WAPENI DHAMANA MAHABUSU KUEPUSHA CORONA-MASAUNI

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kushoto), akikagua orodha ya mahabusu wakati wa ziara ya kutembelea Vituo vya Polisi lengo ikiwa ni kukagua utekelezaji wa maagizo ya serikali katika kupambana na ugonjwa wa Corona ambapo ameagiza Makamanda wa Polisi nchini na Wakuu wa Magereza kuhakikisha watuhumiwa wanaoruhusiwa kupata dhamana kisheria wapewe ili kuepusha misongamano katika vituo mbalimbali vya polisi nchini.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
WAPENI ELIMU YA KUJIKINGA NA CORONA WANANCHI-DKT.CHAULA

Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto-Idara kuu afya Dkt. Zainab Chaula akiongea na waganga wakuu wa mikoa(hawapo pichani) wakati wa mkutano wa kujadili utayari wa kukabiliana na tishio la mlipuko wa virus vya corona kwenye ukumbi wa mkutano wa hospitali ya taifa muhimbili-mloganzila

Baadhi wa waganga wakuu wa mikoa na maofisa kutoka wizara ya afya walioshiriki mkutano wa kujadili tishio la ugonjwa wa Corona.

Naibu Mkuu anayeshughulikia afya kutoka Ofisi ya...
10 years ago
VijimamboALIYEKUWA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI LAURENCE MASHA AKOSA DHAMANA AENDA MAHABUSU YA GEREZA LA SEGEREA
5 years ago
BBCSwahili22 Feb
Virusi vya Corona: Jinsi unavyoweza kufanikiwa binafsi kujitenga ili kuepusha maambukizi.
5 years ago
Michuzi
JESHI LA MAGEREZA LASITISHA KUTEMBELEWA KWA WAFUNGWA NA MAHABUSU GEREZANI, MAHABUSU WAPYA KUPOKELEWA KWA KUHAKIKI AFYA ZAO
Akizungumza na MICHUZI BLOG, Msemaji wa jeshi la magereza SSP. Amina Kavirondo amesema kuwa baada ya kupimwa mahabusu wapya na kujiridhisha kuwa wako salama kwa maana hata polisi nao watakuwa wamechukuwa hatua kwa mahabusu hao.
"Na sisi watakapofika kwenye himaya ya kwetu tutachukua hatua ya kuhakikisha...
5 years ago
Michuzi
OFISA LHRC ANAYESHTAKIWA KWA UTAKATISHAJI FEDHA ASEMA VIRUSI VYA CORONA VIMESABABISHA MAHABUSU KUISHI KWA HOFU KUBWA MAGEREZANI
Na Karama Kenyunko,Michuzi TV
MSHTAKIWA Tito Magoti ambaye ni Ofisa wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), amedai licha ya Serikali kupunguza msongamano wa watu katika maeneo mbalimbali nchini ili kuzuia kusambaa kwa virusi vya Corona, mahabusu wanaishi kwa hofu kubwa kutokana na mlundikano uliopo huko gerezani.
Magoti anashtakiwa pamoja na Theodory Giyani (36) ambaye ni mtaalamu wa Tehama katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.Wote kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka matatu likiwemo...
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Wapeni haki walemavu - Rai
10 years ago
Habarileo28 Apr
‘Wapeni ushirikiano Wamarekani wanaojitolea’
JAMII imetakiwa kutoa ushirikiano unaotakiwa kwa kundi jipya la raia wa Marekani walioanza kujitolea hapa nchini. Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dk Florens Turuka alisema hivi karibuni kuwa wananchi hao wanaojitolea wanahitaji kupewa moyo pamoja na msaada wa kiufundi watakaohitaji.
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
PSPF: Waajiri wapeni uhuru wafanyakazi
WAAJIRI wa sekta mbalimbali nchini wametakiwa kuheshimu na kuwapa uhuru watumishi wao kuchagua mfuko wowote wa hifadhi ya jamii wanaoupenda. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana,...
10 years ago
Habarileo01 Aug
‘Wapeni wanahabari taarifa sahihi wasipotoshe’
MAOFISA habari katika halmashauri mbalimbali nchini, wamepewa mwito kuwapa wanahabari taarifa sahihi kuepusha kupotosha jamii.