Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAPENI DHAMANA MAHABUSU KUEPUSHA CORONA-MASAUNI


Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kushoto), akikagua orodha ya mahabusu wakati wa ziara ya kutembelea Vituo vya Polisi lengo ikiwa ni kukagua utekelezaji wa maagizo ya serikali katika kupambana na ugonjwa wa Corona ambapo ameagiza Makamanda wa Polisi nchini na Wakuu wa Magereza kuhakikisha watuhumiwa wanaoruhusiwa kupata dhamana kisheria wapewe ili kuepusha misongamano katika vituo mbalimbali vya polisi nchini.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAPENI ELIMU YA KUJIKINGA NA CORONA WANANCHI-DKT.CHAULA


Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto-Idara kuu afya Dkt. Zainab Chaula akiongea na waganga wakuu wa mikoa(hawapo pichani) wakati wa mkutano wa kujadili utayari wa kukabiliana na tishio la mlipuko wa virus vya corona kwenye ukumbi wa mkutano wa hospitali ya taifa muhimbili-mloganzila
Baadhi wa waganga wakuu wa mikoa na maofisa kutoka wizara ya afya walioshiriki mkutano wa kujadili tishio la ugonjwa wa Corona.
Naibu Mkuu anayeshughulikia afya kutoka Ofisi ya...

 

10 years ago

Vijimambo

ALIYEKUWA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI LAURENCE MASHA AKOSA DHAMANA AENDA MAHABUSU YA GEREZA LA SEGEREA

 Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Laurence Masha, akishuka kwenye gari la polisi kwenye viwanja vya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, wakati alipofikishwa mahakamani hapo kwa tuhuma za kufanya vurugu kwenye kituo cha polisi Oysterbay juzi. (Picha na Said Powa) 

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Jinsi unavyoweza kufanikiwa binafsi kujitenga ili kuepusha maambukizi.

Kuanzia kuagiza chakula hadi namna unavyoweza kuishi na familia, hivi ndivyo unavyoweza kuepuka kusambaza virusi vya Corona.

 

5 years ago

Michuzi

JESHI LA MAGEREZA LASITISHA KUTEMBELEWA KWA WAFUNGWA NA MAHABUSU GEREZANI, MAHABUSU WAPYA KUPOKELEWA KWA KUHAKIKI AFYA ZAO

Na Avila Kakingo, Globu ya JamiiMAHABUSU wapya kupokelewa Gerezani mara baada ya kufanyiwa vipimo vya afya zao hii ni kufuatia kwa kuripotiwa kwa uwepo wa ugonjwa wa Corona (Covid-19) nchini.
Akizungumza na MICHUZI BLOG, Msemaji wa jeshi la magereza SSP. Amina Kavirondo amesema kuwa baada ya kupimwa mahabusu wapya na kujiridhisha kuwa wako salama kwa maana hata polisi nao watakuwa wamechukuwa hatua kwa mahabusu hao.
"Na sisi watakapofika kwenye himaya ya kwetu tutachukua hatua ya kuhakikisha...

 

5 years ago

Michuzi

OFISA LHRC ANAYESHTAKIWA KWA UTAKATISHAJI FEDHA ASEMA VIRUSI VYA CORONA VIMESABABISHA MAHABUSU KUISHI KWA HOFU KUBWA MAGEREZANI




Na Karama Kenyunko,Michuzi TV
MSHTAKIWA Tito Magoti ambaye ni Ofisa wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), amedai licha ya Serikali kupunguza msongamano wa watu katika maeneo mbalimbali nchini ili kuzuia kusambaa kwa virusi vya Corona, mahabusu wanaishi kwa hofu kubwa kutokana na mlundikano uliopo huko gerezani.
Magoti anashtakiwa pamoja na Theodory Giyani (36) ambaye ni mtaalamu wa Tehama katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.Wote kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka matatu likiwemo...

 

11 years ago

Mwananchi

Wapeni haki walemavu - Rai

Wenyeviti wa mitaa na vitongoji wametakiwa kufuatilia taarifa za watoto hasa wenye ulemavu katika maeneo yao ili kubaini mapema vitendo vya mateso na ukatili wanavyofanyiwa.

 

10 years ago

Habarileo

‘Wapeni ushirikiano Wamarekani wanaojitolea’

Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dk Florens Turuka JAMII imetakiwa kutoa ushirikiano unaotakiwa kwa kundi jipya la raia wa Marekani walioanza kujitolea hapa nchini. Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dk Florens Turuka alisema hivi karibuni kuwa wananchi hao wanaojitolea wanahitaji kupewa moyo pamoja na msaada wa kiufundi watakaohitaji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

PSPF: Waajiri wapeni uhuru wafanyakazi

WAAJIRI wa sekta mbalimbali nchini wametakiwa kuheshimu na kuwapa uhuru watumishi wao kuchagua mfuko wowote wa hifadhi ya jamii wanaoupenda. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana,...

 

10 years ago

Habarileo

‘Wapeni wanahabari taarifa sahihi wasipotoshe’

MAOFISA habari katika halmashauri mbalimbali nchini, wamepewa mwito kuwapa wanahabari taarifa sahihi kuepusha kupotosha jamii.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani