Maelfu ya walemavu wadai haki India
Maelfu ya watu walemavu nchini India wameandamana mjini New Delhi, kushinikiza Bunge kupitisha mswaada wa kuwapa haki ya elimu na ajira.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili04 Feb
Wachimba migodi SA wadai haki
Polisi nchini Afrika kusini wametumia risasi za mpira kutawanya takriban wafanyikazi elfu tatu wa migodi wanaogoma karibu na mji wa Rustenburg.
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Bunga la #Katiba: Wafanyakazi wadai haki ya kugoma
Katibu Mkuu wa TUCTA, Nicholaus Mgaya alidai kuwa rasimu inayowasilishwa bungeni kesho haijumuishi baadhi ya haki za msingi za wafanyakazi.
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Wapeni haki walemavu - Rai
Wenyeviti wa mitaa na vitongoji wametakiwa kufuatilia taarifa za watoto hasa wenye ulemavu katika maeneo yao ili kubaini mapema vitendo vya mateso na ukatili wanavyofanyiwa.
11 years ago
Mwananchi02 Nov
Haki za walemavu katika michakato ya demokrasia
Baada ya Bunge la Katiba kumaliza kazi ya kupitia Rasimu ya Pili ya Katiba na kutoa Katiba inayopendekezwa, Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba unatazamiwa kuingia katika hatua ya kura ya maoni .
10 years ago
GPLWALEMAVU WATAKA HAKI YA KUSHIRIKI KURA YA MAONI NA UCHAGUZI MKUU
Katibu Mtendaji wa Iclusive Development Promoters& Consultants (IDPC) Kaganzi Rutachwamagyo (kulia) mwenyekiti SHIVYAWATA, Amoni Mpanju na Mwenyekiti umoja wa watu wenye ulemavu, Zanzibar Ali Makame. Mtoa mada kaganzi akichokoza mada.…
10 years ago
Vijimambo09 Dec
Waziri Kombani aipongeza Seed Trust kuwapigania haki za walemavu



5 years ago
BBCSwahili03 Mar
India: Baba azika ua kuchoma maelfu ya miili ya watu kujifariji kwa kifo cha mtoto wake
Mohammad “Mjomba” Shareef amezika ama kuchoma maelfu ya miili ya watu kwa miaka 28 kaskazini mwa India mji wa Ayodhya. Mtoto wake wa kiume aliuawa katika vita 1992 na mwili wake haukuwahi kuonekana zaidi ya nguzo zake tu.
11 years ago
Michuzi
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta awaahidi walemavu kutendewa haki katika Katiba Mpya

Mhe. Sitta ameyasema hayo leo Septemba Mosi, 2014 katika mkutano wake na baadhi ya viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA) ambalo lilikuja katika Bunge Maalum kwa lengo la kuwasilisha hoja zenye msisitizo kuhusu haki za watu wenye ulemavu katika mchakato Katiba Mpya.
Mhe. Sitta amesema kuwa kazi...
11 years ago
GPL
WATOTO WALEMAVU MAHENGE WANUFAIKA NA MSAADA WA BAISKELI ZA WALEMAVU
MOROGORO,
Kampuni ya Kibaran Resources inayojihusisha na utafiti wa uchimbaji wa madini ya Uno kwenye Kijiji cha Epanko, imetoa msaada wa baiskeli 30 za walemavu kwa watoto wenye ulemavu katika kata ya Mahenge Wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro. Baiskeli hizo zimeundwa maalumu kwa watoto wanaoishi vijijini. Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kukabidhi baiskeli hizo, Grant Pierce, ambaye ni mkurugenzi wa Kampuni ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania