‘Wapeni ushirikiano Wamarekani wanaojitolea’
JAMII imetakiwa kutoa ushirikiano unaotakiwa kwa kundi jipya la raia wa Marekani walioanza kujitolea hapa nchini. Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dk Florens Turuka alisema hivi karibuni kuwa wananchi hao wanaojitolea wanahitaji kupewa moyo pamoja na msaada wa kiufundi watakaohitaji.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMwenyekiti wa Chama cha watu wanaojitolea (Trabajo Voluntario), Marisa Yussuf Himid atembelea vyombo vya habari
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Wapeni haki walemavu - Rai
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
PSPF: Waajiri wapeni uhuru wafanyakazi
WAAJIRI wa sekta mbalimbali nchini wametakiwa kuheshimu na kuwapa uhuru watumishi wao kuchagua mfuko wowote wa hifadhi ya jamii wanaoupenda. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana,...
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Nanai: Wapeni elimu bora watoto
10 years ago
Habarileo01 Aug
‘Wapeni wanahabari taarifa sahihi wasipotoshe’
MAOFISA habari katika halmashauri mbalimbali nchini, wamepewa mwito kuwapa wanahabari taarifa sahihi kuepusha kupotosha jamii.
5 years ago
Michuzi
WAPENI DHAMANA MAHABUSU KUEPUSHA CORONA-MASAUNI

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kushoto), akikagua orodha ya mahabusu wakati wa ziara ya kutembelea Vituo vya Polisi lengo ikiwa ni kukagua utekelezaji wa maagizo ya serikali katika kupambana na ugonjwa wa Corona ambapo ameagiza Makamanda wa Polisi nchini na Wakuu wa Magereza kuhakikisha watuhumiwa wanaoruhusiwa kupata dhamana kisheria wapewe ili kuepusha misongamano katika vituo mbalimbali vya polisi nchini.

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi...
11 years ago
Mwananchi11 May
Wapeni lishe bora watoto wenu-Rai
5 years ago
Michuzi
WAPENI ELIMU YA KUJIKINGA NA CORONA WANANCHI-DKT.CHAULA

Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto-Idara kuu afya Dkt. Zainab Chaula akiongea na waganga wakuu wa mikoa(hawapo pichani) wakati wa mkutano wa kujadili utayari wa kukabiliana na tishio la mlipuko wa virus vya corona kwenye ukumbi wa mkutano wa hospitali ya taifa muhimbili-mloganzila

Baadhi wa waganga wakuu wa mikoa na maofisa kutoka wizara ya afya walioshiriki mkutano wa kujadili tishio la ugonjwa wa Corona.

Naibu Mkuu anayeshughulikia afya kutoka Ofisi ya...
10 years ago
BBCSwahili22 Aug
Ufaransa yawasifu Wamarekani