Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapeni haki walemavu - Rai

Wenyeviti wa mitaa na vitongoji wametakiwa kufuatilia taarifa za watoto hasa wenye ulemavu katika maeneo yao ili kubaini mapema vitendo vya mateso na ukatili wanavyofanyiwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wapeni lishe bora watoto wenu-Rai

Wazazi wametakiwa kutilia mkazo lishe na afya za watoto wao, kwani kwa kufanya hivyo kutawaongezea uwezo wa kujifunza shuleni.

 

10 years ago

Mwananchi

Haki za walemavu katika michakato ya demokrasia

Baada ya Bunge la Katiba kumaliza kazi ya kupitia Rasimu ya Pili ya Katiba na kutoa Katiba inayopendekezwa, Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba unatazamiwa kuingia katika hatua ya kura ya maoni .

 

11 years ago

BBCSwahili

Maelfu ya walemavu wadai haki India

Maelfu ya watu walemavu nchini India wameandamana mjini New Delhi, kushinikiza Bunge kupitisha mswaada wa kuwapa haki ya elimu na ajira.

 

10 years ago

Vijimambo

Waziri Kombani aipongeza Seed Trust kuwapigania haki za walemavu

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Selina Kombani (wa pili kushoto) akifungua Kongamano la Kujadili namna ya kukabiliana na vitendo vya ukatili kwa wanawake na watuwenye ulemavu. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Selina Kombani (wa pili kushoto) akifungua Kongamano la Kujadili namna ya kukabiliana na vitendo vya ukatili kwa wanawake na watuwenye ulemavu.Mwenyekiti wa Tasisi ya Seed Trust, Magreth Mkanga (MB), (wa pili kutoka kushoto) akizungumza katika mkutano wa Kongamano la Kujadili namna ya kukabiliana na vitendo vya ukatili kwa wanawake na watuwenye ulemavu. Mkurugenzi Mtendaji wa Tasisi ya Seed Trust, Magreth Mkanga (MB), (wa pili kutoka kushoto) akizungumza katika mkutano wa Kongamano la Kujadili namna ya kukabiliana na vitendo vya ukatili kwa wanawake na watuwenye ulemavuBaadhi ya washiriki wa kongamano la Kujadili namna ya kukabiliana na vitendo vya ukatili kwa wanawake na watuwenye ulemavu wakiwa katika mkutano huo leo mjini Morogoro. Baadhi ya washiriki wa kongamano la Kujadili namna ya kukabiliana...

 

10 years ago

GPL

WALEMAVU WATAKA HAKI YA KUSHIRIKI KURA YA MAONI NA UCHAGUZI MKUU

Katibu Mtendaji wa Iclusive Development Promoters& Consultants (IDPC) Kaganzi Rutachwamagyo (kulia) mwenyekiti SHIVYAWATA, Amoni Mpanju na  Mwenyekiti umoja wa watu wenye ulemavu, Zanzibar Ali Makame. Mtoa mada kaganzi akichokoza mada.…

 

10 years ago

Michuzi

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta awaahidi walemavu kutendewa haki katika Katiba Mpya


MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel  Sitta amewahakikishia Watu wenye Ulemavu nchini kuwa wanatendewa haki katika Katiba Mpya itakayopatikana.


Mhe. Sitta ameyasema hayo leo Septemba Mosi, 2014 katika mkutano wake na baadhi ya viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA) ambalo lilikuja katika Bunge Maalum kwa lengo la kuwasilisha hoja zenye msisitizo kuhusu haki za watu wenye ulemavu katika mchakato Katiba Mpya.


Mhe. Sitta amesema kuwa kazi...

 

10 years ago

GPL

WATOTO WALEMAVU MAHENGE WANUFAIKA NA MSAADA WA BAISKELI ZA WALEMAVU

MOROGORO,
Kampuni ya Kibaran Resources inayojihusisha na utafiti wa uchimbaji wa madini ya Uno kwenye Kijiji cha Epanko, imetoa msaada wa baiskeli 30 za walemavu kwa watoto wenye ulemavu katika kata ya Mahenge Wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro. Baiskeli hizo zimeundwa maalumu kwa watoto wanaoishi vijijini. Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kukabidhi baiskeli hizo, Grant Pierce, ambaye ni mkurugenzi wa Kampuni ya...

 

10 years ago

Michuzi

KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALEMAVU KITAIFA IRINGA , SERIKALI YA TANZANIA YAPIGA MARUFUKU UJENZI WA MAJENGO YASIYO RAFIKI NA WALEMAVU

 Waziri  Lukuvi  akimkabidhi  mwanafunzi  wa shule ya Msingi Kipera Rahel Mwikonzi cheti  cha ushiriki mzuri wa siku ya  walemavumwenyekiti wa baraza la watu wenye ulemavu Prof Edward BagandashwaKamishina  wa ustawi  wa jamii Bw Dunford Makala akitoa salam zakeWalemavu  nchini  wakiwa katika maandamano  leo  wakati wa kilele  cha siku ya  walemavu duniani kwa Tanzania maadhimisho hayo yamefanyika  mkoa  wa Iringa,kushoto ni mkalimani  wa  kujitolea  ambae ni Mtangazaji wa radio  Nuru Fm Bw ...

 

10 years ago

Habarileo

‘Wapeni ushirikiano Wamarekani wanaojitolea’

Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dk Florens Turuka JAMII imetakiwa kutoa ushirikiano unaotakiwa kwa kundi jipya la raia wa Marekani walioanza kujitolea hapa nchini. Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dk Florens Turuka alisema hivi karibuni kuwa wananchi hao wanaojitolea wanahitaji kupewa moyo pamoja na msaada wa kiufundi watakaohitaji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani