Katiba kumaliza kazi ya kupitia Rasimu ya Pili ya Katiba na kutoa Katiba inayopendekezwa, Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba unatazamiwa kuingia katika hatua ya kura ya maoni .
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8gAV_3giTKg/VARzsekqJOI/AAAAAAAGZ50/t7y5tmJraW8/s72-c/PIX-13.jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta awaahidi walemavu kutendewa haki katika Katiba Mpya
![](http://4.bp.blogspot.com/-8gAV_3giTKg/VARzsekqJOI/AAAAAAAGZ50/t7y5tmJraW8/s1600/PIX-13.jpg)
Mhe. Sitta ameyasema hayo leo Septemba Mosi, 2014 katika mkutano wake na baadhi ya viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA) ambalo lilikuja katika Bunge Maalum kwa lengo la kuwasilisha hoja zenye msisitizo kuhusu haki za watu wenye ulemavu katika mchakato Katiba Mpya.
Mhe. Sitta amesema kuwa kazi...
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Wapeni haki walemavu - Rai
Wenyeviti wa mitaa na vitongoji wametakiwa kufuatilia taarifa za watoto hasa wenye ulemavu katika maeneo yao ili kubaini mapema vitendo vya mateso na ukatili wanavyofanyiwa.
5 years ago
MichuziTGNP YAENDESHA MAFUNZO YA JINSIA, DEMOKRASIA NA UONGOZI KWA WADAU WA HAKI ZA WANAWAKE
Washiriki wa mafunzo ya Jinsia, Demokrasia na Uongozi wakiwemo viongozi wa Taasisi za Kijamii, Mashirika yasiyo ya kiserikali,waendesha bodaboda,watu wenye ulemavu na viongozi wa dini na kimila wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga wakipeana mrejesho wa mambo waliyojifunza kuongeza ushiriki wa wanawake katika uongozi na kufanya maamuzi kwa nia ya kubadili mtazamo wa jamii kuhusu ushiriki wa wanawake leo Ijumaa Februari 14,2020 katika ukumbi wa BM Maganzo.
11 years ago
BBCSwahili03 Feb
Maelfu ya walemavu wadai haki India
Maelfu ya watu walemavu nchini India wameandamana mjini New Delhi, kushinikiza Bunge kupitisha mswaada wa kuwapa haki ya elimu na ajira.
10 years ago
GPLWALEMAVU WATAKA HAKI YA KUSHIRIKI KURA YA MAONI NA UCHAGUZI MKUU
Katibu Mtendaji wa Iclusive Development Promoters& Consultants (IDPC) Kaganzi Rutachwamagyo (kulia) mwenyekiti SHIVYAWATA, Amoni Mpanju na Mwenyekiti umoja wa watu wenye ulemavu, Zanzibar Ali Makame. Mtoa mada kaganzi akichokoza mada.…
10 years ago
Vijimambo09 Dec
Waziri Kombani aipongeza Seed Trust kuwapigania haki za walemavu
![Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Selina Kombani (wa pili kushoto) akifungua Kongamano la Kujadili namna ya kukabiliana na vitendo vya ukatili kwa wanawake na watuwenye ulemavu.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_01671.jpg)
![Mwenyekiti wa Tasisi ya Seed Trust, Magreth Mkanga (MB), (wa pili kutoka kushoto) akizungumza katika mkutano wa Kongamano la Kujadili namna ya kukabiliana na vitendo vya ukatili kwa wanawake na watuwenye ulemavu.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0062.jpg)
![Baadhi ya washiriki wa kongamano la Kujadili namna ya kukabiliana na vitendo vya ukatili kwa wanawake na watuwenye ulemavu wakiwa katika mkutano huo leo mjini Morogoro.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0130.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-N0WtNnA5SuI/VQj6RJTtlJI/AAAAAAAHLLY/CVTLBfb8AYc/s72-c/unnamed%2B(45).jpg)
Naibu Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Marekani anaeshughulikia masuala ya Usalama wa Raia, Demokrasia na Haki za Binadamu Bi. Sarah Sewall atembelea zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-N0WtNnA5SuI/VQj6RJTtlJI/AAAAAAAHLLY/CVTLBfb8AYc/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Nyerere na msimamo wa demokrasia katika uchaguzi
Ni dhahiri kwamba Mwalimu Nyerere anakumbukwa kwa mambo mengi ya msingi aliyoyapa kipaumbele wakati wa uongozi wake. Jambo mojawapo alilisema Julai 29 Julai, 1985, kwamba: “Kazi iliyokuwa muhimu kuliko zote kwangu mimi, ilikuwa ni kujenga Taifa lenye umoja kwa msingi wa heshima na usawa wa binadamuâ€.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania